Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

Nimekuelewa vyema mkuu
 
weka evidences hapa otherwise hii ni moja ya hoja mnayomezeshwa na mikia wenzenu.

Huwa mnasema Yanga hawana hela sasa hiyo hela ya kumwaga kwenye media si bora waeekeze kwenye maboresho ya kikosi.
yanga hawana hela GSM wana hela nyingi sana toka wakiwa wanajiita home shopping centre
 
Hapana shida vyombo vyetu vya habari vinatoa hajira kwa wasio na fani
 
Tatizo nyie profesheno maneno meeengi ila mfukoni hamna kitu, sasa simba waache kumsikiliza anaewasaidia wakusikilize wewe unaefanya mambo kiprofesheno? Utakuwa ni ujinga wa kiwango cha SGR
 
Tatizo nyie profesheno maneno meeengi ila mfukoni hamna kitu, sasa simba waache kumsikiliza anaewasaidia wakusikilize wewe unaefanya mambo kiprofesheno? Utakuwa ni ujinga wa kiwango cha SGR
nakuhakikishia leo Mo akisema anapumzika mwezi wasaidie kuendesha team watakimbiana hapa,yanga walijaribu kupitisha bakuli wanakumbuka kilichowapata hawana hamu ya kurudi huko tena,
Hawa watu wakiona team inasafiri kwa ndege wachezaji wanatunzwa vizuri wanafurahia tu ila .....
 
Tatizo nyie profesheno maneno meeengi ila mfukoni hamna kitu, sasa simba waache kumsikiliza anaewasaidia wakusikilize wewe unaefanya mambo kiprofesheno? Utakuwa ni ujinga wa kiwango cha SGR

Sasa ndo hapo tajiri kaleta demu wake awe CEO, kila atakayemtongoza amebeba kesi.
 
Tatizo la waandishi 'uchwara'.
 
Mbona jamaa wametumia tafsida aisee? Yaani wewe kusema chombo ya fundi ukajua ni Mwamedi!
 
Mbona jamaa wametumia tafsida aisee? Yaani wewe kusema chombo ya fundi ukajua ni Mwamedi!
fumbo mfumbie mjinga mkuu wameokota maneno ya kwenye mitandao haswa ma group ya yanga wakayapeleka redioni kama yalivyo huku wakicheka kwa kebehi tena baada ya imma kapanga kusema anapokea meseji za mashabiki wa yanga kwenye social media nasimu yake wakitaka aendelee kurusha mawe kwa simba wakaibuka na hilo hapohapo
Mwakyembe angeendelea na cheo haya makanjanja angeyasafisha kabisa
 
Nimependa comment yako,huko mtaani wanawake wangapi ameshawatetea[emoji23][emoji23]
 
Nilijua wamesema Malaya wa muddy?
haina muda mrefu Barbra watamuita malaya it's just a matter of time,kwenye kampeni mwenyekiti wa ccm wilaya ya tarime alimuita Esther matiko. ni malaya hadi wanawake wa ccm waliokuwepo walishangilia ,matiko huyohuyo alipigwa dole la makalio na askari polisi watu wakashangilia
Hapa tu kuna comments zinashangilia na kuna wanawake wanasapoti hata redioni EFM leo asubuhi walipomuita pisi kali walikuwa wanacheka kwa kebehi
 
Umejuaje huyo Babra ndio pisi kali na huyo fundi ndio Mo Dewji..na hicho chombo (pisi kali) inahusiana vipi na huyo Fundi?

Hapo naona ninyi ndio mnaleta tafsiri zenu mnataja na majina ya watu halafu mnasingizia redio
 
Kati ya simba na we we nani ni mpumbuvu? Hili jambo lilishazungumzwa bado maswaswa kama were mnajifanya mnaakili kubwa lkn mkifuatiliwa had I Leo unalala kwa baba ako , kula kwa baba ako ,unajua hapa duniani in kutongoza tu.
 
Kati ya simba na we we nani ni mpumbuvu? Hili jambo lilishazungumzwa bado maswaswa kama were mnajifanya mnaakili kubwa lkn mkifuatiliwa had I Leo unalala kwa baba ako , kula kwa baba ako ,unajua hapa duniani in kutongoza tu.

Jifunze kuandika mkuu, kumbe ule mtongozo niliokutongoza nao uliuelewa!

I take that as a compliment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…