Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

huyo jamaa yako bado anaushamba wa pesa na chembechembe za uchangudoa ,huwezi kuwa na akili timamu kisa una vilaki 3 mfukoni unanza kuwinda wake za watu
Kuna maCeleb siwezi kuwataja hapa, wamepandishwa ndege sana kuwapelekea wahuni mambo.

Nimebahatika kusafiri nao mara kadhaa, alafu hata hawajali kuvaa kihasara-hasara
 
Hahahahahaa....jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…