50yrsMitiki iliyokomaa kwa kuvunwa huchukua miaka mingapi??
Jamaa mbona hajazungumzia wizi?yas unaweza kushangaa ila fanya reseach then njoo tufanye biashara hakuna wizi pia shamba lio na hati so acha kuwatisha watu huwezi jua napitia changamoto gani so bro kama haina umuhim kaa pembeni tafadhali.
10+Mitiki iliyokomaa kwa kuvunwa huchukua miaka mingapi??
20yrsMitiki iliyokomaa kwa kuvunwa huchukua miaka mingapi??
Ndio nimemshangaa nikakosa hata namna yakumjibu,Ila ndio watu wetu hawa.Mimi nimeuliza ki logic yeye analeta Mipasho nimeachana nae.Jamaa mbona hajazungumzia wizi?