Shamsa Ford asema mahari yake ni Milioni 20

Kuna magari yanaitwa used. Hili overused. Linafaa kuwa spare tu.
 
Naamini hakuwa serious Tanzania hii utolewe mahari 20 labla mtoto wa Dangote.
Hahahah wa Dangote ili kumu impress mzee lazma uende na 100M kuonesha kwamba upo on de right traki!

Mzee anakwambia toa matumizi ya kiwanda cha Dangote Cement ya siku moja tu kama mahari ya binti. Ukimbwela umemkosa
 
Hahahah wa Dangote ili kumu impress mzee lazma uende na 100M kuonesha kwamba upo on de right traki!

Mzee anakwambia toa matumizi ya kiwanda cha Dangote Cement ya siku moja tu kama mahari ya binti. Ukimbwela umemkosa
Fanya mpango uniwowe kwa tu million 30 😁😁
 
Ng'onda ndiyo nini jamani mmeniacha njia panda
 
kwa milion 20 angekuwa bado hajawahi kukutana na mwanaume yeyote katika maisha yake ningemfikiria anyway
 
wanaume mbona mnakuwa na Negative mindset kiasi hicho, yaani mtu kusema mahali yake binafsi akili zenu zinaishia kuwaza upuuzi. Ndio maana hilo taifa baadhi ya vijana wana maisha magumu washalaaniwa tayari kwa kufanya vitu vya ajabu.
Naona binti umekuja moto sana huku jf, emu kitulize basis,
Muwasho wa mini?

Umejiunga huku juzi tu Leo unatolea mapovu wanaume, kuwa makini.
 
Huyu demu namkubali hasa Tangu kwenye movie ya bado natafuta
Kama ningekuwa nayo MIL 20 ningemtafuta nijimilikishe na ningemuongeza 10m za juu,
Ananivutia sana.
 
Huyo mbona thamani yake ni laki 2 na blanket moja

Na kwenye hiyo lakimbili nimejumlisha mpaka ela ya kumpa mshenga. Ukiichenjua chenjua hapo bint anatoka na laki na usheenzi . Si pesa ndogo bado
 
Then Ethics za kazi yake hazijui. Hlafu kwa akili yako ya kujiongeza shosti huyo anaweza kuwa dakatri kweli??
hivi kwa akili yako unaweza kumtambua mtu mwenye id fake huku JF, inawezekana ni daktari kweli .
kwa taarifa yako huku kuna madaktari hadi maprofesa wanakuja na id fake
 
Kasoro mimi pekee ndiye niliyesalia kutolaaniwa, ebu wahi haraka pm tuyajenge Mama [emoji87]
wanaume mbona mnakuwa na Negative mindset kiasi hicho, yaani mtu kusema mahali yake binafsi akili zenu zinaishia kuwaza upuuzi. Ndio maana hilo taifa baadhi ya vijana wana maisha magumu washalaaniwa tayari kwa kufanya vitu vya ajabu.
 
Kuna watu hata bure sioi, huo unene nipeleke wapi? napenda wanawake wanaoenda gym wana afya sio big mamas. Sorry watanzania mimi sijui hiyo tabia yenu ya kupenda watu wenye obesity imetoka wapi.

Alafu kitu sitokuja kutoa hadi nakufa ni mahari, kama it means sitooa Tanzania then so be it, mwanamke tumependana tunafunga ndoa alafu natoa hela kumnunua? what the f? traditions za kishenzi bado tunaendelea kuzikumbatia hadi leo, ndiyo sababu hizi watu wa zamani walikua wanapenda kuzaa mabinti alafu wanawauza utotoni, slavery made this sh*t na we still practice it until today.
 
Twenty MILLIONS😳😳!!!!!!
......ina DREAM LINER ndani??????? Au ni SACCOSS!!!??
 
wanaume mbona mnakuwa na Negative mindset kiasi hicho, yaani mtu kusema mahali yake binafsi akili zenu zinaishia kuwaza upuuzi. Ndio maana hilo taifa baadhi ya vijana wana maisha magumu washalaaniwa tayari kwa kufanya vitu vya ajabu.
We mahali yako shingapi nijitose?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…