Tindo, Nimekukubali, binafsi sichoki kusema, sijui hawa wenzetu wanafiri mtutu wa bunduki ndio mwarobaini wa kila kitu hapa nchini, Kikwete alinukuliwa akiwaambia wafuasi wake kwamba tukizoea kukingiwa kifua na Polisi kuna siku Polisi nao watatuchoka, tujifunze kusimama wenyewe,Misuli mimi niko hivi, huwa najidiliana kwa hoja, nikiona hoja zinakuishia najua tunahamia kwenye kubishana, nitakapoingia kwenye kubishana najua hapo tutatoka kwenye ukweli na mantiki itabaki tunatafuta mshindi kwa hoja za kuchomekea. Tukishafika hapo huwa natoa ushindi kwa anayeutafuta nabaki na ukweli. Kama hapa ulikuwa unatafuta ushindi basi inabidi nikubali umenishinda bila kubadili ukweli uliopo.
Wapo wengi humu jukwaani mnaoweza kushindana ili kuonyesha nani mshindi, ila mimi nilishavuka hatua hiyo. Kwa hili mtani nakupa ushindi kiroho safi.
Kulubule, Nani huyo aliyetoka Dodoma ?Maranyingi nishasema huyu jamaa tangu atoke Dodoma sio yule tena saivi analamba miguu ya wakubwa mwacheni tu
Kismati, usiseme kwamba police walifake hilo tukio, na kwamba hawakutaka kumuua, washambiliaji walitumwa kwenda kummaliza apotelee mbali, sisi tunachoamini ni nje ya ufahamu wa binadamu na hii ni nguvu ya Mungu pekee, yaani mtu atoe onyo kwa kufyatua risasi tena sio moja ?, mtu akikushikia bunduki hata iwe bastora ujue ameamua kukuuaHoja ya kwamba dereva analo la kujibu imepita, kwamba ni wahuni inawezekn ni kwelii japo hata askari wakaida wanaweza kufake tukio kusudi lionekane sio classfied.
What if the killers didn't want to kill but only to give a lesson? May be to threaten the public? Binafsi naona hii ndilo lengo lao zaidi , kwasababu hata kama sio professional soldier to kill someone with a gun katika mazingira rafiki kama yale ni kitendo cha kufungua mlango, and loh! One shot boom!!!
Dereva wa lissu anaweza kuhusika kwa kushirikiana na wauwaji but this does not disqualify kwamba alitumika na dola. Kwa professional assassins wanaweza kutengeneza mazingira tukio lilifanywa na amature ni raisi sana, hata post investigation inatengenezwa kwa namna ambayo public itareact vinginevyo. Assassin wanajua CDM wangekataa dereva kuhojiwa na ndio ilikuwa point of departure I hope you understand what I mean.
Serikali haikuokoa maisha ya Lissu, walijaribu bila mafanikio kutaka kuagiza ndege kutoka Dar ije Dodoma ndio eti impeleke Nairobi ambapo ingechukua masaa mawili, wapenzi wa Lissu wakakataa na wakaamua kuchukua ndege nyingine maalumu ambayo ilitumia dakika 45 kufika Nairobi, yale masaa mawili yalilengwa kutumika kukamilisha uuajiEti anadiriki kusema kabisa "Lissu ashukuru serikali kuokoa maisha yake pale Dodoma hosptl maana serikali ingeamua ingemmalizia palepale"
Sidhani kama ni uzee, inawezekana anautafuta U-Jerry muro wa Manyara, Mbona tunae Jenerali Ulimwengu ambaye hadi leo anaendelea kuusimamia ukweli ?.Mkuu paskal naona uzee unakunywmelea huku ukiwaza angalau upate kabanda kakujiifadhi wewe na familia yako kama unayo kwahiyo lazima ulambe fangasi na funza za miguuni mimi niliumia sana kushambuliwa kwa tundu lissu lakin kazana atakuona tuuuu huyo kichaaa mwenzio
Camera za kwa lisu zinasemaje kuhusu hili tukio?Au nazo zilitolewa au ziliwekwa chumban?Inawezekana mimi sifahamu aliyetoa hizo camera, Hebu wewe tujuze aliyezitoa, Mimi naongelea camera zilitolewa pale main entrance gate, Sijui kuhusu camera zilizotolewa nyumbani kwa Lissu,
Naona wewe hutaki kuziongelea camera za gatini, bali unataka kuongelea camera za nyumbani kwa Lissu.
Kwanza haya madai yako unauthibitisho wowote au ndio nawe ulisikia?Maswali ya nyongeza: Zile CCTV eneo lile nani aling'oa? Nani aliwaondoa walinzi siku hiyo? Baada ya tukio lile shangingi jeusi lililosindikizwa kwa msafara wa pikipiki ya kuongozea misafari kutoka huko kwenye tukio mpaka baharini huku magari yakiwekwa pembeni ili kulipisha lipite kasi lilimbeba nani wakati uongozi wote wa juu unaotegemewa kusindikizwa na msafara ulikuwa kwenye mkutano wa kupokea ripoti za makinikia isipokuwa gavana mwenyeji? Na kwanini serikali inakataa tume huru?
Sioni hata mmoja wenu akijenga hoja zenye mashiko kwanini dereva asiwe suspected. Wengi mnaishia kuhitimisha serikali haiwezi kwepa ktk hili.Mimi sikatai,hoja yangu kwanini dereva asiwe pamoja na serikali ktk kufanya huu unyama?Hoja za camera wala walinzi sio kigezo cha dereva kutohusika au serikali kuhusika hakumaanishi dereva hawez husika.Tuwe rational tu ktk kufikir,Misuli mimi niko hivi, huwa najidiliana kwa hoja, nikiona hoja zinakuishia najua tunahamia kwenye kubishana, nitakapoingia kwenye kubishana najua hapo tutatoka kwenye ukweli na mantiki itabaki tunatafuta mshindi kwa hoja za kuchomekea. Tukishafika hapo huwa natoa ushindi kwa anayeutafuta nabaki na ukweli. Kama hapa ulikuwa unatafuta ushindi basi inabidi nikubali umenishinda bila kubadili ukweli uliopo.
