Shambulizi la Israel kwa Iran ni shambulio lililofanywa kwa nidhamu ya hali ya juu sana”it was a clear demonstration of capability, intent and will.”

Shambulizi la Israel kwa Iran ni shambulio lililofanywa kwa nidhamu ya hali ya juu sana”it was a clear demonstration of capability, intent and will.”

Hizo unazoleta ni blee blee bleee kama za wengine.
Zishaletwa video nyingi na kugundulika kuwa ni za Lebanon na Gaza.
Hadi sasa hakuna taarifa yeyote inayothibitisha unachoongea.
BBC, AL-JAZEERA na France 24 wapo operational ndani ya Iran na hao Iran hawezi kuwazuia kuripoti maafa.
Ila hadi sasa hawaripoti unachoripoti.
Ni propaganda tu kuonesha Israel ameweza.
Bahati mbaya dunia ya sasa ya utandawazi huwezi kumdanganya mtu ndugu muandishi mleta mada.

Kitu cha mwisho kitendo cha kutumia ndege 100 kushambulia halafu unaleta madhara machache hivyo inajulisha kuwa Israel ni dhaifu tena dhaifu sana tena sanaaa.
Hakuna kitu mnaweza mkatulisha ninyi.
Kubalini shambulio lilikua failure nguvu kubwa matokeo madogo.
Wazayuni wa jf wa nadhani bado tupo kwenye zama za six day war wanasema waandishi wa habari wamezuiwa kupiga picha tunawakubalia sawa kwakua Iran hakuna hio demokrasia basi waambie walete picha za satellite nazo wamekimbia kina T14 Armata alisema ataleta ila yupo zake mbochi
 
Iran inatakiwa itulie na ifanye mambo yake Kwa adabu na sio kujitutumua Kwa wakubwa wa dunia. Bado inasafari ndefu sana. kimsingi hapo Iran inapambana na Mataifa kadhaa ya NATO ikiwepo marekani, Israel inapigwa tafu na Mataifa mengi tu hapo katika kujilinda na wameamua kuivua nguo Iran Kwa kupitia Israel ili iwe na adabu.
 
Iran inatakiwa itulie na ifanye mambo yake Kwa adabu na sio kujitutumua Kwa wakubwa wa dunia. Bado inasafari ndefu sana. kimsingi hapo Iran inapambana na Mataifa kadhaa ya NATO ikiwepo marekani, Israel inapigwa tafu na Mataifa mengi tu hapo katika kujilinda na wameamua kuivua nguo Iran Kwa kupitia Israel ili iwe na adabu.
How?
 
This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will.
Umeendeshwa zaidi na :

mahaba

hali ya kuingiwa moyoni na mtu au kitu na kukithamini zaidi ya vingine

Pia umeendeswa na :

chuki

tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya

Hiki ulicholeta ni:

propaganda

habari zilizotiwa chumvi sana au za uongo zitolewazo kwa lengo la kushawishi watu kuamini au kukubali jambo fulani

 
Analysis yako imejaa ushabiki tupu. Propaganda sijui ndege ziliendeshwa na mwanamke ni vitu vidogo sana kwa mtu makini, Israeli alipigwa na alitishia raia wasichukue picha na kushare😄😄hizi war propaganda muwe mnazielewa muache mahaba, ukitaka uheshimike kwenye uchambuzi hata kama unamahaba jaribu kubance mizani. Kingine israeli hajafanya shambulio lolote lile hizo target na mission imepangwa na kutekelezwa na USA Israel yeye huwa hajui kupigana vita vya kistaarabu yeye huwa anacause total colateral damage including civilians,buildings and infrastructures.
 
Analysis yako imejaa ushabiki tupu. Propaganda sijui ndege ziliendeshwa na mwanamke ni vitu vidogo sana kwa mtu makini, Israeli alipigwa na alitishia raia wasichukue picha na kushare😄😄hizi war propaganda muwe mnazielewa muache mahaba, ukitaka uheshimike kwenye uchambuzi hata kama unamahaba jaribu kubance mizani. Kingine israeli hajafanya shambulio lolote lile hizo target na mission imepangwa na kutekelezwa na USA Israel yeye huwa hajui kupigana vita vya kistaarabu yeye huwa anacause total colateral damage including civilians,buildings and infrastructures.
Unajiita comasava inaeleza yote
 
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will.
Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao.

