Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Na kweli naona mtoto anaweza jidhulu.. alafu tukapoteza chombo.. acha tuweke mapesaa ipigwe tunnel moja matata... 😀😀.. na ni rahisi tufanyw mchakato wa kupata ramani ya pale ya mfumo wa maji taka. Tunapitia humo humo 😀😀Ila braza fanya fasta ulete hizo dollar hapa tuanze mkakati maana huyu naona kuna uwezekano wa kujiua huko gerezani. Trust me utasika mrembo amekutwa kajinyonga na khanga.
Hapa **** options mbili mzeya ya kujenga tunnel au kama vipi tutue na helicopter hapo gerezani