Kaina
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 380
- 326
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umewakamata pabaya. Hawawezi onekana hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hice tu zinakimbizwa na bajaji, costa zibebe nani?? [emoji26][emoji26]
nadhani kwa sasa hivi moshi ndio mji unao ongoza kwa kutumia bajaji katikati ya mji!!
Huwezi amini kunafoleni kabisa bajaji hata 50 zimejipanga hizoooo alafu nayo wanasema wana trafic jam [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Watataka na trafick lights hawa za kuongoza bajaji!!! [emoji38][emoji38]
Wakibisha natumapicha [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app