Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 861
- 2,515
Unadhani ni rahisi kumuwazia MTU atakushambulia kwa risasi SAA 7 mchana katikati ya mji kama Dodoma? Tusilaumu tuu, jambo hilo ni gumu sanaHajafeli kabisa hata kwa akili za kawaida tu,mtu anakufuata toka bungeni wewe unashutukia mchezo alafu hata kumshutua mwenzako hufanyi? Kwa nini wakiwa maeneo mjini asinge ingia sehemu kama Petrol station alafu akasikilizia kidogo ?
Mbaya zaidi dereva anadai ni wale wale jamaa waliokuwa wanafuatilia pale St Peters.
Mimi binafsi nina mashaka makubwa sana kwa nini viongozi wa Chadema hawataki huyu dereva ahojiwe. Inawezekana wanawafahamu ishu nzima.
Halifichiki hili pembe la ng'ombe ngosha unakumbuka kisa cha Musiba kutaka kuuwawa na mjerumani hapo dodoma polisi walireact aje?Mkuu Imhotep, una uhakika Lissu alitoa taarifa kwenye vyombo vya dola au ni ile press conference yake aliotoa numbers za gari zinazomfuatilia ndio taarifa rasmi kwa vyombo vya dola?.
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums
P
Ni kweli ila kama alishutuka mapema alitakiwa ajiongeze kwa usalama wa boss wake. Kama aliwatambua ndio walewale akili ya ziada ilitakiwa.Unadhani ni rahisi kumuwazia MTU atakushambulia kwa risasi SAA 7 mchana katikati ya mji kama Dodoma? Tusilaumu tuu, jambo hilo ni gumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye na boss wake walikuwa wanafuatuliwa kwa muda mrefu,na hili alilisema boss wake. Mpaka akadiliki kudai kuna vijana wa Mkuu mmoja sasa balozi aliwakaba pale St peters.Sasa kama aliona anafuatiliwa toka bungeni kwa nini asingejiongeza kumuokoa boss wake?Unadhani ni rahisi kumuwazia MTU atakushambulia kwa risasi SAA 7 mchana katikati ya mji kama Dodoma? Tusilaumu tuu, jambo hilo ni gumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Imhotep, una uhakika Lissu alitoa taarifa kwenye vyombo vya dola au ni ile press conference yake aliotoa numbers za gari zinazomfuatilia ndio taarifa rasmi kwa vyombo vya dola?.
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums
P
Wangekufa inamaana file lingefungwa?No file halijafungwa because they survived. Sasa ndio wanasubiriwa wahojiwe uchunguzi ndipo uanze.
P
Hivi huu umbea UKIUSOMA MUDA HUU UNAJISIKIAJE MKUU?hahahahahahahaAngekuwa hausiki angekwenda kuhojiwa, madawa aliyopewa Lissu kusinzia ili afanyiwe hayo, risasi zinapiga kushoto anaumia kulia, kiti cha lissu kinalazwa alale dereva hapati hata jeraha,
Camera zinatolewa kwa uchunguzi watu wanadhani ni serikali imezitoa kuficha ukweli,
Suala la Lissu Mbowe anahusika sana sema hamuelewi n.a. Lissu ni mjanja mno anawasiliana na Magufuli ili akipona ndo amwage cheche, mpaka sasa Mbowe hajatulia anatapa tapa kupoteza ushahid wote , lakin Sami ya Mtu ni nzito sana haimwagiki tu,
Leo hii waliopaswa kulipwa ujira wa kazi hiyo wananyongwa tu kupoteza ushahidi, kuna mengi watu wanajua ila wanaogopaga tu kutoa ushahidi,
Britannica
Ni kweli ila kama alishutuka mapema alitakiwa ajiongeze kwa usalama wa boss wake. Kama aliwatambua ndio walewale akili ya ziada ilitakiwa.
We chagu wa malunde sijui nikusaidie vipi? Unaongelea kuwa track, hivi kama RPC wa Dodoma amewatoa askari wanaolinda nyumba za mawaziri unafikiri nani anaweza kutoa amri ya kuwa track? Unaanzanje kuwa track watu waliotumwa na Mkuu wa nchi na IGP anajuwa?Kwanza kabisa tambua mpaka sasa haijulikani nani aliyefanya tukio lile.
Lakini sote tunafahamu bunge lipo maeneo ya mjini pale Dodoma.
Hivyo sababu tokea bungeni aliwashutukia wale jamaa angeingiza gari petro station ambayo ipo busy hata kama wangefyatua risasi ingekuwa rais kuwa track.
Au angerudi bungeni au eneo lolote salama ambalo kuna watu wengi.
Kwa nini akae kimya mpaka huko area D wanapokaa washua? Ambapo hakuna watu wengi!
Hapana ki usalama alitakiwa awe maeneo mjini. Maana ishu aliishutukia mapema. Alitakiwa achukue hatua mapema . kwanza kwa nini hata hakumuambia mlengwa kwamba tunafuatiliwa? Huenda angetoa ushauri warudi Bungeni au waende sehemu nyingine kabisa. Huyu jamaa mimi binafsi namtilia mashaka sana. Hata mtu akiwa anafuatiliwa na watu wabaya. Lazima atakimbilia eneo ambalo lina watu,hapo lazima kuna msaada utapatikana...dereva alijiongeza.
