Shaka: Rais Samia ni mbobezi katika masuala ya uongozi

Naona Mama katuma ujumbe kwa Mtandao wa Uraisi 2025 kwamba ANATOSHA NA ATAGOMBEA URAISI WA JMT!!!HAPO SAWA KABISA!!!
 
Naona Mama katuma ujumbe kwa Mtandao wa Uraisi 2025 kwamba ANATOSHA NA ATAGOMBEA URAISI WA JMT!!!HAPO SAWA KABISA!!!
 
Naona Mama katuma ujumbe kwa Mtandao wa Uraisi 2025 kwamba ANATOSHA NA ATAGOMBEA URAISI WA JMT!!!HAPO SAWA KABISA!!!
 
Naona Mama katuma ujumbe kwa Mtandao wa Uraisi 2025 kwamba ANATOSHA NA ATAGOMBEA URAISI WA JMT!!!HAPO SAWA KABISA!!!
 
Naona Mama katuma ujumbe kwa Mtandao wa Uraisi 2025 kwamba ANATOSHA NA ATAGOMBEA URAISI WA JMT!!!HAPO SAWA KABISA!!!
 
Huko CCM ni pamoto
Gwajima
Polepole
Wanatuonyesha kuwa hata huyo SHAKA hamjui vizuri SSH
 
Maneno mazuri kabisa,kila ukisoma,unatamani urudie,tena na tena kuyasoma..Safi sana.
 
Kwa kutetea ugali wake lazima aseme sifa zote hata asizokuwa nazo maana mwenyewe anajijua hajabobea kwa chochote zaidi ya kufuata mkumbo tu.
 
Matendo hukidhi haja!kuliko maneno!
Hana kitu,hata ukimsifia vipi,tumeishamuona,ni mwepesi sana,hana maamuzi yake,huyu ilibidi aongoze NGO tu,sio nchi.
Haiwezekani watu wanafanya madudu unawaacha,wale waliopiga billioni Tasac,wale waliopiga 500M hazina,hata Yule DC aliyempa wakati mgumu mama Mgwila,
 
Huyu wampe likizo aende Mombasa kwa mumewe kwanza akili zikamkae sawa
 
Naona Mama katuma ujumbe kwa Mtandao wa Uraisi 2025 kwamba ANATOSHA NA ATAGOMBEA URAISI WA JMT!!!HAPO SAWA KABISA!!!
Mama apumzike tu ameshatuboa kabla hata mwaka haujaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…