Shambulio la IDF limelemaza uzalishaji wa makombora wa Iran na kuzima ulinzi wa anga; utawala wa Iran washtuka

Shambulio la IDF limelemaza uzalishaji wa makombora wa Iran na kuzima ulinzi wa anga; utawala wa Iran washtuka

Mashambulizi makubwa ya anga ya Israel nchini Iran siku ya Jumamosi yalilemaza uwezo wa Iran wa kuzalisha makombora ya masafa marefu katika pigo ambalo litakuwa gumu na linalochukuwa muda kurejesha, na kutoa vifaa muhimu vya nishati katika hatari ya mashambulizi ya siku za usoni kwa kuharibu betri za ulinzi wa anga zinazowalinda.

Mashambulizi hayo, ambayo shirika la utangazaji la Israel la Kan lilisema yalionyesha uwezo uliokuzwa kwa zaidi ya miongo miwili, yalionyesha uhuru mkubwa zaidi wa kufanya kazi kwa ndege za kivita za Israeli katika kushambulia Iran ikiwa mzozo wa sasa utaendelea kuongezeka, na vile vile kurudisha nyuma uwezo wa Tehran wa kurusha makombora kila wakati kwenye anga. Jimbo la Kiyahudi, ambalo Jerusalem inatazamia kuwa litatumika kama kizuizi dhidi ya mashambulio zaidi kwa serikali ya Kiyahudi.

https://www.timesofisrael.com/iran-...missile-production-disables-key-air-defenses/
Hata mjipambe na kujiremba vipi, tumeshuhudia mkituwa wibu jubwa na Iran, kwanza. Kqq. Kichqpo cha April, kikfatiw. Kichapo cha Oktoba, sasa mmeshindwa kulipiza kisasi.

Washirazi walivyokuwa wanapanguwa makombora ya mazayuni hadi raha.

Licha ya kusaidiwa na mashoga wenzao wa jordan, merekani na nato, mazayuni wamekikwaa kisiki.

Na. Mzew Khwmenei leo kanifurahisha swna, kasema "walikosea Mahesabu" hawwtuumizi kichwa, wwlw hatuna sababu ya kuwarudishia moja kwa moja, lakini hatuwachii lipite tu.

Baads yw kusema hayo, hwijapita lisaw limojw tukadikia wamebamizwa na kuuliwa saba na Hezbollah.

Haijapita mudq tujasikia mazqyuni weomba poo na eti kuamuwa kujiondowa lebanon.

Walipotangazw hivyo tu, Hezbollah wakaongeza kuwanyofoa, bado nafatilia matokeo.
 
Yule wa Iraq wakati anatangaza Mara ya mwisho kabla ajatangaza USA akaangusha jengo kwa mbali kidogo uku ananaangalia tokea hapo hakuonekana tenaaaaaa.
Alikwenda kujisalimisha baada ya wairaq kutaka kumuua, kwa wanajeshi wa marekani wakamwambia hawana shida naye yeye ni propagandist tu 😂
 
Mashambulizi makubwa ya anga ya Israel nchini Iran siku ya Jumamosi yalilemaza uwezo wa Iran wa kuzalisha makombora ya masafa marefu katika pigo ambalo litakuwa gumu na linalochukuwa muda kurejesha, na kutoa vifaa muhimu vya nishati katika hatari ya mashambulizi ya siku za usoni kwa kuharibu betri za ulinzi wa anga zinazowalinda.

Mashambulizi hayo, ambayo shirika la utangazaji la Israel la Kan lilisema yalionyesha uwezo uliokuzwa kwa zaidi ya miongo miwili, yalionyesha uhuru mkubwa zaidi wa kufanya kazi kwa ndege za kivita za Israeli katika kushambulia Iran ikiwa mzozo wa sasa utaendelea kuongezeka, na vile vile kurudisha nyuma uwezo wa Tehran wa kurusha makombora kila wakati kwenye anga. Jimbo la Kiyahudi, ambalo Jerusalem inatazamia kuwa litatumika kama kizuizi dhidi ya mashambulio zaidi kwa serikali ya Kiyahudi.

https://www.timesofisrael.com/iran-...missile-production-disables-key-air-defenses/


View: https://youtube.com/shorts/9Kjn_K38QBM?si=RHkzCbm2ETcgqkct
 
Kama Radar hazifanyi kazi wapige visima vya mafuta kama walivyodai
Ni ombi la Dunia, wayahudi wasipige visima vya mafuta maana wataharibu uchumi wa Dunia, kwa bei za mafuta kuruka Duniani.
 
