Shaka: Wanaotaka Urais 2025 wasahau, ni Rais Samia bara ni Rais Mwinyi visiwani mpaka 2030

Unaoushahidi au Vuvuzela as usually
Unahitaji ushahidi gani?.
Mpaka utakajinyea bila kujua ndio utahitaji kupewa ushahidi
Mwana waziri wa ardhi - Wamasai wanafukuzwa ili Mwarabu apate ardhi!
Na bado
 
Unahitaji ushahidi gani?.
Mpaka utakajinyea bila kujua ndio utahitaji kupewa ushahidi
Mwana waziri wa ardhi - Wamasai wanafukuzwa ili Mwarabu apate ardhi!
Na bado
Unahangaika Sana wewe jamaa,
 
Asali anazotulambisha sie upinzani tutagoma kuweka mgombea nafasi ya urais. Mama atapita bila kupingwa

Tofautisha Viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wafuasi wa upinzani.
 
2025 hatutaki mtu zaidi ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Kazi anazofanya huyu Mama hapa Upinzani kuweka mtu ni kujipotezea gharama bure kabisa,

Acha dhihaka. Ndio mlisema hivi 2020. Mwisho wa siku mkaengua wagombea wa upinzani na kuzima internet nchi nzima. Waoga wakubwa. Mpo madarakani kwa sababu ya dola. Siku dola ikiwa neutral bila kuegemea popote hamta pata kitu.
 
Rubbish
 
Halafu kwa akili kama hizo za viongozi wa CCM mnadhani wapo tayari kuanzisha mchakato wa katiba mpya ikiwa tu katiba ya chama Chao hawaiheshimu kiasi hicho? Mungu tu asimame mahali pake kwenye jambo hili.
 
Halafu kwa akili kama hizo za viongozi wa CCM mnadhani wapo tayari kuanzisha mchakato wa katiba mpya ikiwa tu katiba ya chama Chao hawaiheshimu kiasi hicho? Mungu tu asimame mahali pake kwenye jambo hili.
Hakika mchakato wa katiba mpya bado ni kitendawili kisichoteguliwa kwakuwa viongozi wanazani ni katiba ni mali yao binafsi wakati ni mstakabali wa nchi kwa ujumla.walamba asali na wanywa maziwa,wanazani watapunguziwa nguvu ya unywaji maziwa kwa mirija, hivyo katiba mpya kuonekana mwiba kwao lakini kila jambo na wakati wake, muda utafika na watanzania tutapata katiba mpya na kuachana na viraka visivyotimilka.
 
Asali gani?. Mafuta ya petroli 3500 Lita. Acheni ushabiki wa kijinga wakati mfumuko wa Bei umewashinda.
Mfumko hakuna anayeweza kuuzuia hata Nyerere ktk utawala wake vitu vilipanda bei so ktk uchumi hicho ni kitu cha kawaida tu
 
Shaka

ACHA hizi ndugu yangu

Inna lah maaswabirina

"Rasimu ya WARIOBA irudi mezani Sasa iwe KATIBA Mpya"!
Huyu bwana mdogo ww muache aendelee kutapika anadhani watanzania wanachekelea sana maisha haya ya kijinga na kipumbavu.Samia anatudanganya eti halali,yaani uongozi wa kijinga wa namna hii ndio unashindwa kulala,hv hata ulitazama sababu za Samia kukosa usingizi huzioni,afadhali aendelee kulala.
 
Nakubaliana na wewe comredi, Iwepo fomu moja tu ya Urais,

Kazi anazofanya Rais Samia hatuhitaji aletewe bugudha kabisa,

Wamwache Mama achape kazi,
Kwahiyo nchi yetu sote mnajipangia kibabe ? Namna ya kututawala?
 
Akili ndogo huondoa maarifa!!
 
Hata mwendakwao.mlimsemea sana acheni uchuro!
 
Kazi inaendelea kufanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…