View attachment 3136831


Kwa tuliosoma mambo ya intelligent na utetezi wa nchi kwa kumvamia jiran adui hii inapewa rank “AK” yaan
Uvamizi huo unaonyesha kiwango cha uratibu na utekelezaji ambacho ni sahihi zaidi, cha kisasa na cha kuangamiza zaidi kuliko kurusha ndege zisizo na rubani au makombora ambayo hayakuwa na mafanikio ambayo ndiyo njia pekee ya kawaida ya Iran kushambulia Israeli. In deed that was level of co-ordination and execution that is way more precise, sophisticated and devastating than the salvo firing of some less-than-successful drones or missiles - which is Iran’s only viable conventional means to strike Israe

View attachment 3136839

Bado hatujaona matokeo yote lakini idadi fulani ya shabaha muhimu zinazohusishwa na uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani za Iran zinaonekana kuwa shabaha kuu - pili yale ambayo dunia ilitegemea yatalengwa siyo yaliyopigwa Ila shambulio hili ni lile linaloweza kudhoofisha ulinzi kwa anayetaka kulenga maeneo ya nyuklia au vifaa vya mafuta huko iran,
Mapema Jana Bibi Netanyahu Kasema hawajapiga maeneo hayo Target yao kubwa ni tofauti, leo imenukuliwa pia Kiongozi wa Upinzani ndani ya Iran bwana Imran akisema
Kwamba mitambo ilokuwa inalinda makombora ya adui yasipige maeneo ya nyukilia imeharibiwa vibaya sana nchini Iran na hivo Iran iko uchi’ na kutengeneza hzi mitambo inaweza tumia muda wa Mwaka mmoja’ hivo kwa sasa Iran iko hatarini sana!
View attachment 3136834
View attachment 3136835

Baadhi ya maeneo ya kisasa zaidi ya ulinzi wa anga "yalikandamizwa vibaya mno"View attachment 3136836

Katika ndege zilizoenda kushambulia asilimia 80% zimeendeshwa na marubani wa kike ambao wameweza kusogelea kabisa anga la IRAN na kushambulia na kurejea BILA ndege yeyote kuguswa! Hii nayo ni maajabu kabisa,

View attachment 3136837


Nchin Iran wananchi wamepigwa marufuku kuchukua video au kuzungumzia juu ya madhara ambayo wamepata! Picha zilizosambaa zimesambazwa na akina LISU na LEMA wa Iran yaan wapinzani wanaosema Nyeupe ni Nyeupe au Nyeusi ni Nyeusi,
View attachment 3136838

Hilo shambulio litakuwa limetikisa imani yoyote ambayo Iran ilikuwa nayo katika mifumo yao ya ulinzi ya anga inayotolewa na Urusi inayoitwa isiyoweza kupenyeka. Na katika nchi yenye ukubwa wa Irani kushindwa kujilinda dhidi ya adui sasa inaonekana hawawezi kujilinda kwa asilimia wanazosema’

Therefore, the strike may have drawn a line in the usual "war" between the two, and we have not yet seen the impact on Iranian production, although we may see signs in Ukraine first if exports are affected.

Kwa mujibu wa Ripoti kutoka New York Times, iliyopatikana kutokana na kuzungumza na Maafisa Watatu wa Iran na Watatu wa Israel; Operesheni ya Ijumaa Usiku ya Jeshi la wana anga la Israeli ililenga Maeneo kadhaa ya Ulinzi wa Anga ambayo yawekwa Ulinzi wa Mitambo Muhimu ya Mafuta na Petroli, pamoja na Uwanja Kubwa wa Gesi na Bandari Kubwa Kusini mwa Iran.

Mifumo Mingi ya Ulinzi wa Anga ililengwa na kuharibiwa katika Mkoa wa Khuzestan, ikijumuisha Betri ya Kombora ya S-300 ya Anga hadi Angani, ambayo ilitoa Huduma ya Angani kwa kiwanda cha Kemikali cha Bandar Imam Khomeini, Bandari Kuu ya Bandar Imam Khomeini kwenye Ghuba ya Arabia. , na Kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Abadan.

Mifumo ya Ziada pia ilipigwa katika Mkoa wa Ilam, karibu na Kiwanda cha Kusafisha Gesi cha Tange Bijar.

Maafisa wa Iran wameeleza kuwa Shambulizi hilo limeibua "Kengele" ndani ya Miduara ya Serikali na Kijeshi, kwani Vituo Muhimu vya Nishati na Kiuchumi sasa vinaonekana kuwa Vinayoweza Kukabiliwa na Mashambulizi ya Baadaye kutoka Israel au Marekani.

