Shambulizi la Israel kwa Iran ni shambulio lililofanywa kwa nidhamu ya hali ya juu sana”it was a clear demonstration of capability, intent and will.”

Shambulizi la Israel kwa Iran ni shambulio lililofanywa kwa nidhamu ya hali ya juu sana”it was a clear demonstration of capability, intent and will.”

In fact ilikuwa ni chenga ya mwili! Maana misheni yao ilikuwa kuharibu zana za ulinzi ambazo zilikuwa hazilindwi na hakuna aliyetegemea zitashambuliwa. Akili kubwa
Kweli watu wengi hunu ni vilaza mmekosa video mmekosa picha haya hivyo vi bomu vyao ona vilivyo kua vikitunguliwa
 

Attachments

  • 5863892-e8710a73d746441d81177373c449a39.mp4
    912.3 KB
Swali la kujiuliza no hili!

Kwa Sasa Tanzania ya mama samiah kijasusi imeegemea wapi!!?

Coz uhusiano na america umesha tetereka,je tunapoegemea huko ni salama!?hasa tunapoelekea kwenye chaguzi zetu!!?

Nawaza tu mimi!

Mama Samia ni msikivu, mvumilivu ana huruma na imani. Hata kina wale walirudi na wanasema watakavyo bila woga.
Anajitahidi kuiendekeza iwe nghi ya viwanda
Jamani mpeni haki yake huyu mama.
 
Hatari sana.

Israeli akipiga tunasema ni precision strike na Iran kapigwa, Iran akipiga tunasema hapana Iron dome zimekamata.

Hii vita tuwaachie wenyewe, Kila mtu anajua anachokifanya.

Cha msingi tuwaombee amani, Palestina wapate Taifa lao nao waendelee na maisha yao.
 
Mimi na "wenzangu" tunajipiga vifua na kuamini Mazayuni hayawezi kuifanya chochote Iran.Mola atutangulie.
Sasa ndio nimeanza kumuonea huruma Iran maana hakujua analolifanya kumbe alikua amewekewa mtego watu wanakujua nje ndani yaan mpaka bafuni unapigaje msuaki kwenye sink choo chako kimeleekea upande gani ukinya unakaajekaaje usigombane na mtu wa namna hio yaan usijaribu kabisa
 
Eti 80% ya marubani walikuwa wanawake! Watu kwa kulopoka tu hamjambo.

Israeli imefeli vibaya sana mpaka aibu naona mimi. mpango waliopanga wa kutaka dunia ishuhudie na kushangazwa na nguvu yake na iwe gumzo la dunia, imefeli vibaya sana kwa kupanguliwa mashambulizi yake kwa 98%. HII NI AIBU YA MWAKA
 
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will.
Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao.

View attachment 3136831


Kwa tuliosoma mambo ya intelligent na utetezi wa nchi kwa kumvamia jiran adui hii inapewa rank “AK” yaan
Uvamizi huo unaonyesha kiwango cha uratibu na utekelezaji ambacho ni sahihi zaidi, cha kisasa na cha kuangamiza zaidi kuliko kurusha ndege zisizo na rubani au makombora ambayo hayakuwa na mafanikio ambayo ndiyo njia pekee ya kawaida ya Iran kushambulia Israeli. In deed that was level of co-ordination and execution that is way more precise, sophisticated and devastating than the salvo firing of some less-than-successful drones or missiles - which is Iran’s only viable conventional means to strike Israe

View attachment 3136839

Bado hatujaona matokeo yote lakini idadi fulani ya shabaha muhimu zinazohusishwa na uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani za Iran zinaonekana kuwa shabaha kuu - pili yale ambayo dunia ilitegemea yatalengwa siyo yaliyopigwa Ila shambulio hili ni lile linaloweza kudhoofisha ulinzi kwa anayetaka kulenga maeneo ya nyuklia au vifaa vya mafuta huko iran,
Mapema Jana Bibi Netanyahu Kasema hawajapiga maeneo hayo Target yao kubwa ni tofauti, leo imenukuliwa pia Kiongozi wa Upinzani ndani ya Iran bwana Imran akisema
Kwamba mitambo ilokuwa inalinda makombora ya adui yasipige maeneo ya nyukilia imeharibiwa vibaya sana nchini Iran na hivo Iran iko uchi’ na kutengeneza hzi mitambo inaweza tumia muda wa Mwaka mmoja’ hivo kwa sasa Iran iko hatarini sana!
View attachment 3136834
View attachment 3136835

