Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Sibishan na watu wa vigunguti Mimi . Wazaramo waliotupwa huko mkuranga.


Hiv kuna nyuzi ngap za kusifia moshi? Wao ndo wanatumia nguvu nyingi kuaminisha umma mpaka baadhi ya watu hujiona mbwa( sio chochote) mbele Yao( mfano wew) lakin wakijitokeza wababe wao ( wahaya) hukimbia Uzi na kuishia kupost nyumba ya mengi na wazungu wavaa chupi wanaokwenda kutalii mlima

Sent using Jamii Forums mobile app
.
20191220_233813.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua Muleba ni vijijini lakini?? Usije kuwa unapalingajisha na miji kiongozi. Chagua halmashauri ya wilaya iliyopo vijijini kwenye mikoa yako ufananishe na Muleba. Unafikiri watu wa burudani ni wajinga kuleta matamasha yote hayo Bukoba na Muleba??
Acha kujificha kwenye mnazi mkuu muleba pa kipumbavu sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachaga naomba muwaache wahaya kwa sifa, hamtowaweza (ni sifa yao)

Kiufupi Watanzania tunajua mwenye akili timamu hawezi kuifananisha Moshi na Bukoba au miundo mbinu ya Moshi vijijini na Muleba+Bukoba vijijini.

Takwimu za mwaka wa pesa 2016/17 Kagera ilikuwepo kwenye top 5 ya mikoa Masikini TZ, huku Kilimanjaro, Arusha, na Manyara (Kaskazini kiujumla) ikiwa top 5 ya mikoa tajiri TZ Mikoa mitano maskini zaidi Tanzania hii hapa. Na takwimu nyingine zilizofwata hadi sasa K'njaro ipo top 3 ya mikoa tajiri TZ.

Naona Moshi imeongoza tena kwa kuwa mji msafi TZ 2019, kongole kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu umesahau ni kuwakumbusha wachaga wenzio watupostie picha za shamra shamra za Krismas kama walivyoanzisha uzi[emoji13][emoji13]
Wachaga naomba muwaache wahaya kwa sifa, hamtowaweza (ni sifa yao)

Kiufupi Watanzania tunajua mwenye akili timamu hawezi kuifananisha Moshi na Bukoba au miundo mbinu ya Moshi vijijini na Muleba+Bukoba vijijini.

Takwimu za mwaka wa pesa 2016/17 Kagera ilikuwepo kwenye top 5 ya mikoa Masikini TZ, huku Kilimanjaro, Arusha, na Manyara (Kaskazini kiujumla) ikiwa top 5 ya mikoa tajiri TZ Mikoa mitano maskini zaidi Tanzania hii hapa. Na takwimu nyingine zilizofwata hadi sasa K'njaro ipo top 3 ya mikoa tajiri TZ.

Naona Moshi imeongoza tena kwa kuwa mji msafi TZ 2019, kongole kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu umesahau ni kuwakumbusha wachaga wenzio watupostie picha za shamra shamra za Krismas kama walivyoanzisha uzi[emoji13][emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona INRI huko juu amesha posti picha nyingi tu akiwa huko kwao Marangu.

Kitu ambacho hujajua wachaga na wanakaskazini wote kwa ujumla hawanaga tabia ya kupiga piga picha hovyo na kulumbana kwenye mijadala ya hovyo

Ukweli utabaki palepale, huwez linganisha miundo mbinu ya Moshi vijijini na (Muleba+Bukoba vijijini+Karagwe) au kulinganisha Moshi na Bukoba.
ova.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ndo shamra shamra za X mass zenyewe. Tunakula vyombo mdogo mdogo hapa Kashenye, Kanyigo, Missenyi, Kagera, Tabzania muda huu!! Wale wa Kilimanjaro endeleeni kutafuta picha za kwenye website[emoji38][emoji38]
20191221_001312.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu umesahau ni kuwakumbusha wachaga wenzio watupostie picha za shamra shamra za Krismas kama walivyoanzisha uzi[emoji13][emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
Muda huu nipo Mwika(kijijini) kesho nikipata nafasi nitashare picha kazaa, asee huku lami hadi vichochoroni.... Ukisikia watu wamejenga makwao ndio huku, hakuna nyumba za hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona INRI huko juu amesha posti picha nyingi tu akiwa huko kwao Marangu.

Kitu ambacho hujajua wachaga na wanakaskazini wote kwa ujumla hawanaga tabia ya kupiga piga picha hovyo na kulumbana kwenye mijadala ya hovyo

Ukweli utabaki palepale, huwez linganisha miundo mbinu ya Moshi vijijini na (Muleba+Bukoba vijijini+Karagwe) au kulinganisha Moshi na Bukoba.
ova.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa utapalinganishaje.

We huoni mkoa mzima wa Kilimanjaro ni Sawa na wilaya moja Tu ya muleba Kwa kagera.
Huoni kwamba sehemu ya kagera iliyoendelea ni kubwa mno ?
Nyie mna maneno mengi na sifa za kiboya bila kuwa na ushahidi.

Tunataka facts kama hiv sio maneno na takwimu zenu za kupikwa
Screenshot_20191220-125715.jpeg
Screenshot_20191220-125747.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeziona picha za huyo INRI? Kapiga ngapi? Ina maana yeye tu ndo yupo kwao??

Na kama sio utamaduni wenu kupiga picha , sawa tunajua utamaduni wenu ni kafara za damu, sasa uzi mmeanzisha wa nini??
Mbona INRI huko juu amesha posti picha nyingi tu akiwa huko kwao Marangu.

Kitu ambacho hujajua wachaga na wanakaskazini wote kwa ujumla hawanaga tabia ya kupiga piga picha hovyo na kulumbana kwenye mijadala ya hovyo

Ukweli utabaki palepale, huwez linganisha miundo mbinu ya Moshi vijijini na (Muleba+Bukoba vijijini+Karagwe) au kulinganisha Moshi na Bukoba.
ova.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma jina la uzi mkuu. Tuletee shamra shamra za sikukuu huko kwenu hatutaki picha za kuokoteza. Uzi mnauharibu wenyewe kwa kuhaha kutafuta picha za kutuaminisha uzuri badala ya maandalizi ya sikukuu. Sisi tukijibu hapa mnaanza kulia lia
Muda huu nipo Mwika(kijijini) kesho nikipata nafasi nitashare picha kazaa, asee huku lami hadi vichochoroni.... Ukisikia watu wamejenga makwao ndio huku, hakuna nyumba za hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa ya wahaya tunayoijua ni kujiuza na kumwaga kojo la katerero,haya mengine unatumalizia chaji tu
Sibishan na watu wa vigunguti Mimi . Wazaramo waliotupwa huko mkuranga.


Hiv kuna nyuzi ngap za kusifia moshi? Wao ndo wanatumia nguvu nyingi kuaminisha umma mpaka baadhi ya watu hujiona mbwa( sio chochote) mbele Yao( mfano wew) lakin wakijitokeza wababe wao ( wahaya) hukimbia Uzi na kuishia kupost nyumba ya mengi na wazungu wavaa chupi wanaokwenda kutalii mlima

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom