Snipper
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,336
- 2,171
- Thread starter
- #41
Karibu sana mkuu. Bei kitonga mno. Kwa eka moja hiyo bei iko kitonga hasa maana ukiwa na mtaji wa ziada ukaamua ufanye kilimo misimu miwili tu hela yako inarudi unabakia na ardhi yakoDaaa hii fursa nzuri sana. Bei kitonga kabisa hiyo.