Shambulio la kielektroniki (pagers) la Israel kwa Lebanon ni la uwoga na kuchanganyikiwa kivita

Shambulio la kielektroniki (pagers) la Israel kwa Lebanon ni la uwoga na kuchanganyikiwa kivita

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu.

Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa Lebanon ni zaidi ya woga bali ni kuchanganyikiwa kivita kuliko wazi.

Inakuwaje unaamua kutumia vilipuzi kulenga adui ambaye huna uhakika kuwa ndio yeye au yuko wapi.Halafu Israel inajidai kusema inapiga Hamas na Hizbullah.

Miongoni mwa maeneo pagers hizo zilipolipuka ni pamoja na masokoni na miongoni mwa watu waliojeruhiwa na kufa ni watoto.

Nini kimeipata Israel mpaka inafanya mashambulio ya woga namna hiyo.Wameshindwa wapi kuwafuata Hizbullah ndani ya mipaka ya Lebanon ambako ndiko wanakorushia makombora yao kulekea kwao.

Tunasubiri Mzee Kigogo,Imeloa na wenzao waofautishe kati ya woga wa kujificha nyuma ya akinamama na kutumia silaha kuwalenga watu wakiwa masokoni bila kuwafuata kupambana nao.

Tofauti na mwezi mmoja uliopita Israel baada ya kupokea kipigo cha ballistic kutoka Yemen leo ni ya tatu imeufyata.
 
Israel kwa shambulio hili ndio inajifichua ubaya wake na kujizamisha kiuchumi kwani wengie watajiuliza kwanza vifaa vyao vya kielektronik vimetengenezwa wapi.
 
Waoga ni wanaojificha nyuma ya wanawake na watoto na kuvaa madela, au Hawa wanaokufyatua popote ulipo?!
Mtu anajificha mbali anakushambulia kwa mawe na wewe huoni kuwa huyo ni mwoga.
 
Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu.

Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa Lebanon ni zaidi ya woga bali ni kuchanganyikiwa kivita kuliko wazi.

Inakuwaje unaamua kutumia vilipuzi kulenga adui ambaye huna uhakika kuwa ndio yeye au yuko wapi.Halafu Israel inajidai kusema inapiga Hamas na Hizbullah.

Miongoni mwa maeneo pagers hizo zilipolipuka ni pamoja na masokoni na miongoni mwa watu waliojeruhiwa na kufa ni watoto.

Nini kimeipata Israel mpaka inafanya mashambulio ya woga namna hiyo.Wameshindwa wapi kuwafuata Hizbullah ndani ya mipaka ya Lebanon ambako ndiko wanakorushia makombora yao kulekea kwao.

Tunasubiri Mzee Kigogo,Imeloa na wenzao waofautishe kati ya woga wa bbb kujificha nyuma ya akinamama na kutumia silaha kuwalenga watu wakiwa masokoni bila kuwafuata kupambana nao.

Tofauti na mwezi mmoja uliopita Israel baada ya kupokea kipigo cha ballistic kutoka Yemen leo ni ya tatu imeufyata.
Kwni hao hezb hawaendi sokoni? Vita mbaya , silaha ya adui haichagui wa kumuathiri awe mtoto,mzee au mwanamke. Bahati mbaya sana wazee watoto n wanawake ni waathiriwa wakubwa wa vita duniani kote
 
Kwni hao hezb hawaendi sokoni? Vita mbaya , silaha ya adui haichagui wa kumuathiri awe mtoto,mzee au mwanamke. Bahati mbaya sana wazee watoto n wanawake ni waathiriwa wakubwa wa vita duniani kote
Kwa hiyo umekubali basi kuwa hata kujificha kwa wapiganao hakuna sababu ya kuchagua.Nashangaa kuna watu wanawalaumu Hamas kwamba wamejificha ndani ya mashimo eti wanatokeza juu kama panya buku.Kumbe Israel inajificha kwa aibu zaidi.
 
Kwni hao hezb hawaendi sokoni? Vita mbaya , silaha ya adui haichagui wa kumuathiri awe mtoto,mzee au mwanamke. Bahati mbaya sana wazee watoto n wanawake ni waathiriwa wakubwa wa vita duniani kote
kwani sokoni hujui kwamba wanaingia kila mtu wakiwemo walemavu.Hao wamekosa nini
 
Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu.

Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa Lebanon ni zaidi ya woga bali ni kuchanganyikiwa kivita kuliko wazi.

Inakuwaje unaamua kutumia vilipuzi kulenga adui ambaye huna uhakika kuwa ndio yeye au yuko wapi.Halafu Israel inajidai kusema inapiga Hamas na Hizbullah.

Miongoni mwa maeneo pagers hizo zilipolipuka ni pamoja na masokoni na miongoni mwa watu waliojeruhiwa na kufa ni watoto.

Nini kimeipata Israel mpaka inafanya mashambulio ya woga namna hiyo.Wameshindwa wapi kuwafuata Hizbullah ndani ya mipaka ya Lebanon ambako ndiko wanakorushia makombora yao kulekea kwao.

