Muambie huyo mwenzio aelewe, yey analeta habari zake za kikachanja kweny issue za fedha, khaaaaah yaan uzalishwaji wa fedha uendeshwe kiholela? Hata hiyo sent ya faida itaonekana? Uwiiiiiiiih ushirikina na utajiri ni pete na kidole.Mimi nakuelewa. Hapa duniani huwezi kupata Mali nyingi bila ushirikina au maombi
Tupo kupeana mafunzo hapa Jf,Duh ingia jf ujifunze
Na ndio maana hutakaa usikie mtu anayemwamini sana Mungu eti ni mfanyabiashara wa madini.haitatokeaMuambie huyo mwenzio aelewe, yey analeta habari zake za kikachanja kweny issue za fedha, khaaaaah yaan uzalishwaji wa fedha uendeshwe kiholela? Hata hiyo sent ya faida itaonekana? Uwiiiiiiiih ushirikina na utajiri ni pete na kidole.
Nilishampa mfano dhahiri, sema anaelewa ila anataka kuni challenge me, but kanikuta bado nampa lecture atakaa sawa tyuuh.Na ndio maana hutakaa usikie mtu anayemwamini sana Mungu eti ni mfanyabiashara wa madini.haitatokea
Chunguza hata hawa akina gwajima, mzee wa upako, marehemu rwekatale, mwamposa, masanja, mwingira etc wanafanya biashara tofautitofauti ila hutakaa usikie wanajihusisha na madini
Nyinyi ndio wale ambao huwa mnasema Ame left groupRIP mke wa Tale. So sad to lost your half at tender age. My almighty God give you strength at this difficult time Tale
Tale ana miaka mingapi na marehemu mkewe alikuwa na miaka mingapi ?Ila huyu shammy kaniuma Sana Apumzike kwa amani too young to die, nawahurumia hao watoto maana mwanaume ataoa tu na mziki wa step Mom sio wa nchi hii.
Kila mtu anafiwa na hakuna mtu mwenye experience ya kufiwa.
But inapotokea mtu Fulani akawa anapatwa na misiba sana NI Jambo linalo fikirisha. Yafaa watu kuhoji kunani?
NI mipango ya Mungu au Kuna mikono ya watu?
Niliwahi kuandika hapa mbona ndugu yetu babu Tale anapatwa na misiba ya mara Kwa mara?
Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!
Anyways Babu Tale amefiwa na MKE wake.
MWENYEZI Mungu akutie nguvu Kaka na akupe subra katika kipindi hiki kigumu wewe pamoja ba watoto wako na amlaze Marehemu mahali pema peponi Amen
ana mke mzurii
itakuwa amepata hasara kubwa sana
rest in paradise.
HahahahaKumbe Tale alikuwa anakojolea pazuri hivoooo
Ni looseNyinyi ndio wale ambao huwa mnasema Ame left group
Lose _lost
Leave _ left
Utatoaje taarifa ambayo huijui
Mkeo anashusha tuhuma nzito humu, hivi huwa humkanyiMke wangu Victoire ni kweli Tale ana amini kwenye ulonzi na alisha weka wazi lakini sidhani kwenye hili la mke wake kama ni kweli
YaleyaleNi loose
Mambo mazito sana haya unayosema.Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Utafikiri hajafiwa kabisaKwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.
Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
Jinga wwKumbe na wasafi wanafiwa Kweli Awamu ya 5 inastahili pongezi
Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.
Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215