Ali Vaez, Mchambuzi wa Mradi wa Iran wa Kundi la Crisis Group, amesema kuwa Mashambulio hayo yanaonekana kuwa "Dibaji" ya Mashambulio Yenye Mafanikio zaidi dhidi ya Miundombinu na Maeneo ya Nyuklia ya Iran; ikisema zaidi kwamba Iran haina Uwezo wa kuchukua nafasi ya kujilinda Tena kwa Mifumo hii kwa muda ujao, na kuwaacha katika Hatari kwa Tit-for-Tats ya Baadaye.

View attachment 3136841

View attachment 3136841

Britanicca
 

Attachments

  • Snapinsta.app_video_7A44C057F55C009BF434008E6A7F1299_video_dashinit.mp4
    1.2 MB
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will.
Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao.

View attachment 3136831


Kwa tuliosoma mambo ya intelligent na utetezi wa nchi kwa kumvamia jiran adui hii inapewa rank “AK” yaan
Uvamizi huo unaonyesha kiwango cha uratibu na utekelezaji ambacho ni sahihi zaidi, cha kisasa na cha kuangamiza zaidi kuliko kurusha ndege zisizo na rubani au makombora ambayo hayakuwa na mafanikio ambayo ndiyo njia pekee ya kawaida ya Iran kushambulia Israeli. In deed that was level of co-ordination and execution that is way more precise, sophisticated and devastating than the salvo firing of some less-than-successful drones or missiles - which is Iran’s only viable conventional means to strike Israe

View attachment 3136839

Bado hatujaona matokeo yote lakini idadi fulani ya shabaha muhimu zinazohusishwa na uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani za Iran zinaonekana kuwa shabaha kuu - pili yale ambayo dunia ilitegemea yatalengwa siyo yaliyopigwa Ila shambulio hili ni lile linaloweza kudhoofisha ulinzi kwa anayetaka kulenga maeneo ya nyuklia au vifaa vya mafuta huko iran,
Mapema Jana Bibi Netanyahu Kasema hawajapiga maeneo hayo Target yao kubwa ni tofauti, leo imenukuliwa pia Kiongozi wa Upinzani ndani ya Iran bwana Imran akisema
Kwamba mitambo ilokuwa inalinda makombora ya adui yasipige maeneo ya nyukilia imeharibiwa vibaya sana nchini Iran na hivo Iran iko uchi’ na kutengeneza hzi mitambo inaweza tumia muda wa Mwaka mmoja’ hivo kwa sasa Iran iko hatarini sana!
View attachment 3136834
View attachment 3136835

Baadhi ya maeneo ya kisasa zaidi ya ulinzi wa anga "yalikandamizwa vibaya mno"View attachment 3136836

Katika ndege zilizoenda kushambulia asilimia 80% zimeendeshwa na marubani wa kike ambao wameweza kusogelea kabisa anga la IRAN na kushambulia na kurejea BILA ndege yeyote kuguswa! Hii nayo ni maajabu kabisa,

View attachment 3136837


Nchin Iran wananchi wamepigwa marufuku kuchukua video au kuzungumzia juu ya madhara ambayo wamepata! Picha zilizosambaa zimesambazwa na akina LISU na LEMA wa Iran yaan wapinzani wanaosema Nyeupe ni Nyeupe au Nyeusi ni Nyeusi,
View attachment 3136838

Hilo shambulio litakuwa limetikisa imani yoyote ambayo Iran ilikuwa nayo katika mifumo yao ya ulinzi ya anga inayotolewa na Urusi inayoitwa isiyoweza kupenyeka. Na katika nchi yenye ukubwa wa Irani kushindwa kujilinda dhidi ya adui sasa inaonekana hawawezi kujilinda kwa asilimia wanazosema’

Therefore, the strike may have drawn a line in the usual "war" between the two, and we have not yet seen the impact on Iranian production, although we may see signs in Ukraine first if exports are affected.

Kwa mujibu wa Ripoti kutoka New York Times, iliyopatikana kutokana na kuzungumza na Maafisa Watatu wa Iran na Watatu wa Israel; Operesheni ya Ijumaa Usiku ya Jeshi la wana anga la Israeli ililenga Maeneo kadhaa ya Ulinzi wa Anga ambayo yawekwa Ulinzi wa Mitambo Muhimu ya Mafuta na Petroli, pamoja na Uwanja Kubwa wa Gesi na Bandari Kubwa Kusini mwa Iran.

Mifumo Mingi ya Ulinzi wa Anga ililengwa na kuharibiwa katika Mkoa wa Khuzestan, ikijumuisha Betri ya Kombora ya S-300 ya Anga hadi Angani, ambayo ilitoa Huduma ya Angani kwa kiwanda cha Kemikali cha Bandar Imam Khomeini, Bandari Kuu ya Bandar Imam Khomeini kwenye Ghuba ya Arabia. , na Kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Abadan.

Mifumo ya Ziada pia ilipigwa katika Mkoa wa Ilam, karibu na Kiwanda cha Kusafisha Gesi cha Tange Bijar.

Maafisa wa Iran wameeleza kuwa Shambulizi hilo limeibua "Kengele" ndani ya Miduara ya Serikali na Kijeshi, kwani Vituo Muhimu vya Nishati na Kiuchumi sasa vinaonekana kuwa Vinayoweza Kukabiliwa na Mashambulizi ya Baadaye kutoka Israel au Marekani.

Ali Vaez, Mchambuzi wa Mradi wa Iran wa Kundi la Crisis Group, amesema kuwa Mashambulio hayo yanaonekana kuwa "Dibaji" ya Mashambulio Yenye Mafanikio zaidi dhidi ya Miundombinu na Maeneo ya Nyuklia ya Iran; ikisema zaidi kwamba Iran haina Uwezo wa kuchukua nafasi ya kujilinda Tena kwa Mifumo hii kwa muda ujao, na kuwaacha katika Hatari kwa Tit-for-Tats ya Baadaye.

View attachment 3136841

View attachment 3136841

Britanicca
Shambulio la kiwoga
 
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will.
Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao.

View attachment 3136831


Kwa tuliosoma mambo ya intelligent na utetezi wa nchi kwa kumvamia jiran adui hii inapewa rank “AK” yaan
Uvamizi huo unaonyesha kiwango cha uratibu na utekelezaji ambacho ni sahihi zaidi, cha kisasa na cha kuangamiza zaidi kuliko kurusha ndege zisizo na rubani au makombora ambayo hayakuwa na mafanikio ambayo ndiyo njia pekee ya kawaida ya Iran kushambulia Israeli. In deed that was level of co-ordination and execution that is way more precise, sophisticated and devastating than the salvo firing of some less-than-successful drones or missiles - which is Iran’s only viable conventional means to strike Israe

View attachment 3136839

Bado hatujaona matokeo yote lakini idadi fulani ya shabaha muhimu zinazohusishwa na uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani za Iran zinaonekana kuwa shabaha kuu - pili yale ambayo dunia ilitegemea yatalengwa siyo yaliyopigwa Ila shambulio hili ni lile linaloweza kudhoofisha ulinzi kwa anayetaka kulenga maeneo ya nyuklia au vifaa vya mafuta huko iran,
Mapema Jana Bibi Netanyahu Kasema hawajapiga maeneo hayo Target yao kubwa ni tofauti, leo imenukuliwa pia Kiongozi wa Upinzani ndani ya Iran bwana Imran akisema
Kwamba mitambo ilokuwa inalinda makombora ya adui yasipige maeneo ya nyukilia imeharibiwa vibaya sana nchini Iran na hivo Iran iko uchi’ na kutengeneza hzi mitambo inaweza tumia muda wa Mwaka mmoja’ hivo kwa sasa Iran iko hatarini sana!
View attachment 3136834
View attachment 3136835

Baadhi ya maeneo ya kisasa zaidi ya ulinzi wa anga "yalikandamizwa vibaya mno"View attachment 3136836

Katika ndege zilizoenda kushambulia asilimia 80% zimeendeshwa na marubani wa kike ambao wameweza kusogelea kabisa anga la IRAN na kushambulia na kurejea BILA ndege yeyote kuguswa! Hii nayo ni maajabu kabisa,

View attachment 3136837


Nchin Iran wananchi wamepigwa marufuku kuchukua video au kuzungumzia juu ya madhara ambayo wamepata! Picha zilizosambaa zimesambazwa na akina LISU na LEMA wa Iran yaan wapinzani wanaosema Nyeupe ni Nyeupe au Nyeusi ni Nyeusi,
View attachment 3136838

Hilo shambulio litakuwa limetikisa imani yoyote ambayo Iran ilikuwa nayo katika mifumo yao ya ulinzi ya anga inayotolewa na Urusi inayoitwa isiyoweza kupenyeka. Na katika nchi yenye ukubwa wa Irani kushindwa kujilinda dhidi ya adui sasa inaonekana hawawezi kujilinda kwa asilimia wanazosema’

Therefore, the strike may have drawn a line in the usual "war" between the two, and we have not yet seen the impact on Iranian production, although we may see signs in Ukraine first if exports are affected.

