Shaka: Rais Samia ni mbobezi katika masuala ya uongozi

MBOBEZI [emoji23][emoji23][emoji23] kazi kurembua macho, mwambieni Hii nchi ngumu aendeshwi kama VICOBA, wala hii sio NGO's

Hamna kitu SSH mwepesi sana, Nchi ishamshinda mapema, na hatokaa haiweze tena.
 
Mtu mbobezi unadhani kunaaja ya kuwatangazia watu ... tungeona wenyewe chief
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba atakutana na vyama vya siasa vikiwa vimechambuka chambuka, mkuu we ni niksi, nimecheka kifala
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ mkuu kiswahili chake hua sikielewi elewi,Kule zenji unajua mjane anaitwa kizuka mkuu?
 
Kwa hiyo Bwana SHAKA umeamua kumbobesha kwa lazima... hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…