Ni ombi la Dunia, wayahudi wasipige visima vya mafuta maana wataharibu uchumi wa Dunia, kwa bei za mafuta kuruka Duniani.
Ombi la Dunia unalijua wewe Iran amewaonya hao wendawazimu wakaona huu ni moto wakaogopa

Wakaamua kupiga kiuoga uoga ili angalau wajifute aibu
 
Kama Radar hazifanyi kazi wapige visima vya mafuta kama walivyodai
Katika kitu ambacho naomba kisitokee basi ni hiki unacho kiomba wewe. Wakati wa vita vya Ghuba mwaka 1990; tulipata shida sana kama nchi; mafuta ya Iraq, Iran hata Saudia kwa kuja ukanda wetu huku ilikua changamoto. Nakumbuka ziara 1 ya katibu mkuu wa CCM that time bwana Horace Kolimba (alikua anakuja shuleni kwetu secondary) serikali ya wakati huo (those times KM wa CCM alikua ni zaidi ya waziri, msafara wenye heshima zote za kijeshi ) magari ilibidi yapunguzwe kwasababu ya uhaba wa mafuta. Bro, vita ya mashariki ya kati ina madhara makubwa kwetu; remember mafuta ya Russia nayo ni mtihani, halafu unaomba hilo kwa Iran tena bro? Think outside the box; kuna maisha nje ya DINI
 
Ni ombi la Dunia, wayahudi wasipige visima vya mafuta maana wataharibu uchumi wa Dunia, kwa bei za mafuta kuruka Duniani.
ahahaha hata Iran kwasasa Dunia ina ombi kwake kuwa usimjibu Israel tena kwa maana vita ya mashariki ya kati itakuwa mbaya
 
Katika kitu ambacho naomba kisitokee basi ni hiki unacho kiomba wewe. Wakati wa vita vya Ghuba mwaka 1990; tulipata shida sana kama nchi; mafuta ya Iraq, Iran hata Saudia kwa kuja ukanda wetu huku ilikua changamoto. Nakumbuka ziara 1 ya katibu mkuu wa CCM that time bwana Horace Kulimba (alikua anakuja shuleni kwetu secondary) serikali ya wakati huo (those times KM wa CCM alikua ni zaidi ya waziri, msafara wenye heshima zote za kijeshi ) magari ilibidi yapunguzwe kwasababu ya uhaba wa mafuta. Bro, vita ya mashariki ya kati ina madhara makubwa kwetu; remember mafuta ya Russia nayo ni mtihani, halafu unaomba hilo kwa Iran tena bro? Think outside the box; kuna maisha nje ya DINI
Sio mimi mkuu, hao ni waisrael wenyewe ndio walisema kuwa watapiga visima vya mafuta na maeneo ya urutubishaji wa Nyuklia pale Iran, lengo ni kuhakikisha Iran anakatwa kabisa nguvu yake ya kiuchumi, kwahiyo mimi nakazia tu kama Rada hazifanyi kazi ndio wakati muafaka wa kupiga ile pumzi ya Iran, na ukitaka kujua hili msikilize waziri wa ulinzi wa Israel anachosema

12E8D60B-B0FE-4F5C-BE97-86B044239AF1.png
 
Ni ombi la Dunia, wayahudi wasipige visima vya mafuta maana wataharibu uchumi wa Dunia, kwa bei za mafuta kuruka Duniani.

Iran anauza wapi mafuta? Ujui kama Iran ana vikwazo na mafuta mengi anauza Kwa magendo.
 
Sio mimi mkuu, hao ni waisrael wenyewe ndio walisema kuwa watapiga visima vya mafuta na maeneo ya urutubishaji wa Nyuklia pale Iran, lengo ni kuhakikisha Iran anakatwa kabisa nguvu yake ya kiuchumi, kwahiyo mimi nakazia tu kama Rada hazifanyi kazi ndio wakati muafaka wa kupiga ile pumzi ya Iran, na ukitaka kujua hili msikilize waziri wa ulinzi wa Israel anachosema

View attachment 3136866
Najua sio wewe mkuu; na mimi nasisitiza, katika vitu ambavyo naombea visitokee basi ni hivo 2, hasa hicho cha kwanza; mafuta. Hilo na nuclear kama ulisoma Chemistry hadi form 4 I think sina sababu ya kueleza, watajuana wenyewe. But swali la kipuuzi tu (mi sina hakika kama ndege zile zilifanya hicho tunacho kisoma, kwa ufupi bado nipo neutral siamini report from both Israel or Iran about the last invasion of Israel to Iran) hivi na wewe unaamini kwamba Iran anaweza kuweka ulinzi mkali zaidi kwenye visima vya mafuta zaidi kuliko kambi zake za jeshi? I mean, kwa mtazamo wako, ni wapi kutakua na ulinzi zaidi kati ya visima vya mafuta na kambi za kijeshi?
 
Ukweli ni kuwa Israel walirusha makombora elfu 2 kuishambulia Iran ila makombora hayo yalifanikiwa kutungua embe 1 tu lililokua juu ya mti.

Israel ajiandae na operation true promise 3 ya Iran wale hawatungui maembe wanakuja kuharibu military base zote
 
Back
Top Bottom