Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Salute kwa wana walioingiza hio hela kwenye mizunguko ya kawaida. Kama dogo hamidu ana coaster na bajaji zake zinapiga kazi ina maana hela inaingia tu hata akiacha hizo mambo. Pengine kama ana maduka nayo yatamtoa freshi tu.
So mkuu na dogo hamidu naye arse hole yake inabebaga hizo mambo sio?

Dar Skendoooo halaaaaa
 
Makamanda wanakuja muda mbaya...SAA 8 usiku ni muda wa show huo....

Kweli serikali hailali.
... na hawafanyi hivyo kwa bahati mbaya! Wanajua ni muda ambao nguvu zitakuwa "zimekuishia" hata bastola utakuwa hukumbuki ilipo! It was planned that strategically bro!
 
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "

Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze
FA
 
Huyo dada ndy mtu wa kwanza kuuza brazilian hair alifunguaga duka mikocheni
Kabla yke nlikuwa na mke wa rafiki yangu mmoja ni m Peru alikuwa anafanya kazi United nation alinipaga sample za nywele kama 3 hvi nizitafutie market wakati huo f bado!hajaanza mm nlikuwa sina idea na mmbo hyo si unajua mm mapori pori
Nlimfata f kumuliza idea nkamuzia moja
Mm nkasafiri ehh baada ya Muda nkasikia wao wanaleta nywele hzo wanauza
Nlichezea zali la mperu...hata hvyo mm na mambo ya urembo wapi na wpi

Ova
... Mkuu unaonekana kuwa mzee wa mjini haswa! Maana huu uzi umeu-control vilivyo! Unaonekana kujua mambo ya "inside" balaa.
 
... uko sahihi Mkuu. Kuna yule mwingine (marehemu kwa sasa) aliyekuwa na "figure" tatanishi aliingia Dar kama house girl. Alivyobadilika alikuwa gumzo la jiji kabla ya kifo chake chenye utata pia.

Mkuu ukimtaja utakamatwa.?
 
60% ya wadada waliokuwa wanafuata bidhaa china walikuw wanajiload plummer miaka ya nyuma. Nambua sidhani kama alikosa. Enzi hizo consolidator wa mizigo ya kutoka china alikuwa Muddy Mas.

Nambua na Shamim wanishi kaya moja hapo mbezibeach nyuma ya shoppers na kaya hiyo ina madon zaidi ya 6 wa poda. Ndege wafananao ndio huruka pamoja.
Dida Shaibu ameacha kwenda China?
 
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "

Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze

Uswege?
 
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "

Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze

Falsafa....ila mkuu naye huyu miaka nyuma kuna kipindi kulikuwa na tetesi zile trip za kwa malikia wakati wanasoma walikuwa wanabeba..huyo jamaa mwenye mzigo yupo Coventry sasa hivi kapata stroke anaumwa dah maisha haya.
 
Back
Top Bottom