Kwa mujibu wa Ripoti kutoka New York Times, iliyopatikana kutokana na kuzungumza na Maafisa Watatu wa Iran na Watatu wa Israel; Operesheni ya Ijumaa Usiku ya Jeshi la wana anga la Israeli ililenga Maeneo kadhaa ya Ulinzi wa Anga ambayo yawekwa Ulinzi wa Mitambo Muhimu ya Mafuta na Petroli, pamoja na Uwanja Kubwa wa Gesi na Bandari Kubwa Kusini mwa Iran.

Mifumo Mingi ya Ulinzi wa Anga ililengwa na kuharibiwa katika Mkoa wa Khuzestan, ikijumuisha Betri ya Kombora ya S-300 ya Anga hadi Angani, ambayo ilitoa Huduma ya Angani kwa kiwanda cha Kemikali cha Bandar Imam Khomeini, Bandari Kuu ya Bandar Imam Khomeini kwenye Ghuba ya Arabia. , na Kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Abadan.

Mifumo ya Ziada pia ilipigwa katika Mkoa wa Ilam, karibu na Kiwanda cha Kusafisha Gesi cha Tange Bijar.

Maafisa wa Iran wameeleza kuwa Shambulizi hilo limeibua "Kengele" ndani ya Miduara ya Serikali na Kijeshi, kwani Vituo Muhimu vya Nishati na Kiuchumi sasa vinaonekana kuwa Vinayoweza Kukabiliwa na Mashambulizi ya Baadaye kutoka Israel au Marekani.

Ali Vaez, Mchambuzi wa Mradi wa Iran wa Kundi la Crisis Group, amesema kuwa Mashambulio hayo yanaonekana kuwa "Dibaji" ya Mashambulio Yenye Mafanikio zaidi dhidi ya Miundombinu na Maeneo ya Nyuklia ya Iran; ikisema zaidi kwamba Iran haina Uwezo wa kuchukua nafasi ya kujilinda Tena kwa Mifumo hii kwa muda ujao, na kuwaacha katika Hatari kwa Tit-for-Tats ya Baadaye.

View attachment 3136841

View attachment 3136841

Britanicca
Ndo maana iran kakimbilia UN security council
 
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will.
Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao.

View attachment 3136831


Kwa tuliosoma mambo ya intelligent na utetezi wa nchi kwa kumvamia jiran adui hii inapewa rank “AK” yaan
Uvamizi huo unaonyesha kiwango cha uratibu na utekelezaji ambacho ni sahihi zaidi, cha kisasa na cha kuangamiza zaidi kuliko kurusha ndege zisizo na rubani au makombora ambayo hayakuwa na mafanikio ambayo ndiyo njia pekee ya kawaida ya Iran kushambulia Israeli. In deed that was level of co-ordination and execution that is way more precise, sophisticated and devastating than the salvo firing of some less-than-successful drones or missiles - which is Iran’s only viable conventional means to strike Israe

View attachment 3136839

Bado hatujaona matokeo yote lakini idadi fulani ya shabaha muhimu zinazohusishwa na uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani za Iran zinaonekana kuwa shabaha kuu - pili yale ambayo dunia ilitegemea yatalengwa siyo yaliyopigwa Ila shambulio hili ni lile linaloweza kudhoofisha ulinzi kwa anayetaka kulenga maeneo ya nyuklia au vifaa vya mafuta huko iran,
Mapema Jana Bibi Netanyahu Kasema hawajapiga maeneo hayo Target yao kubwa ni tofauti, leo imenukuliwa pia Kiongozi wa Upinzani ndani ya Iran bwana Imran akisema
Kwamba mitambo ilokuwa inalinda makombora ya adui yasipige maeneo ya nyukilia imeharibiwa vibaya sana nchini Iran na hivo Iran iko uchi’ na kutengeneza hzi mitambo inaweza tumia muda wa Mwaka mmoja’ hivo kwa sasa Iran iko hatarini sana!
View attachment 3136834
View attachment 3136835

