Shambulio la kielektroniki (pagers) la Israel kwa Lebanon ni la uwoga na kuchanganyikiwa kivita

Shambulio la kielektroniki (pagers) la Israel kwa Lebanon ni la uwoga na kuchanganyikiwa kivita

Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu.

Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa Lebanon ni zaidi ya woga bali ni kuchanganyikiwa kivita kuliko wazi.

Inakuwaje unaamua kutumia vilipuzi kulenga adui ambaye huna uhakika kuwa ndio yeye au yuko wapi.Halafu Israel inajidai kusema inapiga Hamas na Hizbullah.

Miongoni mwa maeneo pagers hizo zilipolipuka ni pamoja na masokoni na miongoni mwa watu waliojeruhiwa na kufa ni watoto.

Nini kimeipata Israel mpaka inafanya mashambulio ya woga namna hiyo.Wameshindwa wapi kuwafuata Hizbullah ndani ya mipaka ya Lebanon ambako ndiko wanakorushia makombora yao kulekea kwao.

Tunasubiri Mzee Kigogo,Imeloa na wenzao waofautishe kati ya woga wa kujificha nyuma ya akinamama na kutumia silaha kuwalenga watu wakiwa masokoni bila kuwafuata kupambana nao.

Tofauti na mwezi mmoja uliopita Israel baada ya kupokea kipigo cha ballistic kutoka Yemen leo ni ya tatu imeufyata.
Nina swali moja tu? Unazoefu gani kwenye uwanja wa ulinzi na usalam? Una uzoefu gani kwneye uwanja wa vita?
 
Nina swali moja tu? Unazoefu gani kwenye uwanja wa ulinzi na usalam? Una uzoefu gani kwneye uwanja wa vita?
Nadhani umevutiwa na jinsi ambavyo utabiri wangu tangu Ukraine na sasa Israel ambavyo haujakwenda kombo sana.
Nilisema zamani kiburi cha Israel hatasitisha vita lakini itakuwa sababu ya kuongezeka vita na kujidhuru yenyewe.
 
Kitawakuta nini wewe?Hayo maneno mlianza kujieleza tangu Oktoba 7 na Gaza ikageuzwa kifusi.
Usiwe kipofu wa hali ya vita inavyoendelea sasa mashariki ya kati.
Wengi wetu tulioona ukweli ni kutokana na imani zetu lakini kiuhakika kila mmoja hakutaraji kundi ambalo silaha zake kubwa ni rpg na makombora ya masafa mafupi kuweza kuvimbiana na mataifa makubwa matatu kwa muda wa mwaka.
Nikisema imani ni kwamba tunaamini mnyonge mwenye kumtegemea Mungu basi daima ataumizwa lakini huwa hashindwi.
 
Usiwe kipofu wa hali ya vita inavyoendelea sasa mashariki ya kati.
Wengi wetu tulioona ukweli ni kutokana na imani zetu lakini kiuhakika kila mmoja hakutaraji kundi ambalo silaha zake kubwa ni rpg na makombora ya masafa mafupi kuweza kuvimbiana na mataifa makubwa matatu kwa muda wa mwaka.
Kila mtu anachagua upande autakao na halazimishwi.Wanamvimbia nani sasa hao wapuuzi Hamas?Wakiamuliwa kufutwa kwa dakika kumi kwani haiwezekani?Na unapojitia unyonge eti wanapambana na mataifa matatu makubwa,kwa nini unajisahsulisha kuhusu Iran,Houth,Hezbollah na wengine wanaojifichaficha?Huo ni unafiki uliokomaa.
 
Nadhani umevutiwa na jinsi ambavyo utabiri wangu tangu Ukraine na sasa Israel ambavyo haujakwenda kombo sana.
Nilisema zamani kiburi cha Israel hatasitisha vita lakini itakuwa sababu ya kuongezeka vita na kujidhuru yenyewe.
Sijavutiwa na tabiri , nataka kujua your background in that field, uzoef wako wanja huo na experience yako ya vyombo vya usalama
 
sinwar sinwar do you read me...
photo_2024-09-18_01-35-19.jpg
 
Naam magaidi Hezbollah waliamua kwa pamoja kutumia teknolojia ya zamanı ili kukwepa mkono wa myahudi.
Ila baada ya shambulio la jana sasa wamegundua myahudi ni kama maji usipokunywa basi utatumia kuogea.

