Mungo Park
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 2,115
- 1,834
Kuna nyumba iko tabata vyumba 5 iko priced 100M ila hamna mtu anafika beiNi kweli ziko juu! Ila ukilinganisha na wakati wa Kikwete ni kuwa zimeshuka chini. Nina jamaa nawaowafahamu wanne. Mooja ana nyumba na wengine ni viwanja, Bunju, Kijitonyama na Tegeta. Wakati wa Kikwete walikataa bei za mil 200+ lakini sasa hivi hata mil 160 hawapati mtu.
Sasa unaeleweka..
Yale maubuyu alaikuwa anayatoa kwenye Blog yake aliita U.turn, kula alikuwa anasema kila kitu, yaani alikuwa mapaka anawasaidia wadada kuwatafutia WAZUNGU kwenye ma block ya match...sijui nini huko.. Kma akiingereza hakipandi unamlipa anakuwa anakusaidia kuwasiliana na MZUNGU ..haahaaaa.. mange ni shida.Ujue mwasu nikikumbuka ile comment yako kuhusu mange mbavu sina[emoji16][emoji16]...
Hivi nikiyataka hayo maubuyu kwa sasa nayapata wapi??
Hichi ulichoandika mkuu ndo uhalisia wenyewe,,Yani i wish wanawake wangekaa kulielewa hili tu. Waathirika wakubwa wa kupenda makuu ni wanawake wa kimjini mjini wasiojua kutafuta kwa jasho ndio hawajuagi kuridhika. Yani ni ubishoo na kutaka makuu tu ndio maana vijana wanawakimbia wanaangukia kwa mababu au wauza unga maana mziki wa kuhudumia malaki si mchezo.
Saloon nywele laki 3 au zaidi,pedicure ,manicure , Outing viwanja vya maana anywe pombe anazokunywa Uwoya, Umlipie apartment ya USD 800-1000 kwa mwezi na ununue simu kila toleo jipya la iphone likiingia tu mjini. Ye kazi yake kuangalia kim kardashian kavaa nini nayeye avae! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kukutanulia mapaja...kwa hali hio lazma uuze madawa tu hamna namna!
Haaahaaa[emoji16][emoji16]I wish ningekuwepo mitandaoni kipindi hicho mweeh!Yale maubuyu alaikuwa anayatoa kwenye Blog yake aliita U.turn, kula alikuwa anasema kila kitu, yaani alikuwa mapaka anawasaidia wadada kuwatafutia WAZUNGU kwenye ma block ya match...sijui nini huko.. Kma akiingereza hakipandi unamlipa anakuwa anakusaidia kuwasiliana na MZUNGU ..haahaaaa.. mange ni shida.
U-turn imekufa, ilikuwa inapata udhami wa vodacom, alikuwa anaweka matangazo ya voda akawa analipwa pesa ndefu sana, mwamvita alimuunganisha wakati wakiwa mashoga, udhamini ulisitishwa na vdacom alivyoanza kumtukana Lowasa, AKAJITUTUMUA kuwa ALIJUA atanyang'anywa udhamini lakin eti ATAWEZA KUENDESHA BILA TATIZO, thubutu haikupita mwenzi akadanya WADANGANYIKA eti kila kitu ameona bora apost INSTAGRAM kwa kuwa analemewa kupost issue zake huku na huko, wengi tulijua amekumbwa na kimbunga cha matusi yake.Haaahaaa[emoji16][emoji16]I wish ningekuwepo mitandaoni kipindi hicho mweeh!
So U turn imekufa now?
Kwenye upekuzi wowote, sheria inaruhusu wewe kumkagua askari au mpekuzi hata kama wapo kumi. Ukiwa na mtu wako unaemuamini pamoja na serikali ya mtaa. Ila makandokando ndo yanawaumizaga watu. Unapigwa kulia na kushoto juu na chini. Tena tetesi zinasema jamaa alijificha juu ya dark, muda wa kuwapiga sachi askari utatoka wapi. Balaa juu ya balaaKwa Sheria yenyewe ya DCE Act No. 5 ya 2015 haikukaa vizuri.. Imekaa kihisia hisia..
Unaweza kutajwa tu kwenye mtandao wa madawa na kuunganishwa..
Zaidi ya gramu 200 zinatosha kukukosha dhamana..
Hivyo mtu akikuwekea madawa inatosha kunyanganywa uhuru na kuzuiliwa kwa muda mrefu sana..
Ni ngumu kuamini kuwa watuhumiwa walikuwa wazembe kiasi hicho.. wakati kwa hali ya kawaida walijua walikuwa katika uchunguzi ('surveillance') kwa kitambo baada ya kutajwa sana mitandaoni..
