Shambulio la IDF limelemaza uzalishaji wa makombora wa Iran na kuzima ulinzi wa anga; utawala wa Iran washtuka

Umekiri vizee na sharubu zao na ndevu kama mopper kuteswa na vitoto vinne vya kike tena bikra kutoka israel kila mmoja akiwa na F-35 yake
Take a bow loser
Hivi kiswahili ni kigumu sana!!, ebu tafuta % ya hao marubani wa 4, kwenye jumla ya marubani wote , maana nashindwa kuelewa shida yako ni kiswahili au hisabati?
 
Anasema maamuzi ya kulipiza analiachia jeshi.

Hiyo ni kuufyata kiutu uzima.
Ndio sasa tusiwe wepesi kushabikia. Wa mlengo wa kidini walisema Israel amepigwa na hana ubavu wala uwezo wa kumgusa Irani. Wakaenda mbali kusema siku Israel akijaribu tu ndio mwisho wake na Israel itabakia majivu. Na sisi tusio upande wowote wa Yahudi wala Kobaz tunasuburi hayo majivu.
 
Walitumwa watoto wa kike kutekeleza hiyo operation.
Kama ni kweli ni marubani wa kike waliotumika kumchakaza Iran, basi Israeli kaonesha dharau kubwa sana isiyo na neno mbadala la kutamka.

Tamaduni za Mashariki ya kati yote, mwanamke anaonekana ni kiumbe dhalili, sasa ukisakiziwa kupigwa naye hadi uchakae, utakuwa umeoneshwa dharau za mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…