Shaka: Wanaotaka Urais 2025 wasahau, ni Rais Samia bara ni Rais Mwinyi visiwani mpaka 2030

Tutammis sana huyu mwamba
 
2025 fomu ya Uchaguzi iprintiwe moja tu, Kila Rais wa CCM alihudumu miaka 10, tunataka amani na utulivu kwenye Taifa,
Acha uchawa wa kipuuzi wewe. Tunataka wanamapinduzi kutuongoza. Lazima mama kama anataka kuendelea kuingoza nchi apitie kwenye mchakato kugombea nafasi ya uteuzi kua mgombea urais. Kwenye nafasi ya urais hatutaki viti maalum. Tunataka mtu mwenye uwezo muadilifu na muomini wa itikadi ya chama chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…