Shambulio la kielektroniki (pagers) la Israel kwa Lebanon ni la uwoga na kuchanganyikiwa kivita

Haijawahi kutajwa kuwa Houth na Hizbullah na wenzao Hamas angalau ni nchi wachilia mbali kuwa majeshi makubwa ukilinganisha na Israel
Sasa ukiona wamezuia ushindi kuna kitu cha kujifunza hapo kwa mwenye akili
Basi ni vema ukatumia akili yako kwa kujiongeza badala kutiatia huruma jamaa zako wakifundwa.
 
Kwani dunia haiwezi kukaa bila vita na kuuana ? Au ni hofu ya ongezeko la idadi ya watu na kumtawala kwa urahisi ?
Kuna binadamu wanapenda wajipandishe hadhi wawazidi binadamu wenzao.Wanatumia njia ambazo ni haramu wafikie malengo hayo.
 
Amka usingizini dogo!

Pale Yemen palipigwa kombora kadhaa bandarini hadi hao Houth wa kakaa chini.

Subiri yahudi amalizane na Hezbollah kwanza uone
 
Amka usingizini dogo!

Pale Yemen palipigwa kombora kadhaa bandarini hadi hao Houth wa kakaa chini.

Subiri yahudi amalizane na Hezbollah kwanza uone
Ni ndoto tu hizo.Hakuna kumalizana ni kupigana na ushindi utakuwa mgumu kwa rafiki yako
 
Kujiongeza na kama kupi unakokusudia kwa sababu mimi ni zaidi yako wewe.
Wewe ni zuzu.Kama nilichokiandika kwa lugha nyepesi umeshindwa kuelewa unataka usaidiwe nini hapo?Saa hizi acha kunisumbuasumbua.Huna jipya kwenye mbichwa huo.
 
Wewe ni zuzu.Kama nilichokiandika kwa lugha nyepesi umeshindwa kuelewa unataka usaidiwe nini hapo?Saa hizi acha kunisumbuasumbua.Huna jipya kwenye mbichwa huo.
Nimerudi kwenye lile jibu lako la awali nimegundua hata ulichojibu ilikuwa sio jibu sahihi ya nilichokusudia.
Sasa sijui mbichwa wenye shida ni wangu au ni wa kwako.
Naamini raraa reree akinisoma atanipa haki yangu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Waislamu bhana πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaan kubazi mmefikia hatua mnawapangia Hadi wayahudi silaha za kutumia?Yani nimewaruhusu hata kama wakikamata gaid na wakaamua kung'ata mpaka
life ni ruksa
 
Yaan kubazi mmefikia hatua mnawapangia Hadi wayahudi silaha za kutumia?Yani nimewaruhusu hata kama wakikamata gaid na wakaamua kung'ata mpaka
life ni ruksa
Mbona na washirika wake wengi wamesema walilofanya ni shambulio la aibu na linalokwenda kinyume na maazimio yote ya kivita.
Wewe tu ndio umeona wamefanya la maana.
Haa angalia basi kama Hizbullah wamenyamazishwa au ndio kazi inaendelea.
 
Mbona na washirika wake wengi wamesema walilofanya ni shambulio la aibu na linalokwenda kinyume na maazimio yote ya kivita.
Wewe tu ndio umeona wamefanya la maana.
Haa angalia basi kama Hizbullah wamenyamazishwa au ndio kazi inaendelea.
Kweny vita hatuchaguliani silaha...wangekuwa hawapend vita wangetuliza makomwe nyumbani kwako ...Sasa watapigwa Hadi washangae...
 
KipΔ™ moto tu lakini ndiyo mnaondoka na kupotea hivyo mdogo mdogo. Hatimaye na Quran nayo will be flushed down the toilet
 
Kweny vita hatuchaguliani silaha...wangekuwa hawapend vita wangetuliza makomwe nyumbani kwako ...Sasa watapigwa Hadi washangae...
Hilo liko wazi.Vita vikishtadi basi chochote kinaweza kutokea.Kinachoshangaza kuna mashambulizi yakifanywa na wengine huitwa ni ya kigaidi japo ni hafifu kuliko yanayofanywa na wanaotoa majina hayo.
Kwa hivyo walichofanya Hamas ambao wazazi wao walifukuzwa maeneo ya Palestina wala halikuwa jambo la ajabu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…