Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Sio hiloItakua ni lile kundi la siasa na vita hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hiloItakua ni lile kundi la siasa na vita hilo
Iraq wamesha peleka malalamiko UN , Israel ametumia anga lake pasi na utaratibuYanani hadi F16 Iran wameshindwa kuzishusha dah..
Unaokoteza takataka unaileta huku. 🚮
Wewe ni gaidi tu nashangaa uliponaje kule Kibiti, ulipaswa uwe umeenda kwa wale mabikra 72 wa akhera wenye macho kama mayai.Hahaha na wewe ulivyokuwa punguani anaamini😂
Naona unasoma tu lakini huwezi kuelewa tafuta mkalimani akusaidie.Mnafosi sana kutuaminisha ile safari ya juzi ya chizi Israeli kwenda kuzurura na kurudi na makopo nyumbani kwao...bahati nzuri siku hizi vita vipo wazi ni kama mpira wa miguu tu,tumeona uwehu alioufanya Israeli juzi kazi kubwa gharama kubwa faida kuduchu
Hahaha,Anasema maamuzi ya kulipiza analiachia jeshi.
Hiyo ni kuufyata kiutu uzima.
Mimi hata sifanyi comment yoyote na angalia comment za watu huku na western media zinavyopamba hilo tukio mpaka nimeona aibu mimiHumu JF kuna wehu haki ya nani yaani alemaze uzalishaji wa makombora Iran? Kwahio kiwanda kiko wazi kama pale Magufuli stendi?
Nani anajali we kobazi?Mimi hata sifanyi comment yoyote na angalia comment za watu huku na western media zinavyopamba hilo tukio mpaka nimeona aibu mimi
Iran ni mweupe peeeNi aibu ndege zaidi ya 100 zinaelea kwenye anga lako na huna la kufanya!
Ndivo kondoo mnavyodanganywa:Al qassam brigade is no more
Sasa askari wanne kwa askari ELFU 1000+ nani kapoteza zaidi
Iran kapoteza lini askari 1000+ ?Sasa askari wanne kwa askari ELFU 1000+ nani kapoteza zaidiView attachment 3138187