Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Mkuu, huyo mtanagazaji ni milard au mimi sijaelewa?

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka ka mazuri, sasa Kuna siku Meridian enzi zile pako fire alilishikilia limoja kiuno bila haya akatokokomea nalo kila mtu lol aibu tunaona sie
 
" Huu". Ndio ugonjwa ghani mkuu? Ebu malizia bhana.

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
Unasubiri nini kuyaleta.

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka ka mazuri, sasa Kuna siku Meridian enzi zile pako fire alilishikilia limoja kiuno bila haya akatokokomea nalo kila mtu lol aibu tunaona sie
Meridian ya kipind hiko bwana nakumbuka 2014 nazan kama sikosei kipind wameifanyia marekebisho zile projector niliwauzia mimi wale kuna mdau alikuwa anatoka nazo south ko anatumwagia mzigo wa simu na projector tunaanza kuzikimbiza kwenye mabar na kumbi tofauti sasa siku tumewauzia wale wamasai wa mjin wenye meridian tuna fumba la kutosha mfukoni ebwana tulitingwa vibaya mno kama wale wamasai waliwaambia hao wajinga wana hela mfukoni itabid tuwaeleze wale wapumbavu hatutumiagi hizo "Biriani"
Pia way back again kipind hiko Lulu star kwel na meridian panachafukwa roho vibaya mno na anachukuliwa na msanii mmoja hivi anapendwa sana na jamii ya watu wa Tabata nami nina hela zangu za simu nimetoka kuzungusha mzigo huko si kidume nikajitusu nami nataka kubembea akaniangalia akaona huyu katoka Ngopyolo ataniweza kwel kanitupilia mbali kesho yake nilijiuliza maswali mengi kwel dalali wa simu nataka kuupanda mbuyu ule hapana kwa kwel.

Aisee kinondoni acha iheshimiwe kwa kwel sio kwa mishe mishe zile mpaka mtu Chuo unakiona kichungu yaan umemaliza pind unakuta pesa huna unavunja kwa mguu toka mlimani mpaka mkwajuni huku unajua nikirud tu nina magonga mfukoni ko acha niende tu.

Ila kwa namna nyingine magufuli acha aheshimiwe kwa alichokifanya kwa hawa ndugu zetu mana nina kaka yang kabisa hapo home keko magurumbasi aisee bro alipoteana mpaka ilibid apelekwe kijijin akapewa huduma zote huko hata Dar es salaam ilishaharibika vibaya na ile system ingeendelea wengine tusingekuwa hapa wallah! !!
 
... uko sahihi Mkuu. Kuna yule mwingine (marehemu kwa sasa) aliyekuwa na "figure" tatanishi aliingia Dar kama house girl. Alivyobadilika alikuwa gumzo la jiji kabla ya kifo chake chenye utata pia.
 
... uko sahihi Mkuu. Kuna yule mwingine (marehemu kwa sasa) aliyekuwa na "figure" tatanishi aliingia Dar kama house girl. Alivyobadilika alikuwa gumzo la jiji kabla ya kifo chake chenye utata pia.
Marehemu hasemwi mkuu
 
Asee[emoji2958]

Ila mlifaudu mnoo[emoji16]
 
Huyu nsembo rafikia sana na Kinje na lemutuz na bashite. Itakuwa wamepishana kiswahili na bash boy. Kawatengenezea zengwe ila watatoka na hakuna atakayefungwa hapo. Wanatikiswa wateme mpunga
... halafu tunashangaa jamaa anapata wapi magari makali namna ile ambayo wengine hawana! Can't we connect the dots?
 

Hajui kitu huyo braza...unga unachanganywa na ving...anajua uzito wa G 3 kwa mfano unatoa busta ngap??na busta moja ni kete ngap??na kete moja ni sh ngap??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…