Mmekimbilia kwenye kutisha tena nyumba hazionekani tenaYaani Bukoba kunatisha sijui kwanini.
Ulisikia Obama aliomba kupata eneo moshi alipokuja kwenye Tour?
Ni kwasababu moshi kuna mandhari ya kuvutia sana, watalii hawakauki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bukoba ni bukoba Tu hata picha ziwe za mbingun[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa picha hizi za kudownload jamiiforums kila siku?
Ujue watu wanakucheka? Na wanapita bila comment kwasababu wameziona kila nyuzi. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Takaka hii, Angalia Lami Grade ya Kwanza Kijijini.
Kijiji kimekuwa kama mji [emoji28][emoji28]Takaka hii, Angalia Lami Grade ya Kwanza Kijijini.
Kaka huoni Aibu kabisa unachopost?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1300872
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka wa tano ? Alafu hujui ?Hiv wachagga hu mnarud haswa kufanya nini mwisho wa mwaka na je kuna ulazima kiasi hiko na kama ukikosa nini kitakutokea kama mchagga niko uchaggan mwaka wa 5 sasa hili swali linanitatiza sana?