Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Kwa Sheria yenyewe ya DCE Act No. 5 ya 2015 haikukaa vizuri.. Imekaa kihisia hisia..
Unaweza kutajwa tu kwenye mtandao wa madawa na kuunganishwa..
Zaidi ya gramu 200 zinatosha kukukosha dhamana..
Hivyo mtu akikuwekea madawa inatosha kunyanganywa uhuru na kuzuiliwa kwa muda mrefu sana..
Ni ngumu kuamini kuwa watuhumiwa walikuwa wazembe kiasi hicho.. wakati kwa hali ya kawaida walijua walikuwa katika uchunguzi ('surveillance') kwa kitambo baada ya kutajwa sana mitandaoni..
 
Kuna nyumba iko tabata vyumba 5 iko priced 100M ila hamna mtu anafika bei
 
Shamim alikuwa na mwendo flan hivi wa kuswim, Ila ni mtu poa ukikutana nae akikujua mwendo ni ule ule anakupa za zamani.Mengine amechagua mwenyewe tunaomjua haleti drama za kibubu wala Nini
 
Ujue mwasu nikikumbuka ile comment yako kuhusu mange mbavu sina[emoji16][emoji16]...

Hivi nikiyataka hayo maubuyu kwa sasa nayapata wapi??
Yale maubuyu alaikuwa anayatoa kwenye Blog yake aliita U.turn, kula alikuwa anasema kila kitu, yaani alikuwa mapaka anawasaidia wadada kuwatafutia WAZUNGU kwenye ma block ya match...sijui nini huko.. Kma akiingereza hakipandi unamlipa anakuwa anakusaidia kuwasiliana na MZUNGU ..haahaaaa.. mange ni shida.
 
Hichi ulichoandika mkuu ndo uhalisia wenyewe,,

Mjini ni Vita
 
Haaahaaa[emoji16][emoji16]I wish ningekuwepo mitandaoni kipindi hicho mweeh!

So U turn imekufa now?
 
Haaahaaa[emoji16][emoji16]I wish ningekuwepo mitandaoni kipindi hicho mweeh!

So U turn imekufa now?
U-turn imekufa, ilikuwa inapata udhami wa vodacom, alikuwa anaweka matangazo ya voda akawa analipwa pesa ndefu sana, mwamvita alimuunganisha wakati wakiwa mashoga, udhamini ulisitishwa na vdacom alivyoanza kumtukana Lowasa, AKAJITUTUMUA kuwa ALIJUA atanyang'anywa udhamini lakin eti ATAWEZA KUENDESHA BILA TATIZO, thubutu haikupita mwenzi akadanya WADANGANYIKA eti kila kitu ameona bora apost INSTAGRAM kwa kuwa analemewa kupost issue zake huku na huko, wengi tulijua amekumbwa na kimbunga cha matusi yake.
 
Kwenye upekuzi wowote, sheria inaruhusu wewe kumkagua askari au mpekuzi hata kama wapo kumi. Ukiwa na mtu wako unaemuamini pamoja na serikali ya mtaa. Ila makandokando ndo yanawaumizaga watu. Unapigwa kulia na kushoto juu na chini. Tena tetesi zinasema jamaa alijificha juu ya dark, muda wa kuwapiga sachi askari utatoka wapi. Balaa juu ya balaa
 
nimejaribu kuwafahamu hao watu nimeshindwa mkuu tafadhal nipatie majina yao au picha zao naweza nikawajua mana kinondoni nimeivuruga sana kwa mishe mishe ko watoto wa kimjin wengi nawafahamu lakin kwa code zako nimepotea leo
 
Hamidu nilijua yupo chini ya big sande(Rip)pale mnarani kino mkwajuni jiran na kwa zamoyoni
 
Huyo big alikuwa anachukua mtoto mmoja mzuri vibaya mno mkuu alikuwa mtoto wa mjumbe kila mtu alikuwa anamuogopa sababu ya big. ...ebwana si kuna bishoo mmoja alizamiaga miaka ya nyuma uarabuni akarud kwa mbwembwe bongo hiyo around 2012 akamgonga yule mtoto wahuni wakajua wakamchana big. .
Basi kilichomkuta yule dogo hadi leo bongo hawez rudi mana wanyama walikula ndogo yake usiku kucha
 
Duh

Ova
 
Kuna watu bado wana pesa zao lakini nyakati zinawafanya wasitumie hovyo. Wanacheki hali kwanza... Huwezi kutumia tu wakati njia za kuingiza zimezibwa.
Kuna nyumba iko tabata vyumba 5 iko priced 100M ila hamna mtu anafika bei
 
hahahaha aisee bongo bahat mbaya
 
Hamidu nilijua yupo chini ya big sande(Rip)pale mnarani kino mkwajuni jiran na kwa zamoyoni
Ypo chini ya mkurya mmja mtu mrefu
Ila siku hzi hawaonekani boss wao alikimbilia dizonga # ila anarudi kimachale chale

Ova
 
Ypo chini ya mkurya mmja mtu mrefu
Ila siku hzi hawaonekani boss wao alikimbilia dizonga # ila anarudi kimachale chale

Ova
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "

Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…