Kuna wachawi kuliko kwenu kagera? Mnakatana makoromeo,mnapigana SHUNTAMA au unadhani hatujui? Ukienda miambao ya ziwa kwenu ndo wachawi wa kutupwa
Mliwahi kumla nyama Padre wa kizungu miaka ya zamani wanga wakubwa nyie
Sisi Ni wacha Mungu ndio maana Baraza la maaskofu Katoliki, ktk maaskofu 34, wachaga pekee Ni 11 Sawa n'a 34%
Ukienda moshi kila parokia ina mapadre 5 nje ya nchi ndio maana
Mapadre diaspora wanaoongoza Ni wa jimbo Katoliki Moshi
PILI , licha ya udogo wa Moshi,Ina parokia nyingi kuliko bukoba kubwa hii Ni ishara tosha kuwa ni wacha Mungu
Nyie kagera endeleeni n'a Mambo yenu ya uchawi kulogana ,kuoneana wivu,sisi wachaga tunapendana Kama siafu
Sent using
Jamii Forums mobile app