Shambulio la kielektroniki (pagers) la Israel kwa Lebanon ni la uwoga na kuchanganyikiwa kivita

Umeona mbali
 
yaani mwanadamu ninakaa hapa nafurahia na kukenua mimeno wanadamu wengine wanapojilipua na kuuana kama kuku?

Its unfortunate
 
naiona hii italipwa kikatili sana...USA,NATO wakae mbali kidogo walau tuone how good israel is kuvumilia yajayo
 
naiona hii italipwa kikatili sana...USA,NATO wakae mbali kidogo walau tuone how good israel is kuvumilia yajayo
Vita vya Gaza vinazalisha ugomvi zaidi.Ukaidi wa kusitisha vita utakuwa na malipo mabaya kwa Israel na muda za mrefu sana huko tuendako.
 
Umenena mkuu chukua tano
Maana ya woga ni kujificha usionekane kabisa.Ukijificha nyuma ya mwengine ni nusu tu ya woga.
Lakini nani huyo anayejificha nyuma ya wanawake
 
Wale wanaume hata US na UK wanaelewa ni no nonsense hawana chakupoteza wako very aggressive na Israel atakubali shoo wana sema siku anakanyaga mguu Lebanon yemen anapeleka wahuni laki pale Syria wanatwanga kutokea Syria wakutane kati na hizbollah
 
Umechanganyikiwa wewe.Unataka kutueleza wewe ndiye unajua mbinu na adui alipo kuliko wao walioona kulipua hizo pagers ni sahihi?
 
Huko nako watawekewa anthrax/kimeta.
 


NYIE JAMAA MNALIA LIA SANA. KAENI VIZURI SINDANO IINGIE. KAMA NI WOGA SI NDO INABIDI MFURAHI MSILALAMIKE TENA? NYIE JAMAA WALALAMISHI KILA KITU KAMA MAMA ASO NA MWANA.
 

HAWA JAMAA YAANI NI KAMA UNAPIGANA NA MTU UKIMPIGA KONZI ANAGUNDUA KUMBE MKONO WAKO ULIWAHI KUVUNJIKA ANAUVUNJA TENA, UKIPIGANA NAYE UKARUSHA TEKE ANAGUNDUA KUMBE UNA TEGE HAUPO STABLE ANAKUGONGA MGUU ULIOBAKI. YAANI HAMNA HERI. NIMEWACHOKA KABISA MAYAHUDI. SISI MAARABU TUNALIA LIA TU SASA.
 

WATOTO WACHANGA WALIKUWA WANATUMIA PAGERS? DAAAAH.... NYIE JAMAA DUNIA ITAWACHEKA SANA. KWANI NA HIZBULLAH WALILIPUA ISRAEL?
 
Umechanganyikiwa wewe.Unataka kutueleza wewe ndiye unajua mbinu na adui alipo kuliko wao walioona kulipua hizo pagers ni sahihi?
Kama wewe vile vile ulivyochanganyikiwa.Yaani unaona october 7 Hamas hawakuchagua vyema namna ya kuvuka mpaka.Dunia hii ni kuheshimiana tu hakuna kujidai kwa teknolojia wala nini.
Teknolojia ni mali ya wote.Mungu hana upendeleo.
 
Kama wewe vile vile ulivyochanganyikiwa.Yaani unaona october 7 Hamas hawakuchagua vyema namna ya kuvuka mpaka.Dunia hii ni kuheshimiana tu hakuna kujidai kwa teknolojia wala nini.
Teknolojia ni mali ya wote.Mungu hana upendeleo.
Kwa hiyo usiwachagulie.Wanapiga kenge wakiwa mbali kabisa.
 
Leo hii Beirut Lebanon Mji uko kimyaaa!! Magaidi ya Hezbola yanaogopana Gaidi mmoja akimuona Gaidi mwenzake anakula kona anafikiri atamlipukia😆😂🤣
 
Leo hii Beirut Lebanon Mji uko kimyaaa!! Magaidi ya Hezbola yanaogopana Gaidi mmoja akimuona Gaidi mwenzake anakula kona anafikiri atamlipukia😆😂🤣
Divide and rule.Tawanya kenge na uwadunde hasa!😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…