Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

Hawa ma celeb wa Tanzania uchafu huyu dada nilikuwa namuona ana akili lakini bure kabisa .

Huyu mwigizaji akijibu maswali ya waendesha kipindi cha Ubaoni cha Channel ya Sinema Zetu anasema live kuwa ana mume anaishi naye ila wapo wapo tu ila kama atapata mtu mwingine wataachana aolewe .

Huwa akili wanapeleka wapi akipigwa ngeta utasikia eti ukatili wa kijinsia

USSR
Hii ina uhusiano gani na saga la DP World?
 
Sanchoka ni Top CLass Bitch, Kwa TZ hii nimempa No 1. Kila alielitafuna lile zigo anstahili kupewa nishani ya heshima.

Hakuwa mbabaishaji kama hawa wapuuzi wa bongo movie, alikuwa yupe open kabisa wala wana mbwembwe. wala hakuwa na mlolongo wa madalali uchwara. Jamaa aliemuoa amefaidi sana, nilijitahidi sana kudunduliza vijisenti ila sikufikia malengo. Kuna Msela alimla TAKO kwa 2 M Excluding gharama za Hoteli, Kula, Pombe. Ilimgharibu kama 2.5m kula TAKO. Kwa kweli jamaa nlimona mjanja sana huku mimi nikiendelea kulia na umaskini.
 
Hakuwa mbabaishaji kama hawa wapuuzi wa bongo movie, alikuwa yupe open kabisa wala wana mbwembwe. wala hakuwa na mlolongo wa madalali uchwara. Jamaa aliemuoa amefaidi sana, nilijitahidi sana kudunduliza vijisenti ila sikufikia malengo. Kuna Msela alimla TAKO kwa 2 M Excluding gharama za Hoteli, Kula, Pombe. Ilimgharibu kama 2.5m kula TAKO. Kwa kweli jamaa nlimona mjanja sana huku mimi nikiendelea kulia na umaskini.
Asss alikula ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Hakuwa mbabaishaji kama hawa wapuuzi wa bongo movie, alikuwa yupe open kabisa wala wana mbwembwe. wala hakuwa na mlolongo wa madalali uchwara. Jamaa aliemuoa amefaidi sana, nilijitahidi sana kudunduliza vijisenti ila sikufikia malengo. Kuna Msela alimla TAKO kwa 2 M Excluding gharama za Hoteli, Kula, Pombe. Ilimgharibu kama 2.5m kula TAKO. Kwa kweli jamaa nlimona mjanja sana huku mimi nikiendelea kulia na umaskini.
hiyo m2 alipitia kwa dalali ama?
 
Hakuwa mbabaishaji kama hawa wapuuzi wa bongo movie, alikuwa yupe open kabisa wala wana mbwembwe. wala hakuwa na mlolongo wa madalali uchwara. Jamaa aliemuoa amefaidi sana, nilijitahidi sana kudunduliza vijisenti ila sikufikia malengo. Kuna Msela alimla TAKO kwa 2 M Excluding gharama za Hoteli, Kula, Pombe. Ilimgharibu kama 2.5m kula TAKO. Kwa kweli jamaa nlimona mjanja sana huku mimi nikiendelea kulia na umaskini.
Aliolewa na muuza ngada, tena alikamatwa mwaka jana mpaka leo hajatoka na bibie alikuwa mjamzito,
 
Hata hivyo watu husema hakunaga mke au mume wa mtu.

Mwanaume au mwanamke kwa akili yake timamu kaamua kumuacha mwingine kaamua kuambatana na mwingine hivi hapo uloachwa unangaโ€™angโ€™ania uhusiano wa hivyo wa nini?

Itafute na wewe furaha yako ilipo.

Akufukuzae hakwambii toka.

Utanuna wee utalaani lakini saingine inakuwa kama dua la kuku halimpati mwewe.
 
Hakuwa mbabaishaji kama hawa wapuuzi wa bongo movie, alikuwa yupe open kabisa wala wana mbwembwe. wala hakuwa na mlolongo wa madalali uchwara. Jamaa aliemuoa amefaidi sana, nilijitahidi sana kudunduliza vijisenti ila sikufikia malengo. Kuna Msela alimla TAKO kwa 2 M Excluding gharama za Hoteli, Kula, Pombe. Ilimgharibu kama 2.5m kula TAKO. Kwa kweli jamaa nlimona mjanja sana huku mimi nikiendelea kulia na umaskini.
Halafu unaweza kuta kuna fala mmoja anamla bila senti. Sometimes tuna owaga basi na sababu hujamkuta bikra unaziba masikio.
 
Ni uhakika hilo, wewe unagharamika parefu mwenzio anakula bure au anahongwa yeye kabisa
Kuna mwanangu alakuwa mshenzi sana, jamaa alikuwa anatembea na mke wa mtu, mmewe anafanya kazi sokoni.Ila yule demu ilikuwa ikifika mida ya mchana anamletea jamaa chakula kwenye hotpot ghetoni mwake kinaliwa chakula pamoja na mpishi.

Nakumbuka jamaa aliachaga baada ya kumsema sana na wanangu wa kijiweni ndio akaona aibu, ila mmewe alijua baadae wakaachana.Sema jamaa hakuwa yule mtu wa visasi alikubali akamove on,ila maamivu yake hata ukimtizama usioni ulikuwa unamuona hana raha.

Sasa pata picha jamaa mkewe anagongewa na msosi anaoutafuta yy kwa jasho ,mkewe anamgawia hawala yake.Huyo jamaa aliye muoa huyo Sanchoka kaamua tu kuziba masikio ila kuna mwana hatumii hata shiling 10 na anajipigia atakavyo, haya mapenzi achaa.
 
Back
Top Bottom