Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Ila wauza Unga wote wako hivyo jeuri na ukatili, Nsembo nilikuwa namuogopa namuona mkatili mno Yale macho yake. Kabla hawajasombwa wote maana ni kama wameisha wote kwa kweli maskani yao ilikuwa jirani na nyumbani hivyo vituko jamani Kuna siku walimfungia jamaa kwenye buti mchana kutwa wakaliacha gari juani wa karudi usiku bado jamaa akagoma kuonyesha mzigo kaupeleka wapi wakaondoka nae mdogo wangu wakiume a kasema heri kuokota chupa kuliko hii biashara kwa kweli
 
Mama aliiweka kana kwamba mtoto wake alikuwa na ugomvi na mtu fulani ndo anawafanyizia ila tunaowajua tunajisemea kwendeni huko mtupumzishe, sasa kumepoa na heshima ipo mahala pake kwa kweli.
 
Duh...wauza ngada Wana roho mbaya
Sema nsembo alijisahau alikuwa hajui kama wanamlia timing
Mke wake ndy alikuwa muongo kujifanya mjasiriamali na zile motivational talks
Kmbe watu wanaojua wanafaham ni mishe gani inampa hela.....
Acha wakanyee ndoo tu
Watoto zao watachukuliwa na ndg zao wawalele

Ova
 
Ndugu wenyewe wale wa Magomeni mhhh!
 
Mama aliiweka kana kwamba mtoto wake alikuwa na ugomvi na mtu fulani ndo anawafanyizia ila tunaowajua tunajisemea kwendeni huko mtupumzishe, sasa kumepoa na heshima ipo mahala pake kwa kweli.
Hakuna cha ugomvi wala nn ile ilikuwa operation maalum ya nyumba hadi nyumba
Wakija toka watakuwa na adabu

Sahv mambo yale syo kbsa kesi yke si mchezo...
Kuna jamaa nawajua waliachaga mambo hyo wakajikita kwenye kilimo muda tu watu wakawa wanawa diss sjui waoga Mara mafala kmbe waliusoma mchzo

Ova
 
Wewe umemuelewa?! Kama umemuelewa hebu nifafanulie alichomaanisha na comment yake isiyoeleweka!
Huyton mtu anazungumzia ulinganishi wa kipato cha jijini na kijijini. Huko magubike night kijijini na hiyo 620k ni mshahara. Then anamalizia na hayo madhara ya kipato.
 
strange
 
Huko instamadrama huyu sister alikuwa anawatesa kweli wenzake kujibana kuweka pesa kwenye kibubu anajifanya anatoa semina kuishi kwa kutumia kibubu kumbe buku mbili mbili za ngada.

haha! hapa mjini mambo ni mengi, tunakosa muda wa kuyadadisi tu...
 
hahaha unanikumbusha mbali sana hawa jamaa acha wanyee debe tu
 
Ujue alitaka zaidi. Na huku kwenye mtandao kweli kuna zaidi. Na kesho unaweza ukasikia yuko nje,kilichokamatwa sio unga uliotangazwa
ni ngumu mkemia wa serikali kadhibitisha ni Heroin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…