Hahaha unaonekana nawewe ni mmoja wa wafuasi wa kibubu! Mtafata funguo zenu selo! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha eti kapumzishwa, hivi Ali moja na Chacha bado wapo?Yupo jela kapumzishwa
Ova
Duh!itakua hata mwaka wa 4 sasa katulizwa!baker ranger nasikia walimkamatia asia huko,walichomfanyia wamemtupa tu guantanamo bay tu,haina mahakamani wala wapi yan km gaidi vile!kama namuona vile na ule ualaza wake!
Beka ranger ni case nyingine kabisa,nzitoNdg yake madega huyu
Kuna biashara alikuwa anafanya link yke na watu fulani hko ndomana
Wanyamwezi wakamuweka kwenye blacklist
#tupotezeeee
Ova
We ropoka ropoka tu mpaka utajikuta umedisclose identity yako kitu ambacho utakijutia sana baadae.George nilimzidi class 1, alikuwa best angu! Wewe inawezekana tunafahamiana!
Hawa wanawake wa mjini wengi wana michezo ya ajabu sana. Mi huwa nawakubali wale wanawake wenye mama ntilie zao au migahawa kama kina shilole. Hao wengine wanao floss mitandaoni bila kueleweka wana shughuli gani maalum ni aidha awe muuza K ama ndio utakuta anauza ngada namna hio!Ndiyo mfuasi[emoji23][emoji23] ila mimi nilimpa rafiki yangu na funguo ya rafiki yangu ninayo mimi.
kikisfashionInsta anajiita nani?
Hawa wanawake wa mjini wengi wana michezo ya ajabu sana. Mi huwa nawakubali wale wanawake wenye mama ntilie zao au migahawa kama kina shilole. Hao wengine wanao floss mitandaoni bila kueleweka wana shughuli gani maalum ni aidha awe muuza K ama ndio utakuta anauza ngada namna hio!
Bora ulibadilishana key na rafiki yako. We umekuwa mjanja kidogo ulijiongeza!
We ropoka ropoka tu mpaka utajikuta umedisclose identity yako kitu ambacho utakijutia sana baadae.
Anguko la mwanaume nyuma yake kuna mwanamke.
Kwahio steve nyerere ndio Plug yao hapa mjini. Anaunga mitandao ya punda malaya pamoja na drug dealersWe si umesoma na Shamimu, kamtembelee pale Central atakupa mkanda wote. Au ukiona vipi mtafute Steve Nyerere atakupa habari zote, inasemekana ni yeye ndiye anawatafutia mapunda hapa mjini.
Tukiwaambia mridhike na hali zetu hamtaki kuelewa ndio kwanza mnakimbilia page ya Zari the boss lady kwenda kujiumiza roho na kuchochea tamaa. Let things flow automatically. Kama ulipangiwa kuwa tajiri utakuwa tu hata ukiwa unafanya vitu vidogo vidogo tu vya halali. Mungu akitaka kukupa hamna wa kupinga acheni tamaa na kupenda makuu warembo wetu.Ukifuatisha maisha ya mtandaoni utaumia hasa kwa sisi watoto wa kike.
Wengi wanafanya vitu visivyofaa ili waonekane ni watu wa status flani.
Hawa watu wanaokula bata frequent,,Na yeye yuko kwenye list wa madada wanaoishi Mbezi Beach na kusukuma Range
Hahaha hapo ndipo wadada wa mjini wanaponishinda, wacha nichukue mke wangu mshamba tu ila nimempenda mwenyewe. Hawa wabandika kucha hapana! Ni kutafta stress tu. Ifike mda wanawake waelewe kila mtu anatakiwa kuwa na maisha kwa kiwango chake sio lazma kufosi wote muwe na maisha ya Klynn au Zari the boss lady wakati sio size yenu!Alikuwa anafanya sana hii biashara ili kukithi mahitaji ya mkewe. Si unajuwa madada wa mjini kwa ubishoo wa kutambiana na kutaka kujiweka juu ama kuishi maisha ya kina Beyonce huku kiingereza kiiiiiingi kufake maisha.
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka eti anguko la mwanaume nyuma kuna mwanamke...
duh huu uzi umejaa watoto wa mjini....ukifuatilia comments kwenye huu uzi ndo utajua kumbe humu kuna watoto wa mjini wengi na wanajua kila kitu
Nyandu tozi nae naskia ni PundaUyu Emba bortion ni nan!?
Huwa namsikia anatajwa sana na Nyandu Tozi kweny nyimbo zake
Hahaha hapo ndipo wadada wa mjini wanaponishinda, wacha nichukue mke wangu mshamba tu ila nimempenda mwenyewe. Hawa wabandika kucha hapana! Ni kutafta stress tu. Ifike mda wanawake waelewe kila mtu anatakiwa kuwa na maisha kwa kiwango chake sio lazma kufosi wote muwe na maisha ya Klynn au Zari the boss lady wakati sio size yenu!
Tukiwaambia mridhike na hali zetu hamtaki kuelewa ndio kwanza mnakimbilia page ya Zari the boss lady kwenda kujiumiza roho na kuchochea tamaa. Let things flow automatically. Kama ulipangiwa kuwa tajiri utakuwa tu hata ukiwa unafanya vitu vidogo vidogo tu vya halali. Mungu akitaka kukupa hamna wa kupinga acheni tamaa na kupenda makuu warembo wetu.
It seems huyo shamimu alidai talaka baada ya kuona jamaa yake wa mwanzo hakuwa na uwezo sana wa kumpa maisha makubwa ya kuonekana kwenye jamii kama icon.
Watu mna data humu. Sie wa vijijini tunaishia kusoma comment tu
Tukiwaambia mridhike na hali zetu hamtaki kuelewa ndio kwanza mnakimbilia page ya Zari the boss lady kwenda kujiumiza roho na kuchochea tamaa. Let things flow automatically. Kama ulipangiwa kuwa tajiri utakuwa tu hata ukiwa unafanya vitu vidogo vidogo tu vya halali. Mungu akitaka kukupa hamna wa kupinga acheni tamaa na kupenda makuu warembo wetu.
It seems huyo shamimu alidai talaka baada ya kuona jamaa yake wa mwanzo hakuwa na uwezo sana wa kumpa maisha makubwa ya kuonekana kwenye jamii kama icon.
Mzee baba habari yako kiongozi,Hahahaha, watoto wa mjini hawa,