Shaka: Watanzania watege sikio tarehe 09 Oktoba Dodoma, Rais ana jambo la kuwaambia watanzania

Rais ana tupanga kwa suprise kama msanii anataka kutoa ngoma
 
Msemaji wa serikali ni Msigwa, sijui hizi bangi huwa mnavuta saa ngapi?
Wakina Hamza mnao wengi ndani yenu ambao mliowafuga, mlijinufaisha kupitia kwao kama "toilet paper for the single use". Sasa mnakuja kivingine na kujifanya hamuutambui mchango wao.

Sasa nakwambia mnalo. Matendo ya kigaidi yamehasisiwa, kulelewa na hata kukuzwa na CCM yenyewe.

Patriotic men has now arised and shine, they now possess belief, highly motivated and dare to take real action into unprecedented things to happen.
 
Kabla ya kuendelea na mjadala...

Unamuwekea mdomoni mwake maana ya "KAZI INAENDELEA"?!!!

Unanipa "sherehe" ya maneno hayo jinsi utakavyo wewe iwe na si waliyoyatoa?!!!View attachment 1967350
Simuwekei maneno. Ukitumia maneno bila kujua maana yake sahihi unakuwa kwenye nafasi ya kujipotosha mwenyewe.Tunamuasa aelewe maana ya "Kuendeleza". Huwezi kufanya jambo vile vile lilivyo na kisha kudai unaendeleza.
 
CCM chenyewe ni chama cha waswahili.....

Unaongea kama uko ndotoni vile....

Kwani uongo
Mbona ni ukweli
Magu alikuwa anatukana na kufoka ndio unaona kazi inafanyika
Hela zinaibiwa ( huko ni kutokuwa na haya)
Sio chama tu mimi naongelea maisha kwa ujumla
Hata hao wa chama ni majizi tu
 
Simuwekei maneno. Ukitumia maneno bila kujua maana yake sahihi unakuwa kwenye nafasi ya kujipotosha mwenyewe.Tunamuasa aelewe maana ya "Kuendeleza". Huwezi kufanya jambo vile vile lilivyo na kisha kudai unaendeleza.
Unajizungusha sana.....

Awamu ya 5 ilikuja na "HAPA KAZI TU".....awamu ya 6 ikaendeleza ilipoishia......
 
Ccm unaidharau. Unaona watu wake hawana akili ya kutunza chama na kukilinda. Unadhani hawana umoja.
CCM sijawahi kamwe kuidharau ama kuichukulia poa. Natambua ni li dubwashika kubwa ambalo "Achilles' heels" zake zipo kama "unbaisedness & predujices" zilizojificha ndani ya hisia wa itikadi za chama.
 
inakuaje wewe Shaka muhuni tu kuaza kujua maswala ya president
 
Kweli kabisa. Kama Rais atazungumza na taifa lake, taarifa hiyo ingetolewa na msemaji wa serikali siyo Chama. Itifaki hizi zina misingi yake. Msemaji wa chama hastahili kuisemea serikali. Ni suala la msingi kuhusu dhana ya mgawanyo wa majukumu.
 
Kati ya viongozi wa kisiasa ambao hata waongee jambo gani siwezi tilia maanani ni huyu mwenezi wa CCM...
 
CCM sijawahi kamwe kuidharau ama kuichukulia poa. Natambua ni li dubwashika kubwa ambalo "Achilles' heels" zake zipo kama "unbaisedness & predujices" zilizojificha ndani ya hisia wa itikadi za chama.
Basi akili unazo za kutosha.
 
Tangu lini ccm wakaongea jambo la maana, kila siku wanaongea pumba tu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…