Shambulio la IDF limelemaza uzalishaji wa makombora wa Iran na kuzima ulinzi wa anga; utawala wa Iran washtuka

Shambulio la IDF limelemaza uzalishaji wa makombora wa Iran na kuzima ulinzi wa anga; utawala wa Iran washtuka

Haina maajabu wala nn..? 100jet zimegawa dozi nakurudi salama
Dozi gani wakati Waisrael wenyewe wamenuna?

6F9B62FC-DBBE-47EF-8904-A0A8AF08DA32.png
 
Mashambulizi makubwa ya anga ya Israel nchini Iran siku ya Jumamosi yalilemaza uwezo wa Iran wa kuzalisha makombora ya masafa marefu katika pigo ambalo litakuwa gumu na linalochukuwa muda kurejesha, na kutoa vifaa muhimu vya nishati katika hatari ya mashambulizi ya siku za usoni kwa kuharibu betri za ulinzi wa anga zinazowalinda.

Mashambulizi hayo, ambayo shirika la utangazaji la Israel la Kan lilisema yalionyesha uwezo uliokuzwa kwa zaidi ya miongo miwili, yalionyesha uhuru mkubwa zaidi wa kufanya kazi kwa ndege za kivita za Israeli katika kushambulia Iran ikiwa mzozo wa sasa utaendelea kuongezeka, na vile vile kurudisha nyuma uwezo wa Tehran wa kurusha makombora kila wakati kwenye anga. Jimbo la Kiyahudi, ambalo Jerusalem inatazamia kuwa litatumika kama kizuizi dhidi ya mashambulio zaidi kwa serikali ya Kiyahudi.

https://www.timesofisrael.com/iran-...missile-production-disables-key-air-defenses/
Hahaha na wewe ulivyokuwa punguani anaamini😂
 
According to Gallant jamaa walikuwa wana roam kwenye anga la Iran watakavyo
😂😂😂sasa ulitaka Gallant aseme kitu gani ?wakati waziri wa ulinzi wa Israel Ndugu Ben Gvir amelaumu kuwa walichofanya HAKINA MAANA yeyote yeye bado anasubiri visima vya mafuta na sehemu ya kurutubisha nyuklia VIPIGWE
 
Ukweli ni kuwa Israel walirusha makombora elfu 2 kuishambulia Iran ila makombora hayo yalifanikiwa kutungua embe 1 tu lililokua juu ya mti.

Israel ajiandae na operation true promise 3 ya Iran wale hawatungui maembe wanakuja kuharibu military base zote
Nice and best wishes
 
Duh! Kobaz karibuni. Walisema hakuna madhara. Mficha maradhi

Huu mgogoro umekuwa na madhara kwa wote Israel na Iran...

Ni ngumu tu kwa serikali zote mbili kukiri moja kwa moja kwa sababu wanazozijua wao (kutompa adui kichwa)
 
Humu jukwaani kuna watu wana vichwa maji sijawahi kuona. Taarifa nyingi humu hazina ukweli wowote, ni full propaganda.. taarifa zenyewe zinatoka kwenye vyanzo vya uchochoroni.
Israel iliposhambuliwa tumeona kwa macho ya nyama makombora yakidondoka na milipuko kufuatia kisha moto.
Matokeo tukaambiwa kulikuwa hamna madhara yoyote. Kombora moja lilimdondokea mpalestina na kumuua!!!!
Israel nayo ikadhambulia nalengo huko Iran tena tunaambiwa kwa kutumi ndege vita 100. Na makombora ya masafa marefu yasio na idadi. Matokeo yake wamekufa askari wa4 na uharibifu mdogo. Can u imagine?
Tuacheni ushabiki maandazi...
 
Hivi wewe kwa akili zako unaweza kumaliza uzalishaji wa makombora Irani? Yaan makombora yazalishwe hapo Tehran peke yake? Tena pakiwa wazi kama kituo cha mwendo kasi? Walipiga kiwanda cha ATGM hizo zinatumika kufumulia vifaru na wamepiga kuna just kijisehemu na sio kusema kiwanda likiwaka moto
 
Back
Top Bottom