Baadhi ya maeneo ya kisasa zaidi ya ulinzi wa anga "yalikandamizwa vibaya mno"View attachment 3136836

Katika ndege zilizoenda kushambulia asilimia 80% zimeendeshwa na marubani wa kike ambao wameweza kusogelea kabisa anga la IRAN na kushambulia na kurejea BILA ndege yeyote kuguswa! Hii nayo ni maajabu kabisa,

View attachment 3136837


Nchin Iran wananchi wamepigwa marufuku kuchukua video au kuzungumzia juu ya madhara ambayo wamepata! Picha zilizosambaa zimesambazwa na akina LISU na LEMA wa Iran yaan wapinzani wanaosema Nyeupe ni Nyeupe au Nyeusi ni Nyeusi,
View attachment 3136838

Hilo shambulio litakuwa limetikisa imani yoyote ambayo Iran ilikuwa nayo katika mifumo yao ya ulinzi ya anga inayotolewa na Urusi inayoitwa isiyoweza kupenyeka. Na katika nchi yenye ukubwa wa Irani kushindwa kujilinda dhidi ya adui sasa inaonekana hawawezi kujilinda kwa asilimia wanazosema’

Therefore, the strike may have drawn a line in the usual "war" between the two, and we have not yet seen the impact on Iranian production, although we may see signs in Ukraine first if exports are affected.

Kwa mujibu wa Ripoti kutoka New York Times, iliyopatikana kutokana na kuzungumza na Maafisa Watatu wa Iran na Watatu wa Israel; Operesheni ya Ijumaa Usiku ya Jeshi la wana anga la Israeli ililenga Maeneo kadhaa ya Ulinzi wa Anga ambayo yawekwa Ulinzi wa Mitambo Muhimu ya Mafuta na Petroli, pamoja na Uwanja Kubwa wa Gesi na Bandari Kubwa Kusini mwa Iran.

Mifumo Mingi ya Ulinzi wa Anga ililengwa na kuharibiwa katika Mkoa wa Khuzestan, ikijumuisha Betri ya Kombora ya S-300 ya Anga hadi Angani, ambayo ilitoa Huduma ya Angani kwa kiwanda cha Kemikali cha Bandar Imam Khomeini, Bandari Kuu ya Bandar Imam Khomeini kwenye Ghuba ya Arabia. , na Kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Abadan.

Mifumo ya Ziada pia ilipigwa katika Mkoa wa Ilam, karibu na Kiwanda cha Kusafisha Gesi cha Tange Bijar.

Maafisa wa Iran wameeleza kuwa Shambulizi hilo limeibua "Kengele" ndani ya Miduara ya Serikali na Kijeshi, kwani Vituo Muhimu vya Nishati na Kiuchumi sasa vinaonekana kuwa Vinayoweza Kukabiliwa na Mashambulizi ya Baadaye kutoka Israel au Marekani.

Ali Vaez, Mchambuzi wa Mradi wa Iran wa Kundi la Crisis Group, amesema kuwa Mashambulio hayo yanaonekana kuwa "Dibaji" ya Mashambulio Yenye Mafanikio zaidi dhidi ya Miundombinu na Maeneo ya Nyuklia ya Iran; ikisema zaidi kwamba Iran haina Uwezo wa kuchukua nafasi ya kujilinda Tena kwa Mifumo hii kwa muda ujao, na kuwaacha katika Hatari kwa Tit-for-Tats ya Baadaye.

View attachment 3136841

View attachment 3136841

Britanicca
Hawa wana wa yakobo hawanaga show mbovu. Wanatulia wanatafiti wanapiga penyewe. Iran wajibu sisi wanazi wa huu mgogoro tunataman sana Iran ajibu ili kinuke
 
Eti 80% ya marubani walikuwa wanawake! Watu kwa kulopoka tu hamjambo.

