PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
dah mkuu nimecheka sana!!!Milioni 20??
Yeye anaona uzuri ndio kila kitu, huo uzuri wake mbona haujamdumisha kwa mumewe wa kwanza, huyo mumewe wa kwanza sidhani kama ilifika hata milioni 5.
Mahari hiyo bora niende zenji nikaoe hata wanawake wajane tu, najichukulia wajane wangu wa4 narudi kupyatila pyatila bongo dar es salaam
ohoooo!!!Mil. 20 huku ana moto, umeme wa grid ya taifa ama anataka ya nini?
duh!!!!Fursa hiyo wanaume wa dar, toeni milioni 20, mbebe hayo ma kope bandia, nywele bandia, hipps bandia, ma make up pamoja na msichana bandia waliomshindwa wenzako upeleke matatizo nyumbani
ohooo!!!!Kama ingekuwa uzuri wa sura ndio kuolewa angeolewa Wema Sepetu...
nini kilipelekea hadi akafanya hivyo???Alipima ,live eatv, kwenye fnl, na majibu yakatoka hana ngwengwe!!
Lucy komba1. Ameshazalishwa.
2. Background ya mahusiano yake yote tunayo wananzego.
3. Kashazushiwa kuwa na ng'onda na waliokuwa nae.
4. Mfupi na mnene kiasi kwamba sehemu inayotenganisha mapaja na miguu huwezi kuiona.
Labda mababu wa kizungu ndio watatoa hiyo 10 million na wakitoa jicho ataliwa sana kama kina Lucy Komba [emoji1787][emoji1787]
Umeshindwa kuvumilia matumain anayojipa?Ila anatania tu
Umeshindwa kuvumilia matumain anayojipa?
huyo kijana Ney basi kwawachezea hao mabinti wa bongo movie kuna mmoja bongo movie ni bonge sana na kaushombe shombe kiaina kuna tetesi nae ni mzazi mwenzie hizo tetesi zina kaukweli?Akipata hata wa kumchukua bure amkimbilie na sadaka akatoe, umezalishwa ukaachwa, Ney na wengine wamepita hapo wamejisaidia wameacha, umepata ndoa umeiacha, bado tu unajithaminisha hivyo? Thubutu my dear ukipata wa bure nenda tu.
huyo kijana Ney basi kwawachezea hao mabinti wa bongo movie kuna mmoja bongo movie ni bonge sana na kaushombe shombe kiaina kuna tetesi nae ni mzazi mwenzie hizo tetesi zina kaukweli?
Odometer yenyewe ya mashine inasoma mil 20.Ml20 nanunua kipi??? K yenyew used bora ingekua bikra
Naamini hakuwa serious Tanzania hii utolewe mahari 20 labla mtoto wa Dangote.🤣🤣🤣 Apeleke tako dubai anaweza bahatika