Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Mbona wanaume huwazungumzii mkuu???[emoji849][emoji849]
 
Bungo....moro...dah.....
 
[emoji32]Duh nakumbuka alivyokuwa ana date na Miss Tz yule G bi dada akazifuma picha za uchi akazisambaza duh ila wa dada wa mjini wanaroho ngumu[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu Kiki anajua kujikausha utasema mume yupo uraiani
Ha ha ha[emoji16][emoji16]noma sana
 
Nanii....nyerere hyuu hayati au nyerere wa kmati....?
 
Hela ya halali haijai haraka, too bad itakuwa kuna mtu kawachomea utambi tu. Haiwezekani saa 8 usiku maaskari watimbe home kwako na kuanza kupiga search!
 
hypothesis
 
Dada wa vibubu, kudunduliza maisha ya insta kama jf[emoji23][emoji23] kila mtu
mambo swafi!
Sasa siri imefichuka
 
Mweeeh jaah mmmekutaana wa nyuumbani.Watoto wa Moroo Seki...napita tu sie wa Kigurunyeembe kwa Baba Askofuu.... [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Schoolmate ndio ana kesi ja kazi kweli kweeli.Pooleni...ngoja niwatafute kina Mkude
[emoji28] [emoji28] [emoji28] unazingua mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…