Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Sijui wakoje...
kwa utawala huu wangesilimu ...wakazika dhambi za ngada zote ...
Halafu wakaenda zao..nje mpaka " kiumbe" atoke kitini!
 

Unapoongelea 200+ enzi zile walikataa na sasa 160mil hakuna wateja jibu ni rahisi wanunuzi hamna.. Unafikiri kipi kinapelekea hali hii??
 
mkuu unataka kusema hao ulowataja hapo kina salome nao ndo walewale wenzie na shamim?
 
Umenifurahisha, alianza pia kutafutia wafuasi madanga ya kizungu, unatuma unamtumia US $ anakufungulia account match.com

Kwakweli marehemu Jumanne Kimambi utakumbukwa daima kwa kumleta duniani Mange.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kwakweli huyo jumanne tutazidi kumkumbuka sio kwa kutuletea mange a.k.a dada wa taifa
 
Tatizo hela yake tamu sana. Imagine unaingiza zaidi ya million 100 kila mwaka, unadhani utawaza tena kuwa na biashara ya kuchonga miwa ama kuuza juice? Mwenzio kilaini tu hakosi laki 3 ya kuchezea kila siku!
na hapo ndo kwenye shida....hela nyepesi tamu aisee & huna uchungu nayo ndio maana wanakuwa & matumizi mabaya sana!
wengi hujidanganya kuwa watafanya kidogo tu wapate mtaji...mfuate baada ya mwaka umuulize usikie hilo jibu utalopewa
 
Hivi mkuu hiyo kete moja inasagwa na huo unga ndo mateja wanavuta au unaongezwa vitu vingine ili iwe tayari kwa kuvutwa?
 
Asante Mkuu ...tuko pamoja ... mfano mdogo ni daudi kanyau ... anafahamika wazi kuwa ni drugs dealer guru ..lakini yupo salama mpaka hii leo "

Ni kwa sababu hajawauzi vya kutosha wa kuu waliopo kwenye system
Huyu alishatimkia South siku nyingi, alivyoona mambo hayaendi Bongo akaishia zake
 
na hapo ndo kwenye shida....hela nyepesi tamu aisee & huna uchungu nayo ndio maana wanakuwa & matumizi mabaya sana!
wengi hujidanganya kuwa watafanya kidogo tu wapate mtaji...mfuate baada ya mwaka umuulize usikie hilo jibu utalopewa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…