So mkuu na dogo hamidu naye arse hole yake inabebaga hizo mambo sio?Salute kwa wana walioingiza hio hela kwenye mizunguko ya kawaida. Kama dogo hamidu ana coaster na bajaji zake zinapiga kazi ina maana hela inaingia tu hata akiacha hizo mambo. Pengine kama ana maduka nayo yatamtoa freshi tu.
😂😂😂😂😂 sijajua manSo mkuu na dogo hamidu naye arse hole yake inabebaga hizo mambo sio?
Dar Skendoooo halaaaaa
... na hawafanyi hivyo kwa bahati mbaya! Wanajua ni muda ambao nguvu zitakuwa "zimekuishia" hata bastola utakuwa hukumbuki ilipo! It was planned that strategically bro!Makamanda wanakuja muda mbaya...SAA 8 usiku ni muda wa show huo....
Kweli serikali hailali.
FAyaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "
Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze
"humo humo chapa tena humo humo " in sholo mwamba voice
Aisee....!!!Angekua mshamba asinge cope na status za mjini kwenye ile group yao walikuw Mwamvita Makamba, yule Kiki Zimba na Shamim
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijajua man
... Mkuu unaonekana kuwa mzee wa mjini haswa! Maana huu uzi umeu-control vilivyo! Unaonekana kujua mambo ya "inside" balaa.Huyo dada ndy mtu wa kwanza kuuza brazilian hair alifunguaga duka mikocheni
Kabla yke nlikuwa na mke wa rafiki yangu mmoja ni m Peru alikuwa anafanya kazi United nation alinipaga sample za nywele kama 3 hvi nizitafutie market wakati huo f bado!hajaanza mm nlikuwa sina idea na mmbo hyo si unajua mm mapori pori
Nlimfata f kumuliza idea nkamuzia moja
Mm nkasafiri ehh baada ya Muda nkasikia wao wanaleta nywele hzo wanauza
Nlichezea zali la mperu...hata hvyo mm na mambo ya urembo wapi na wpi
Ova
... uko sahihi Mkuu. Kuna yule mwingine (marehemu kwa sasa) aliyekuwa na "figure" tatanishi aliingia Dar kama house girl. Alivyobadilika alikuwa gumzo la jiji kabla ya kifo chake chenye utata pia.
Dida Shaibu ameacha kwenda China?60% ya wadada waliokuwa wanafuata bidhaa china walikuw wanajiload plummer miaka ya nyuma. Nambua sidhani kama alikosa. Enzi hizo consolidator wa mizigo ya kutoka china alikuwa Muddy Mas.
Nambua na Shamim wanishi kaya moja hapo mbezibeach nyuma ya shoppers na kaya hiyo ina madon zaidi ya 6 wa poda. Ndege wafananao ndio huruka pamoja.
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "
Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze
sidhan kama jina hilo...huyo nae namfahamu jamaa mmoja ananyoa kipara ila kidogo mstarabu ila kiburi cha kinyakyusa kama hakufahamu.Uswege?
sidhan kama jina hilo...huyo nae namfahamu jamaa mmoja ananyoa kipara ila kidogo mstarabu ila kiburi cha kinyakyusa kama hakufahamu.
Irine Kiwia alifukuzwa na yule msela wa kisukuma George BugandoMwanafunzi wa Luoga nakuona
Huyo huyo wa upanga mama yao na kina samira
40 yake nae itafika kama ya mamake mkubwa yule alwatan wa Upanga[emoji40]
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "
Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze