ππππ, wazee wa migombani.Hautakaa uzione. Utaishia kuona coments tu za meneno kibao kutoka kwa hawa wapenda sifa wa kaskazini.[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha keleleView attachment 1296817 kwetu hamna migomba ila kuna michicha ya kutosha...karibu uongeze damu
Sijui Kama unajua kuwa kilimanjaro Ni mkoa wa pili kwa makazi bora na maisha Bora baada ya dar,yaani 90% ya Wana kilimanjaro wanaishi maisha boraHii picha ishapata tabu sana. Picha moja nyuzi zote za Kilimanjaro na ni ya barabarani. Sijui hawanaga nyumba hawa??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu vijin ndan ndan lami hadi chooni
Mbona picha huwa wanapost sana hasa za mjadala?
Hebu pata rasha rasha kwanza
Karibu View attachment 1296371View attachment 1296372View attachment 1296374View attachment 1296373
Sent using Jamii Forums mobile app
Watume picha gani mkuu? Ni aibu tu. Wakiamua kutuma utaona wanatuma za mahoteli ya watalii wazungu. Kamwe hautaona za vijumba vyao migombani huko. Kiufup wanaji overrate wenyewe . Acha tusubiri hizo za migombani nami nipo hapa sibanduki[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kelele karibu kilimanjaro hadi vichochoroni watu wanaishi kwenye maghorofa na miundombn safi hii kitu haipo popote TanzΓ’niaHautakaa uzione. Utaishia kuona coments tu za meneno kibao kutoka kwa hawa wapenda sifa wa kaskazini.[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Arawa leta za wana wa Muleba kule ,kagera Bukoba wanaokwenda kula sikukuu tuwachangamshe hawa wachagga maneno mengi vitendo zero
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wazee wa migombani.
Acha dharau wewe huko kuna mahekalu mpaka ya gorofa tatu garden za maana wavivu tu wa kutuma kwanza utaanzaje kwenda kupiga picha mjengo wa watu bila idhini yake utatolewa nduki na mbwa kama sio walinziWatume picha gani mkuu? Ni aibu tu. Wakiamua kutuma utaona wanatuma za mahoteli ya watalii wazungu. Kamwe hautaona za vijumba vyao migombani huko. Kiufup wanaji overrate wenyewe . Acha tusubiri hizo za migombani nami nipo hapa sibanduki[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha dharau wewe huko kuna mahekalu mpaka ya gorofa tatu garden za maana wavivu tu wa kutuma kwanza utaanzaje kwenda kupiga picha mjengo wa watu bila idhini yake utatolewa nduki na mbwa kama sio walinzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kelele karibu kilimanjaro hadi vichochoroni watu wanaishi kwenye maghorofa na miundombn safi hii kitu haipo popote TanzΓ’niaView attachment 1297041View attachment 1297042View attachment 1297043
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza jazba usipate presha bure mchagga hata kama hana shule kichwani kaelimika ukitaka kuongea pumba zako ujipange[emoji23][emoji23][emoji23]wachaga bwana. Tushawajua ulimbukeni mtupu kelele nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mndengereko acha kutuharibia uzi wetu sisi wachaga[emoji23][emoji23][emoji23]wachaga bwana. Tushawajua ulimbukeni mtupu kelele nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibosho's finest...Wacha kelele karibu kilimanjaro hadi vichochoroni watu wanaishi kwenye maghorofa na miundombn safi hii kitu haipo popote TanzΓ’niaView attachment 1297041View attachment 1297042View attachment 1297043
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si hujasema? Uwe unanitumia meseji basi
Punguza jazba usipate presha bure mchagga hata kama hana shule kichwani kaelimika ukitaka kuongea pumba zako ujipange
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti hakuna mkoa..... [emoji23][emoji23]Karibu vijin ndan ndan lami hadi chooni
Hakuna mkoa wowote TANZANIA unaofikia kilimanjaro kwa makazi bora vijinView attachment 1297036View attachment 1297037View attachment 1297038
Sent using Jamii Forums mobile app