Israeli imefeli vibaya sana mpaka aibu naona mimi. mpango waliopanga wa kutaka dunia ishuhudie na kushangazwa na nguvu yake na iwe gumzo la dunia, imefeli vibaya sana kwa kupanguliwa mashambulizi yake kwa 98%. HII NI AIBU YA MWAKA
Imefeli afu iran inataka huruma ya umoja wa kimataifa 😁😁😁😁 Iran amechezea tena haswaa sema wamezuia wati wasichukue video na picha
 
Ali kamwe kazini wewe subiri ndani ya siku 20 zijazo ndio mtajua hiki mnachojidanganya kuhusu iran tunaoijua iran ilivyo kiulinzi tumeamua kukaa kimya israel atapelekewa moto!
Tatizo sio Israel au Iran. Tatizo ni ushabiki wa kidini. Baada ya October 7, mashabiki na waumini wa Hamas walisema Israel hata mpakani mwa Gaza havuki. Leo vifo vya wapalestina ni zaidi ya 42,000. Majengo, miundombinu kwisha. Tunajua Iran atajibu, lakini nikuhakikishie, Israel amefanya anachokijua na matokeo yake. Kijiographia Irani ni kubwa mara 10 ya Israel hata kwa idadi ya watu. Lakini bado Israel amepigwa na ataendelea kupiga popote anapohisi anahatarishiwa kufutwa katika uso wa dunia. Tusisahau Waisraeli nao wanakufa na kupata hasara.
 
Aisee yani animation ndio akili kubwa hivi unajitambua kweli?

Umewekewa video halisi ukaamua kuokota animation you tube ili uje kujifariji.
Mimi sipo katika kubishana bali kujifunza hali halisi. Nyie endelea kubisha upupu wenu
 
Ushabiki wa Msimbazi na Jangwani umehamia Tehran na Tel Aviv!

Kuna jipya gani hapo? Kama Iran walishambulia kambi za kijeshi, huku wiki jana makazi ya Bibi kufanyiwa shambulio ndio hayohayo.
Kuna kitu kimoja hakipo wazi kwa shabiki wa pande zote za mgogoro huu.
Kuna taarifa nyingi sahihi zina zuiliwa na zile za propaganda zinarushwa.
Bahati mbaya kwa Iran hawawezi kumshinda vita ya propaganda nje ya nchi yao.
Kwa mfano Israel imemshikilia na kumfungulia mashitaka muandishi mmoja wa habari raia wa Marekani kwa kupiga picha na kuchapisha madhara yashambulio la makombora ya Iran nchini Israel.
Hivyo kuna madhara makubwa lakini yamefichwa au kuwa - downplayed na Israel. Vivyo hivyo Iran wanazuia matukio ya uharibifu wa shambulio la Israel nchini Iran.
 
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will.
Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao.

View attachment 3136831


Kwa tuliosoma mambo ya intelligent na utetezi wa nchi kwa kumvamia jiran adui hii inapewa rank “AK” yaan
Uvamizi huo unaonyesha kiwango cha uratibu na utekelezaji ambacho ni sahihi zaidi, cha kisasa na cha kuangamiza zaidi kuliko kurusha ndege zisizo na rubani au makombora ambayo hayakuwa na mafanikio ambayo ndiyo njia pekee ya kawaida ya Iran kushambulia Israeli. In deed that was level of co-ordination and execution that is way more precise, sophisticated and devastating than the salvo firing of some less-than-successful drones or missiles - which is Iran’s only viable conventional means to strike Israe

View attachment 3136839

Bado hatujaona matokeo yote lakini idadi fulani ya shabaha muhimu zinazohusishwa na uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani za Iran zinaonekana kuwa shabaha kuu - pili yale ambayo dunia ilitegemea yatalengwa siyo yaliyopigwa Ila shambulio hili ni lile linaloweza kudhoofisha ulinzi kwa anayetaka kulenga maeneo ya nyuklia au vifaa vya mafuta huko iran,
Mapema Jana Bibi Netanyahu Kasema hawajapiga maeneo hayo Target yao kubwa ni tofauti, leo imenukuliwa pia Kiongozi wa Upinzani ndani ya Iran bwana Imran akisema
Kwamba mitambo ilokuwa inalinda makombora ya adui yasipige maeneo ya nyukilia imeharibiwa vibaya sana nchini Iran na hivo Iran iko uchi’ na kutengeneza hzi mitambo inaweza tumia muda wa Mwaka mmoja’ hivo kwa sasa Iran iko hatarini sana!
View attachment 3136834
View attachment 3136835

Baadhi ya maeneo ya kisasa zaidi ya ulinzi wa anga "yalikandamizwa vibaya mno"View attachment 3136836

