Unahitaji ushahidi gani?.Unaoushahidi au Vuvuzela as usually
Unahangaika Sana wewe jamaa,Unahitaji ushahidi gani?.
Mpaka utakajinyea bila kujua ndio utahitaji kupewa ushahidi
Mwana waziri wa ardhi - Wamasai wanafukuzwa ili Mwarabu apate ardhi!
Na bado
Nani wakumzuia Samia?
Ngumu kwako, watz wote tunalamba asali we itakuwa ni mkenya
Asali anazotulambisha sie upinzani tutagoma kuweka mgombea nafasi ya urais. Mama atapita bila kupingwa
Upinzani upi bwashee?
2025 hatutaki mtu zaidi ya Rais Samia Suluhu Hassan,
Kazi anazofanya huyu Mama hapa Upinzani kuweka mtu ni kujipotezea gharama bure kabisa,
RubbishUrais ni uwezo na Si Zawadi mtu azawadiwe!!!
Kwamba wakiruhusiwa wengine kuchukua fomu watavuruga amani kivp?
What if mgombea wa CCM akionekana hatoshi dhidi ya upinzani?
Nisikuchoshe maana 2025 hapatakuwa na uchaguzi pia mwaka huo ni mbali Sana Bado.
Tanzania hakuna upinzani mweleweUchaguzi ukifika ndio mnafanya ujinga wa wizi, kwa Sasa mnajifanya kuuliza upinzani gani kana kwamba mnafanya la maana.
Halafu kwa akili kama hizo za viongozi wa CCM mnadhani wapo tayari kuanzisha mchakato wa katiba mpya ikiwa tu katiba ya chama Chao hawaiheshimu kiasi hicho? Mungu tu asimame mahali pake kwenye jambo hili.Kwakuwa maamuzi ni ya mkutano mkuu kumpitisha mgombea, basi kiongozi shaka asubili muda na wakati utakapotimia na afahamu hakuna mkutano mkuu uliowahi kumpitisha Rais Samia kugombea nafasi hiyo bali ameupata kwa kudra za Mungu kama alivyowahi kunena mwenyewe.
Binafsi naona kuna haja ya nafasi hiyo ya urais, chama kuruhusu wanachama wake kugombea kama ilivyokuwa kwa marais waliopita na wala hakujawahi kuwa na utamaduni, mila, desturi, taratibu, kanuni, sheria au katiba yenyewe ndani ya CCM inayoeleza juu ya taratibu za kugombea nafasi hiyo nyeti ndani ya nchi endapo tu Rais aliyeko madarakani atarithi nafasi hiyo kutoka nafasi aliyepo tofauti na hivyo Shaka aeleze ni wapi pameandikwa utaratibu huo alioutaja.
Naamini muda ukiwadia,wapo wanachama watajitokeza kumpokea Rais Samia kijiti vinginevyo itolewe fomu moja kama ilivyowahi kutokea nyakati za nyuma jambo ambalo si demokrasia wala afya kwa chama.
Hakika mchakato wa katiba mpya bado ni kitendawili kisichoteguliwa kwakuwa viongozi wanazani ni katiba ni mali yao binafsi wakati ni mstakabali wa nchi kwa ujumla.walamba asali na wanywa maziwa,wanazani watapunguziwa nguvu ya unywaji maziwa kwa mirija, hivyo katiba mpya kuonekana mwiba kwao lakini kila jambo na wakati wake, muda utafika na watanzania tutapata katiba mpya na kuachana na viraka visivyotimilka.Halafu kwa akili kama hizo za viongozi wa CCM mnadhani wapo tayari kuanzisha mchakato wa katiba mpya ikiwa tu katiba ya chama Chao hawaiheshimu kiasi hicho? Mungu tu asimame mahali pake kwenye jambo hili.
Mfumko hakuna anayeweza kuuzuia hata Nyerere ktk utawala wake vitu vilipanda bei so ktk uchumi hicho ni kitu cha kawaida tuAsali gani?. Mafuta ya petroli 3500 Lita. Acheni ushabiki wa kijinga wakati mfumuko wa Bei umewashinda.
Nchi hii ra8 ana amuliwa na watatu 3 kweli?Hakika alisikika mlamba asali hapo juu.
Huyu bwana mdogo ww muache aendelee kutapika anadhani watanzania wanachekelea sana maisha haya ya kijinga na kipumbavu.Samia anatudanganya eti halali,yaani uongozi wa kijinga wa namna hii ndio unashindwa kulala,hv hata ulitazama sababu za Samia kukosa usingizi huzioni,afadhali aendelee kulala.Shaka
ACHA hizi ndugu yangu
Inna lah maaswabirina
"Rasimu ya WARIOBA irudi mezani Sasa iwe KATIBA Mpya"!
Kwahiyo nchi yetu sote mnajipangia kibabe ? Namna ya kututawala?Nakubaliana na wewe comredi, Iwepo fomu moja tu ya Urais,
Kazi anazofanya Rais Samia hatuhitaji aletewe bugudha kabisa,
Wamwache Mama achape kazi,
Why na ninyi msiibe?Uchaguzi ukifika ndio mnafanya ujinga wa wizi, kwa Sasa mnajifanya kuuliza upinzani gani kana kwamba mnafanya la maana.
Akili ndogo huondoa maarifa!!View attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.
Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.
Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.
===
Hata mwendakwao.mlimsemea sana acheni uchuro!View attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.
Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.
Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.
===
Kazi inaendelea kufanyikaView attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.
Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.
Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.
===