Kumba tatizo RangeAngebaki na Baba Iqra Range ange sukuma lini Range?
nimejaribu kuwafahamu hao watu nimeshindwa mkuu tafadhal nipatie majina yao au picha zao naweza nikawajua mana kinondoni nimeivuruga sana kwa mishe mishe ko watoto wa kimjin wengi nawafahamu lakin kwa code zako nimepotea leoMchimba kisima kaingia mwenyewe hiyo
Ila jeuri sana Alikuwa,Kuna siku alinijibu shit
Kuna sehemu mmoja nlikuwa naosha Gari si unajua tena ngalangala....akaja na audi
Akamuambia yule jamaa aliyekuwa ananioshea kuwa hivi mwenye hii Gari anakupa bei jamaa a Kam jibu 3000,L akamwambia achane nalo aoshe lke atampa
20000/ mm nlipomskia nkasemea mbovu L
Maana tayari wkt ule kichwani nlishavesha
L namjua kitamboo kbla hjawa na H...
Kwanza sura yke ngumu
Kuna siku sasa nlikutana naye Mico dispensary mwembejini kaletwa na bajaji hoi
Nilishamuona ana dalili ya Uteja nkamfata akawa ananikwepa....
Nlimindigi sana alifanya bday yke masaki mdg wake mmoja baunsa si alinikaribisha tukaenda na wana Kufika yeye kutuona akawambia jamaa sisi haturuhusiwi
Bday yke aliunguza mln 15 aliwalika wajinga jinga na wasanii
Sahv mamaee anaisoma #
Ova
Hamidu nilijua yupo chini ya big sande(Rip)pale mnarani kino mkwajuni jiran na kwa zamoyoniMdhamini wao si yule mtu mrefu
Yule ndy anawapa jeuri
Mtu mrefu mwenyewe alikimbia kwa madiba anakujaga kwa kujiiba bongo
Huyo dogo naye kipuz alikuwa anamtia emba ujinga tu
Sasa mama yuko ngome mtoto yuko ngome
Mama alijiona ana connection kubwa marafiki watamsaidia lkn jiiii
Ova
Huyo big alikuwa anachukua mtoto mmoja mzuri vibaya mno mkuu alikuwa mtoto wa mjumbe kila mtu alikuwa anamuogopa sababu ya big. ...ebwana si kuna bishoo mmoja alizamiaga miaka ya nyuma uarabuni akarud kwa mbwembwe bongo hiyo around 2012 akamgonga yule mtoto wahuni wakajua wakamchana big. .Mdhamini wao si yule mtu mrefu
Yule ndy anawapa jeuri
Mtu mrefu mwenyewe alikimbia kwa madiba anakujaga kwa kujiiba bongo
Huyo dogo naye kipuz alikuwa anamtia emba ujinga tu
Sasa mama yuko ngome mtoto yuko ngome
Mama alijiona ana connection kubwa marafiki watamsaidia lkn jiiii
Ova
DuhHuyo big alikuwa anachukua mtoto mmoja mzuri vibaya mno mkuu alikuwa mtoto wa mjumbe kila mtu alikuwa anamuogopa sababu ya big. ...ebwana si kuna bishoo mmoja alizamiaga miaka ya nyuma uarabuni akarud kwa mbwembwe bongo hiyo around 2012 akamgonga yule mtoto wahuni wakajua wakamchana big. .
Basi kilichomkuta yule dogo hadi leo bongo hawez rudi mana wanyama walikula ndogo yake usiku kucha
Kuna nyumba iko tabata vyumba 5 iko priced 100M ila hamna mtu anafika bei
hahahaha aisee bongo bahat mbayaNa anawapata machizi wenzake wengi tu, kuna wakati alianza kuwafundisha jinsi ya kupata mume CLAAs au MZUNGU , akawaambia acheni kutengeneza TRIANGLE yaani NYUMBANI, KAZINI KANISANI/MSIKITINI NYUMBANI, mkitoka kazini nendeni hotel kubwa agiza hata maji utapata watu class, hameni manzese hamieni masaki hata kwenye banda la uani utakutana na watu claa...basi kuna mmoja akaja kulalamika eti NILIFANYA HIVYO NIKAPATA MZUNGU AMENI..MBA SIKU MOJA TU , akaninyima namba yake nilikosea wapi? Akajibiwa we alikuona MALAYA kwa nini ulimpa MBUNYE siku ya kwanza? Hahhaaaaaaaaaaaa! huyu ndio Mange na ELIMU YAKE, shami na VIBUBU vyake..kila chizi na machizi wake jamani.
Hahaha aje atuulize tuliowahi kulima kwa pesa hizi za kudunduliza
Ypo chini ya mkurya mmja mtu mrefuHamidu nilijua yupo chini ya big sande(Rip)pale mnarani kino mkwajuni jiran na kwa zamoyoni
oriflame wap wap na wapMaisha fake fake....baadae watasema ni sababu ya Olframe sijui au network business fulani. Kumbe wanalisha watoto wa watu unga
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "Ypo chini ya mkurya mmja mtu mrefu
Ila siku hzi hawaonekani boss wao alikimbilia dizonga # ila anarudi kimachale chale
Ova