Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Nilitaka kupata ufafanuzi, inakuwaje wanaokamatwa wanakutwa na kipimo kinacholingana?

Niko najaribu kusearch threads kama 3 hivi ili niweke hapa, wajuzi watasema ni kwa nini.
Hii huwa ni mbinu wanayoitumia wauza haya mambo, kwani huwa wanajuana na wanapeana mbinu mbalimbali

Na unakuta wanatembea kimkakati kutoka kwa wajuzi ama wakuu wao na ni kama ishara furani, mtu akikutwa na hicho kiasi mtandao husika unajua ni mwenzetu na wanaangalia namna ya kufanya ili wawe salama.
 
Kuna uchawi wa Pete au wa kichupa (hapa mtu anaongelea kwenye Pete au chupa "nataka nisionekane kwa macho ya kibinadamu" hapo hawezi onekana mpaka atakapo iambia hiyo Pete au chupa "nataka kurudi kwenye hali ya ubinadamu") lkn,hiyo Pete au chupa mtu anapaswa kuilipia kila baada ya muda fulani (unamtoa mtu kafara)
 
Tifu la juzi baada ya kuulizwa k yake imemsadia nini,kashindwa kuvumilia kasema kibabu chake cha sasa hivi kinamfungua biashara na sio kwasasabu ya k ni kwasasabu amesoma
 
Tangu enzi za vita ya Maji Maji bado hii dawa inafanya kazi? Hongera sana Mwafrika!
 
Ubarikiwe kwa maneno ya busara mkuu.
Mwenye masikio na asikiye neno ambalo mwenye busara anawaambia Watanzania.
 
Basi na wewe ni dada WA mujini pia
 
Huyu nsembo rafikia sana na Kinje na lemutuz na bashite. Itakuwa wamepishana kiswahili na bash boy. Kawatengenezea zengwe ila watatoka na hakuna atakayefungwa hapo. Wanatikiswa wateme mpunga
Hatar sana!
 
Sasa ww ulikuwa upande gani unawasema tu wenzako mara walevi warafi wa msosi ww hukupatikana hata au ulienda kuvizia noti zinazopeperuka
 
Hahaa huyo jamaa ana network kama Google
Steve anafahamiana na hao wote kwajili ya kuwatafutia wanawake kwa mfano,Waziri Mkubwa hawezi kwenda kutongoza mdada wa Bongo movie au Bongo flavour night club so,anatumwa Steve kama fundi mitambo...kumbuka kuwa wanamuamini sana Steve kwa kuwa wapo nae kwenye chama dola!
 
Hatar sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…