Tunasubiri Mzee Kigogo,Imeloa na wenzao waofautishe kati ya woga wa kujificha nyuma ya akinamama na kutumia silaha kuwalenga watu wakiwa masokoni bila kuwafuata kupambana nao.

Tofauti na mwezi mmoja uliopita Israel baada ya kupokea kipigo cha ballistic kutoka Yemen leo ni ya tatu imeufyata.
Nimesoma na kugundua ndani ya Lebanon vifaa hivi vilitumiwa na hezeb tu, aliyekuwa nacho ni mfuasi wao na si rais wa kawaida. Hivyo tuhuma zako ni uongo
 
Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu.

Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa Lebanon ni zaidi ya woga bali ni kuchanganyikiwa kivita kuliko wazi.

Inakuwaje unaamua kutumia vilipuzi kulenga adui ambaye huna uhakika kuwa ndio yeye au yuko wapi.Halafu Israel inajidai kusema inapiga Hamas na Hizbullah.

Miongoni mwa maeneo pagers hizo zilipolipuka ni pamoja na masokoni na miongoni mwa watu waliojeruhiwa na kufa ni watoto.

Nini kimeipata Israel mpaka inafanya mashambulio ya woga namna hiyo.Wameshindwa wapi kuwafuata Hizbullah ndani ya mipaka ya Lebanon ambako ndiko wanakorushia makombora yao kulekea kwao.

Tunasubiri Mzee Kigogo,Imeloa na wenzao waofautishe kati ya woga wa kujificha nyuma ya akinamama na kutumia silaha kuwalenga watu wakiwa masokoni bila kuwafuata kupambana nao.

Tofauti na mwezi mmoja uliopita Israel baada ya kupokea kipigo cha ballistic kutoka Yemen leo ni ya tatu imeufyata.
Sasa huyu mfia dini kaandika utumbo gani kubisha kitu kiko wazi video tumeziona ni watu wazima tena wanaume na ndevu zao wamelazwa hawana miguu, hawana pumbu, hawana tako, utumbo upo nje, mikono hawana , watoto ndio imekuwa kichaka chenu cha kutafuta huruma ya dunia
 
Sasa huyu mfia dini kaandika utumbo gani kubisha kitu kiko wazi video tumeziona ni watu wazima tena wanaume na ndevu zao wamelazwa hawana miguu, hawana pumbu, hawana tako, utumbo upo nje, mikono hawana , watoto ndio imekuwa kichaka chenu cha kutafuta huruma ya dunia
Waliokufa mpaka sasa ni 9 na wengne wamejeruhiwa.
Jee huoni kuwa hili ni shambulio la uwoga na kuchanganyikiwa
 
Sasa huyu mfia dini kaandika utumbo gani kubisha kitu kiko wazi video tumeziona ni watu wazima tena wanaume na ndevu zao wamelazwa hawana miguu, hawana pumbu, hawana tako, utumbo upo nje, mikono hawana , watoto ndio imekuwa kichaka chenu cha kutafuta huruma ya dunia
Watoto umewaona au hukuwaona
 
Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu.

Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa Lebanon ni zaidi ya woga bali ni kuchanganyikiwa kivita kuliko wazi.

Inakuwaje unaamua kutumia vilipuzi kulenga adui ambaye huna uhakika kuwa ndio yeye au yuko wapi.Halafu Israel inajidai kusema inapiga Hamas na Hizbullah.

Miongoni mwa maeneo pagers hizo zilipolipuka ni pamoja na masokoni na miongoni mwa watu waliojeruhiwa na kufa ni watoto.

Nini kimeipata Israel mpaka inafanya mashambulio ya woga namna hiyo.Wameshindwa wapi kuwafuata Hizbullah ndani ya mipaka ya Lebanon ambako ndiko wanakorushia makombora yao kulekea kwao.

Tunasubiri Mzee Kigogo,Imeloa na wenzao waofautishe kati ya woga wa kujificha nyuma ya akinamama na kutumia silaha kuwalenga watu wakiwa masokoni bila kuwafuata kupambana nao.

Tofauti na mwezi mmoja uliopita Israel baada ya kupokea kipigo cha ballistic kutoka Yemen leo ni ya tatu imeufyata.


Huna akili, kama unazo basi zile za madrassa
 
Naam magaidi Hezbollah waliamua kwa pamoja kutumia teknolojia ya zamanı ili kukwepa mkono wa myahudi.
Ila baada ya shambulio la jana sasa wamegundua myahudi ni kama maji usipokunywa basi utatumia kuogea.

Itabidi sasa watumie barua za mkono kuwasiliana na huko pia dawa yao iko jikoni
 
Apa mkuu webabu utosikia Israel wamerusha jiwe uko Yemen yule kashajikomboa. Zaid kwasasa Israel anaoff asije kupiga tena lkn matanko yakuwa tutawaba kibano Yemen awatosau kizaz na kizaz ayo utasikia kutoka Israel lkn awapigi. Nimekaaa paleee na mwajuma wangu.
 
Back
Top Bottom