Itabidi sasa watumie barua za mkono kuwasiliana na huko pia dawa yao iko jikoni
Huku Myahudi atawapelekea kimeta.

Amepata baruaaa
Toka kwa mjomba wakee,
Kusoma haweeeziii
Anaogopa kimetaaa
Kime, kime, kimeme, kime.
R.I.P BANZA STONE.
 
Tafadhali Mods, tunaomba muongezee emoji 🚮🚮🚮 kwenye eneo la thanks

@Modelator
 
Kila mtu anachagua upande autakao na halazimishwi.Wanamvimbia nani sasa hao wapuuzi Hamas?Wakiamuliwa kufutwa kwa dakika kumi kwani haiwezekani?Na unapojitia unyonge eti wanapambana na mataifa matatu makubwa,kwa nini unajisahsulisha kuhusu Iran,Houth,Hezbollah na wengine wanaojifichaficha?Huo ni unafiki uliokomaa.
Haijawahi kutajwa kuwa Houth na Hizbullah na wenzao Hamas angalau ni nchi wachilia mbali kuwa majeshi makubwa ukilinganisha na Israel
Sasa ukiona wamezuia ushindi kuna kitu cha kujifunza hapo kwa mwenye akili
 
Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu.

Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa Lebanon ni zaidi ya woga bali ni kuchanganyikiwa kivita kuliko wazi.

Inakuwaje unaamua kutumia vilipuzi kulenga adui ambaye huna uhakika kuwa ndio yeye au yuko wapi.Halafu Israel inajidai kusema inapiga Hamas na Hizbullah.

Miongoni mwa maeneo pagers hizo zilipolipuka ni pamoja na masokoni na miongoni mwa watu waliojeruhiwa na kufa ni watoto.

Nini kimeipata Israel mpaka inafanya mashambulio ya woga namna hiyo.Wameshindwa wapi kuwafuata Hizbullah ndani ya mipaka ya Lebanon ambako ndiko wanakorushia makombora yao kulekea kwao.

Tunasubiri Mzee Kigogo,Imeloa na wenzao waofautishe kati ya woga wa kujificha nyuma ya akinamama na kutumia silaha kuwalenga watu wakiwa masokoni bila kuwafuata kupambana nao.

Tofauti na mwezi mmoja uliopita Israel baada ya kupokea kipigo cha ballistic kutoka Yemen leo ni ya tatu imeufyata.
 
Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu.

Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa Lebanon ni zaidi ya woga bali ni kuchanganyikiwa kivita kuliko wazi.

Inakuwaje unaamua kutumia vilipuzi kulenga adui ambaye huna uhakika kuwa ndio yeye au yuko wapi.Halafu Israel inajidai kusema inapiga Hamas na Hizbullah.

Miongoni mwa maeneo pagers hizo zilipolipuka ni pamoja na masokoni na miongoni mwa watu waliojeruhiwa na kufa ni watoto.

Nini kimeipata Israel mpaka inafanya mashambulio ya woga namna hiyo.Wameshindwa wapi kuwafuata Hizbullah ndani ya mipaka ya Lebanon ambako ndiko wanakorushia makombora yao kulekea kwao.

Tunasubiri Mzee Kigogo,Imeloa na wenzao waofautishe kati ya woga wa kujificha nyuma ya akinamama na kutumia silaha kuwalenga watu wakiwa masokoni bila kuwafuata kupambana nao.

Tofauti na mwezi mmoja uliopita Israel baada ya kupokea kipigo cha ballistic kutoka Yemen leo ni ya tatu imeufyata.
Adui utamchaguliaje silaha, kama ambavyo yeye hakuchagulii silaha. Hata meno anang'ata ili mradi ashinde mpambano.
 
Back
Top Bottom