Baadhi ya maeneo ya kisasa zaidi ya ulinzi wa anga "yalikandamizwa vibaya mno"View attachment 3136836

Katika ndege zilizoenda kushambulia asilimia 80% zimeendeshwa na marubani wa kike ambao wameweza kusogelea kabisa anga la IRAN na kushambulia na kurejea BILA ndege yeyote kuguswa! Hii nayo ni maajabu kabisa,

View attachment 3136837


Nchin Iran wananchi wamepigwa marufuku kuchukua video au kuzungumzia juu ya madhara ambayo wamepata! Picha zilizosambaa zimesambazwa na akina LISU na LEMA wa Iran yaan wapinzani wanaosema Nyeupe ni Nyeupe au Nyeusi ni Nyeusi,
View attachment 3136838

Hilo shambulio litakuwa limetikisa imani yoyote ambayo Iran ilikuwa nayo katika mifumo yao ya ulinzi ya anga inayotolewa na Urusi inayoitwa isiyoweza kupenyeka. Na katika nchi yenye ukubwa wa Irani kushindwa kujilinda dhidi ya adui sasa inaonekana hawawezi kujilinda kwa asilimia wanazosema’

Therefore, the strike may have drawn a line in the usual "war" between the two, and we have not yet seen the impact on Iranian production, although we may see signs in Ukraine first if exports are affected.

Kwa mujibu wa Ripoti kutoka New York Times, iliyopatikana kutokana na kuzungumza na Maafisa Watatu wa Iran na Watatu wa Israel; Operesheni ya Ijumaa Usiku ya Jeshi la wana anga la Israeli ililenga Maeneo kadhaa ya Ulinzi wa Anga ambayo yawekwa Ulinzi wa Mitambo Muhimu ya Mafuta na Petroli, pamoja na Uwanja Kubwa wa Gesi na Bandari Kubwa Kusini mwa Iran.

Mifumo Mingi ya Ulinzi wa Anga ililengwa na kuharibiwa katika Mkoa wa Khuzestan, ikijumuisha Betri ya Kombora ya S-300 ya Anga hadi Angani, ambayo ilitoa Huduma ya Angani kwa kiwanda cha Kemikali cha Bandar Imam Khomeini, Bandari Kuu ya Bandar Imam Khomeini kwenye Ghuba ya Arabia. , na Kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Abadan.

Mifumo ya Ziada pia ilipigwa katika Mkoa wa Ilam, karibu na Kiwanda cha Kusafisha Gesi cha Tange Bijar.

Maafisa wa Iran wameeleza kuwa Shambulizi hilo limeibua "Kengele" ndani ya Miduara ya Serikali na Kijeshi, kwani Vituo Muhimu vya Nishati na Kiuchumi sasa vinaonekana kuwa Vinayoweza Kukabiliwa na Mashambulizi ya Baadaye kutoka Israel au Marekani.

Ali Vaez, Mchambuzi wa Mradi wa Iran wa Kundi la Crisis Group, amesema kuwa Mashambulio hayo yanaonekana kuwa "Dibaji" ya Mashambulio Yenye Mafanikio zaidi dhidi ya Miundombinu na Maeneo ya Nyuklia ya Iran; ikisema zaidi kwamba Iran haina Uwezo wa kuchukua nafasi ya kujilinda Tena kwa Mifumo hii kwa muda ujao, na kuwaacha katika Hatari kwa Tit-for-Tats ya Baadaye.

View attachment 3136841

View attachment 3136841

Britanicca
Taarifa nyingine imetokea leo kwamba Iran ilijaribu ku downplay tukio lile kwa kusambaza video mitandaoni zinazoonyeshamaisha yanaendelea kama kawaida, lakini badala ya watu kuanza kusahau madhara yake yanazidi kujitokeza kadili siku zinavyoenda na kuonyesha Iran imeyumbishwa sana.
Sasa hivi Kiulizinzi Iran imerudishwa miongo mitatu nyuma
 
