Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Mkuu hakika umenena, huwezi mhurumia Shamimu as if ulikuwa body guard wake. Kama alihusika abebe msalaba wake. Asitafute huruma.
Mimi sipendi tabia ya watu kutafuta huruma na kutupa lawama, hii tabia inaonesha how irresponsible people are.... Ukifanya kosa iwe dhambi au jinai jua kuwa kuna hukumu yake siko moja, ikifika pokea kikombe hicho na uachilie roho.
 
Adhabu haipunguzwi kwa kuwa eti ana Watoto. Ingekuwa hivyo kile mwenye Watoto atakuwa anafanya makosa au atakuwa anauza madawa na akikamatwa anasingizia Watoto
Sheria haitoi huruma, inatoa haki
Kama alijua ana watoto kwa nini akauze madawa?
Nani kakudanganya adhabu haipungui kama una watoto wanakutegemea?? Sheria inayo huruma ndio maana kuna wakati wa mitigation. Kuna sababu zinazofanya adhabu ipungue. Hapo itakua inaangaliwa mitigating factors vs aggravating factors na sheria inatoa ukomo gani wa adhabu kwa kosa hilo lilofanywa.
 
Bonge la harus
 
Dah! wangepunguziwa adhabu hasa ukiangalia wanafamilia nyumban jaman inayowategemea. Watoto watabaki kama yatima nawaonea huruma watto, makosa ya wazazi wao yanawagharimu
 
Si alifata mihela akamuacha chokambaya
Hapo kuna la kujifunza

Ova
 

Mkuu unapropose Shamimu angemsaliti mmewe.
 
Umeanza kuwafahamu lini hawa watu mkuu? unaishi wapi kwanza.
 
Sawa hawakuwashikia hiyo ndude na ndio maana wamehukumiwa.,.... Ukipanda bange utavuna punyeto.
Nakwambia hivi tunza kweny kumbukumbu yako rufaa wanashinda narudia tena rufaa wanashinda mm ndio naondoka hapa mahakaman ww endelea kupiga punyeto zako
 

....kama ni rahisi hivyo kwa upande wa ngada, kila dada atazaa watoto

then ata push ngada kama kawa na kula bata, maana anajua akidakwa atatumia kigezo cha kua 'nna watoto nahitaji kuwalea, naomba adhabu ipungue'

mahakama sio wajinga kiasi icho
 
Tena nasikia nsembo alikuwa bwana wa shoga ake shamimu (mboni) ndio bibie akaolewa naye kabisa....Kama ni kweli mboni amshukuru Mungu kumuepusha na Shari hii
Kuna mtifuano hadi basi. Shamimu aliacha mine wake, akakae kupita Bwana wa rafiki yake hadi ndoa. Shamimu machachari kweli kweli. Hana tofauti na joka la makendeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…