Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

Usimhukumu sana kwahiyo hela ndugu. Weka hata 400k halafu ingia mtaani, utakula pisi yyte unayoitaka. Mwanamke kupanua mapaja siyo kazi
Hiyo hela hata ukimpa mpenzi wako unayemuamini sana lazima aliwe.
Mwanamke na pesa ni sawa na samaki na maji.
Una class zako mzee, sio kila dem analika kizembe hivo kisa pesa... wanawake wanaojielewa hawajaisha kiasi hiko..then again una class yako flan kweli sikupingi kua hapo beki hazikabi.
 
Una class zako mzee, sio kila dem analika kizembe hivo kisa pesa... wanawake wanaojielewa hawajaisha kiasi hiko..then again una class yako flan kweli sikupingi kua hapo beki hazikabi.
Hao unaowasema ni mama zetu na bibi zetu ila siyo hawa wanawake wa kizazi kipya.
Akiamka asubuhi ana smartphone, yupo facebook, X na instagram.
Nipe namba ya mkeo nimuwekee 1.5M. Uone kama sijakutumia video.
 
Labda kaongea tu kupata 'attention'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…