..alikwenda mahali ambapo alijua kuna ULINZI.
..kumbuka eneo la nyumba alizokuwa akiishi TL lilikuwa na walinzi getini na pia kwenye nyumba moja moja za viongozi.
..kwa hiyo dereva alikuwa sahihi kwenda eneo hilo kwasababu kwanza analielewa vizuri, na pili ni eneo lenye WALINZI.
..tunachopaswa kuhoji hapa ni nani aliondoa ulinzi area D, na nani alitoa maelekezo walinzi waondolewe?
NB.
..dereva angemuacha TL akatoka kwenye gari, basi magaidi waliotumwa kummaliza wangemmiminia marisasi yote yale akiwa nje ya gari, na ndugu wangeishia kuokota vipande vya nyama.
We chagu wa malunde sijui nikusaidie vipi? Unaongelea kuwa track, hivi kama RPC wa Dodoma amewatoa askari wanaolinda nyumba za mawaziri unafikiri nani anaweza kutoa amri ya kuwa track? Unaanzanje kuwa track watu waliotumwa na Mkuu wa nchi na IGP anajuwa?
Mimi nakuomba uishie hapa, usiulize tena. Subiri badiliko la Serikali Haijalishi ni ya CCM au Upinzani, haya majina utakuja kuyasoma kwa raha zako hadi kwenye gazeti la Uhuru na siyo humu GF.
Hapana ki usalama alitakiwa awe maeneo mjini. Maana ishu aliishutukia mapema. Alitakiwa achukue hatua mapema . kwanza kwa nini hata hakumuambia mlengwa kwamba tunafuatiliwa? Huenda angetoa ushauri warudi Bungeni au waende sehemu nyingine kabisa. Huyu jamaa mimi binafsi namtilia mashaka sana. Hata mtu akiwa anafuatiliwa na watu wabaya. Lazima atakimbilia eneo ambalo lina watu,hapo lazima kuna msaada utapatikana.
Haikuwa mara ya kwanza kufuatiliwa huenda alijua hawamdhuru kama walivyo fanya kila mara hakujua siku ile walidhamiria kumumalizaKwanza kabisa tambua mpaka sasa haijulikani nani aliyefanya tukio lile.
Lakini sote tunafahamu bunge lipo maeneo ya mjini pale Dodoma.
Hivyo sababu tokea bungeni aliwashutukia wale jamaa angeingiza gari petro station ambayo ipo busy hata kama wangefyatua risasi ingekuwa rais kuwa track.
Au angerudi bungeni au eneo lolote salama ambalo kuna watu wengi.
Kwa nini akae kimya mpaka huko area D wanapokaa washua? Ambapo hakuna watu wengi!
Ukweli mtupuTundu Mughwai Lissu alikuwa akisakwa mpaka alitoa taarifa za kusakwa kwenye vyombo vya dola
Alitoa mpaka namba za gari na model ya gari lililokuwa likimsaka lakini alipuuzwa na Vyombo vinavyohusika
Hata ile siku ya jaribio la kumuua alijua kuwa wale washambuliaji ni walewale waliokuwa wanamfuatilia
Lissu alitumiwa vyombo maalum vimuondoe kwa amri ya kenge wa kwenye majabali
Negligence.Haikuwa mara ya kwanza kufuatiliwa huenda alijua hawamdhuru kama walivyo fanya kila mara hakujua siku ile walidhamiria kumumaliza
Ila eneo kama Petrol station lina watu wengi. Huenda kabla hata hawajakimbia labda angetokea mtu mwenye gari akawablock. Huyu dereva alibugi sana, ana siri nzito.We chagu wa malunde sijui nikusaidie vipi? Unaongelea kuwa track, hivi kama RPC wa Dodoma amewatoa askari wanaolinda nyumba za mawaziri unafikiri nani anaweza kutoa amri ya kuwa track? Unaanzanje kuwa track watu waliotumwa na Mkuu wa nchi na IGP anajuwa?
Mimi nakuomba uishie hapa, usiulize tena. Subiri badiliko la Serikali Haijalishi ni ya CCM au Upinzani, haya majina utakuja kuyasoma kwa raha zako hadi kwenye gazeti la Uhuru na siyo humu GF.
Ila eneo kama Petrol station lina watu wengi. Huenda kabla hata hawajakimbia labda angetokea mtu mwenye gari akawablock. Huyu dereva alibugi sana, ana siri nzito.
Hapana jinai inafanyika mahala popote. Ndio maana unatakiwa uwe makini sana. Kama Laurent Kabila alipigwa risasi na mlinzi wake tena ikulu.Ije hapo area D Dodoma ampabo kila mtu anaingia muda wote? Huyu dereva ni wa kulaumiwa...unapokabiliwa na hatari unatakiwa ukimbilie eneo salama/ lenye ulinzi lililokaribu zaidi na hatari ilipokukuta.
..kwa hili tukio la dereva na TL eneo salama lililokuwa karibu nao ni nyumbani kwao ambako walikuwa wanajua siku zote kuna ulinzi.
..kilichotokea hakina tofauti na mtu aliyeshambuliwa ktk eneo la kituo cha polisi.
..dereva angeendesha gari kwenda sehemu nyingine yoyote ile, halafu wakashambuliwa, angelaumiwa kwanini hakujisalimisha nyumbani ambako palikuwa ni karibu na inaeleweka pana ulinzi 24/7.