Katika ndege zilizoenda kushambulia asilimia 80% zimeendeshwa na marubani wa kike ambao wameweza kusogelea kabisa anga la IRAN na kushambulia na kurejea BILA ndege yeyote kuguswa! Hii nayo ni maajabu kabisa,

View attachment 3136837


Nchin Iran wananchi wamepigwa marufuku kuchukua video au kuzungumzia juu ya madhara ambayo wamepata! Picha zilizosambaa zimesambazwa na akina LISU na LEMA wa Iran yaan wapinzani wanaosema Nyeupe ni Nyeupe au Nyeusi ni Nyeusi,
View attachment 3136838

Hilo shambulio litakuwa limetikisa imani yoyote ambayo Iran ilikuwa nayo katika mifumo yao ya ulinzi ya anga inayotolewa na Urusi inayoitwa isiyoweza kupenyeka. Na katika nchi yenye ukubwa wa Irani kushindwa kujilinda dhidi ya adui sasa inaonekana hawawezi kujilinda kwa asilimia wanazosema’

Therefore, the strike may have drawn a line in the usual "war" between the two, and we have not yet seen the impact on Iranian production, although we may see signs in Ukraine first if exports are affected.

Kwa mujibu wa Ripoti kutoka New York Times, iliyopatikana kutokana na kuzungumza na Maafisa Watatu wa Iran na Watatu wa Israel; Operesheni ya Ijumaa Usiku ya Jeshi la wana anga la Israeli ililenga Maeneo kadhaa ya Ulinzi wa Anga ambayo yawekwa Ulinzi wa Mitambo Muhimu ya Mafuta na Petroli, pamoja na Uwanja Kubwa wa Gesi na Bandari Kubwa Kusini mwa Iran.

Mifumo Mingi ya Ulinzi wa Anga ililengwa na kuharibiwa katika Mkoa wa Khuzestan, ikijumuisha Betri ya Kombora ya S-300 ya Anga hadi Angani, ambayo ilitoa Huduma ya Angani kwa kiwanda cha Kemikali cha Bandar Imam Khomeini, Bandari Kuu ya Bandar Imam Khomeini kwenye Ghuba ya Arabia. , na Kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Abadan.

Mifumo ya Ziada pia ilipigwa katika Mkoa wa Ilam, karibu na Kiwanda cha Kusafisha Gesi cha Tange Bijar.

Maafisa wa Iran wameeleza kuwa Shambulizi hilo limeibua "Kengele" ndani ya Miduara ya Serikali na Kijeshi, kwani Vituo Muhimu vya Nishati na Kiuchumi sasa vinaonekana kuwa Vinayoweza Kukabiliwa na Mashambulizi ya Baadaye kutoka Israel au Marekani.

Ali Vaez, Mchambuzi wa Mradi wa Iran wa Kundi la Crisis Group, amesema kuwa Mashambulio hayo yanaonekana kuwa "Dibaji" ya Mashambulio Yenye Mafanikio zaidi dhidi ya Miundombinu na Maeneo ya Nyuklia ya Iran; ikisema zaidi kwamba Iran haina Uwezo wa kuchukua nafasi ya kujilinda Tena kwa Mifumo hii kwa muda ujao, na kuwaacha katika Hatari kwa Tit-for-Tats ya Baadaye.

View attachment 3136841

View attachment 3136841

Britanicca
Hizo unazoleta ni blee blee bleee kama za wengine.
Zishaletwa video nyingi na kugundulika kuwa ni za Lebanon na Gaza.
Hadi sasa hakuna taarifa yeyote inayothibitisha unachoongea.
BBC, AL-JAZEERA na France 24 wapo operational ndani ya Iran na hao Iran hawezi kuwazuia kuripoti maafa.
Ila hadi sasa hawaripoti unachoripoti.
Ni propaganda tu kuonesha Israel ameweza.
Bahati mbaya dunia ya sasa ya utandawazi huwezi kumdanganya mtu ndugu muandishi mleta mada.

Kitu cha mwisho kitendo cha kutumia ndege 100 kushambulia halafu unaleta madhara machache hivyo inajulisha kuwa Israel ni dhaifu tena dhaifu sana tena sanaaa.
Hakuna kitu mnaweza mkatulisha ninyi.
Kubalini shambulio lilikua failure nguvu kubwa matokeo madogo.
 
Back
Top Bottom