Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

mzee mwanakijiji kumbe wakati mwingine unahisihisi tu mambo ?? nilidhani kuna utofauti .nilikua nakosea sana.
 

God have mercy on us
 
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.

Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Wale waliopeleka funguo za vibubu kwa shamimu kama nawaona walivyoishiwa pozi[emoji3][emoji3][emoji3] watavunja vibubu na shoka.
yaani hivyo vibubu mchakato ulikuaje
 
Wangewakatia fungu nene mngewashika?
 
Mange anasema Shamim aliingia mjini na lorry la mkaa akitokea Morogoro 😂
Aende uko uyo Mange kimavi,Shamim mwasha siyo kinyonge kwao toka miaka hiyo,Mzee mwasha ana bucha kadhaa za nyama miaka ya 90
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…