Iran inatakiwa itulie na ifanye mambo yake Kwa adabu na sio kujitutumua Kwa wakubwa wa dunia. Bado inasafari ndefu sana. kimsingi hapo Iran inapambana na Mataifa kadhaa ya NATO ikiwepo marekani, Israel inapigwa tafu na Mataifa mengi tu hapo katika kujilinda na wameamua kuivua nguo Iran Kwa kupitia Israel ili iwe na adabu.
Israel ndo imevualiwa nguo pamoja na though yote na mataifa ya magharibi ndo outcome kama hiyo Kweli .wqnayemchangia mtu mmoja halafu wakishindwa kufanya lolote la màana nani amekuwa na aibu hebu fikiria tu hatakma una FF achilia mbali DD
 
Taarifa nyingine imetokea leo kwamba Iran ilijaribu ku downplay tukio lile kwa kusambaza video mitandaoni zinazoonyeshamaisha yanaendelea kama kawaida, lakini badala ya watu kuanza kusahau madhara yake yanazidi kujitokeza kadili siku zinavyoenda na kuonyesha Iran imeyumbishwa sana.
Sasa hivi Kiulizinzi Iran imerudishwa miongo mitatu nyuma
Hebu Israel apeleke ndege huko kama wamerudishwa miongo 2 nyuma raia wa isreli wanajua ukweli kuwa hilo shambulio ni la kiwogo na halina chochote cha maana ilichoachive ..sass ww myahudi wa maji matitu unabwabwaja tu hapa
 
Hebu Israel apeleke ndege huko kama wamerudishwa miongo 2 nyuma raia wa isreli wanajua ukweli kuwa hilo shambulio ni la kiwogo na halina chochote cha maana ilichoachive ..sass ww myahudi wa maji matitu unabwabwaja tu hapa
Hayo ni maoni yako, unataka Israel ipeleke ndege mara ngapi?
 
Hayo ni maoni yako,
Hata habari ulizoleta ni maoni ya waunda propaganda.
Juzi tarehe 28 gari za Bavaar-373 na Khordak -15 zimeonekana zikisambazwa miji takriban yote ya Iran.
Sasa wewe sikiliza propaganda kuwa Iran kiulinzi imerudishwa nyuma.
Katika tukio ambalo limekua likipambwa sana na propaganda hili ni moja wapo.
 
Unajiita comasava inaeleza yote
Wachambuzi wengi na wakubwa wenye taarifa za kueleweka wamefafanua tofauti na wewe ulivyofafanua.

Hitimisho lao ni kwamba Israel kwenye mashambulizi yake imefeli na wametambua kuna air defensive system ambayo ina uwezo siyo wa kawaida na ndiyo maana wameshambulia mara 1 tu ijapokuwa walitaka kufanya zaidi ya hapo!

Wataalamu na wachambuzi wa masuala ya kijeshi hawana uhakika ni air defensive system gani iliyokuwa tishio kwa Israel na washirika wake ila wanahisi itakuwa s400 ya Mrusi.

Ukihitaji maelezo zaidi kwa kina naweza kukupatia ila kwa sasa nimechoka sijisikii kuandika sana.
 
Wachambuzi wengi na wakubwa wenye taarifa za kueleweka wamefafanua tofauti na wewe ulivyofafanua.

Hitimisho lao ni kwamba Israel kwenye mashambulizi yake imefeli na wametambua kuna air defensive system ambayo ina uwezo siyo wa kawaida na ndiyo maana wameshambulia mara 1 tu ijapokuwa walitaka kufanya zaidi ya hapo!

Wataalamu na wachambuzi wa masuala ya kijeshi hawana uhakika ni air defensive system gani iliyokuwa tishio kwa Israel na washirika wake ila wanahisi itakuwa s400 ya Mrusi.

Ukihitaji maelezo zaidi kwa kina naweza kukupatia ila kwa sasa nimechoka sijisikii kuandika sana.
Huo uchambuzi wa wapi? Ime fail kwenye kipi?
Kwa mara ya kwanza Iran badala ya kujibu au kutishia kujibu imeenda kushitaki UN kwa kushambuliwa na Israel.
Kwa taarifa zote zilizopo umujiona kabisa akili zako hazina uwezo wa kuchambua hadi usikilize wengine wakuchambulie 😅, angalia usije ukachambuliwa
 
🇺🇸🇮🇱⚡🇮🇷 White House: If Iran Responds, US Will Support Israel

🚩@ResistanceTrench | Boost us
 
🇮🇷 Specifications of the Bavar-373 air defense system of Iran, a cutting-edge system that shocked the world with its performance in confronting the zionist entity's attack on Iran.

The system can detect 100 targets at once, possess a vertical launching system, and uses a long-range phased array fire-control radar.
 
Back
Top Bottom