Wapo wengi humu jukwaani mnaoweza kushindana ili kuonyesha nani mshindi, ila mimi nilishavuka hatua hiyo. Kwa hili mtani nakupa ushindi kiroho safi.
Ndiyo kazi ya tume sasa kuchunguza yote sasa wenyewe hawataki. Jambo kubwa likitokea kila mmoja atasema yake mpaka taarifa rasmi itolewe sasa kama hakuna uchunguzi na haitolewi binadamu ataendelea kuunganisha dots na huwezi kuzuia speculations kwani ndizo huwa source ya taarifaKwanza haya madai yako unauthibitisho wowote au ndio nawe ulisikia?
Lkn hizo speculations zako umezitoa kama information.Ndiyo kazi ya tume sasa kuchunguza yote sasa wenyewe hawataki. Jambo kubwa likitokea kila mmoja atasema yake mpaka taarifa rasmi itolewe sasa kama hakuna uchunguzi na haitolewi binadamu ataendelea kuunganisha dots na huwezi kuzuia speculations kwani ndizo huwa source ya taarifa
Misuli, naomba usitutusi kwa sababu tu tunaamini tofauti na unavyotaka tuamini, binafsi mimi huwa situkanwi, Kimsingi hata iweje dereva hawezi kuhusika, vizuri umesema anaweza kuhusika na serikali, tukubaliane tu kwa upole kwamba serikali ina mkono wake hapo, kama walimtumia dereva wewe ndie unaesema, ila serikali inahusika kwa 95%, na ndio maana hata majibu yao yamekuwa wazi kwamba they don't care about what happened to Lissu's attack. jaribu kuelewa basi.Sioni hata mmoja wenu akijenga hoja zenye mashiko kwanini dereva asiwe suspected. Wengi mnaishia kuhitimisha serikali haiwezi kwepa ktk hili.Mimi sikatai,hoja yangu kwanini dereva asiwe pamoja na serikali ktk kufanya huu unyama?Hoja za camera wala walinzi sio kigezo cha dereva kutohusika au serikali kuhusika hakumaanishi dereva hawez husika.Tuwe rational tu ktk kufikir,
Niungane na wewe msnajo."Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani".
Paskal hapa unatumika kabisa brother! Just think and get back to your mind
Muache watu waseme kadri wanavyoweza mpaka pale walio na funguo za mamlaka ya nchi watakapoamka na kutoa majibu sahihi ili kuondoa hii sintofahamu, tukikaa kimya wataona tumekubali yaishe. Alisema Baba Askofu Munga.Lkn hizo speculations zako umezitoa kama information.
Mbona umeng'ang'ania Camera za kwa Lissu ?, wadau tusaidiane, hivi kuna Camera zilikuwa kwa Lissu ?, nyie mlioko hapo Dodoma mtuambie.Camera za kwa lisu zinasemaje kuhusu hili tukio?Au nazo zilitolewa au ziliwekwa chumban?
Wanabodi
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio, yanahalisha wadadi kujiuliza maswali kihusu tukio lenyewe, hivyo kuhisi uhusika wa dereva wa Lissu, sio jambo la ajabu, tena uhusika wenyewe sio lazima uwe expressly but impliedly kwa negligence iliyopelekea Lissu kuwa reached na kushumbuliwa, wakati alikuwa na uwezo.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.
Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.
Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
- Kwa vile Lissu aliwahi kuripoti kufuatiliwa, kupitia press conference, kwa nini hakuripoti polisi?!.
- Baada ya Chadema kupokea taarifa ya Mnadhimu wake kufuatiliwa, walichukua hatua gani?.
- Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
- The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
- Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
- Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
- Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
- Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
- Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
- (Mimi niliwahi kuwa mwanajeshi wa JWTZ hivyo kuna kitu nakijua kuhusu hizi AK47 ndani ya jeshi letu, lakini vitu vingine ni siri za usalama wa taifa letu, sina uhakika mtu asiyepitia JWTZ, ana uwezo gani kuijua AK 47!.)
- Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
- Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
- Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu
- Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
- Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
- Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
- Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
- Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
- Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
- Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.
Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.
Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums
Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.
Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums
Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums
P.
Ila hawa jamaa wakati mwingine utafikiri intelijensia yao ni kama imexpaiKila mtu anaeuliza au kuhoji kuhusu kufikiwa kwa Uchunguzi wa tukio la kushambuliwa mbunge wa JMT mheTundu lissu,
Au kuna mtu yeyote aliyetiwa kizuizini mpaka sasa kutokana na tukio hilo.
Huwa wanakuja na jibu jepesi tu eti kwa nini dereva wake amefichwa.
inachekesha hivi ata kama mkipewa dereva ndio mtajua wahusika wa lile tukio?
Kama tu hamjui ata majina ya walinzi ambao walitakiwa kuwa zamu siku ile hivi mkipewa huyo dereva ndio mtajua.?
Kama tu mmeshindwa kung'amua ata kwa kuhisi mtu aliyejitolea kutoa camera za cctv eneo lilipofanyika tukio ndio mna imani kwamba mkipewa dereva wa lissu basi na hizo CCTV zitaonekana .
Even mimi Zero Iq nimefikiria na kuona hiyo ni kama kuruka mkojo wako na kutaka kukanyaga mavi ya Rashidi je nyie wenye kutoa hilo jibu mtakuwa na Iq ya Aina gani?