TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Mimi nakuelewa. Hapa duniani huwezi kupata Mali nyingi bila ushirikina au maombi
Muambie huyo mwenzio aelewe, yey analeta habari zake za kikachanja kweny issue za fedha, khaaaaah yaan uzalishwaji wa fedha uendeshwe kiholela? Hata hiyo sent ya faida itaonekana? Uwiiiiiiiih ushirikina na utajiri ni pete na kidole.
 
Muambie huyo mwenzio aelewe, yey analeta habari zake za kikachanja kweny issue za fedha, khaaaaah yaan uzalishwaji wa fedha uendeshwe kiholela? Hata hiyo sent ya faida itaonekana? Uwiiiiiiiih ushirikina na utajiri ni pete na kidole.
Na ndio maana hutakaa usikie mtu anayemwamini sana Mungu eti ni mfanyabiashara wa madini.haitatokea
Chunguza hata hawa akina gwajima, mzee wa upako, marehemu rwekatale, mwamposa, masanja, mwingira etc wanafanya biashara tofautitofauti ila hutakaa usikie wanajihusisha na madini
 
Na ndio maana hutakaa usikie mtu anayemwamini sana Mungu eti ni mfanyabiashara wa madini.haitatokea
Chunguza hata hawa akina gwajima, mzee wa upako, marehemu rwekatale, mwamposa, masanja, mwingira etc wanafanya biashara tofautitofauti ila hutakaa usikie wanajihusisha na madini
Nilishampa mfano dhahiri, sema anaelewa ila anataka kuni challenge me, but kanikuta bado nampa lecture atakaa sawa tyuuh.
 
Ila huyu shammy kaniuma Sana Apumzike kwa amani too young to die, nawahurumia hao watoto maana mwanaume ataoa tu na mziki wa step Mom sio wa nchi hii.
Tale ana miaka mingapi na marehemu mkewe alikuwa na miaka mingapi ?
 
Amefiwa na kina nani mfululizo hebu taja
Kila mtu anafiwa na hakuna mtu mwenye experience ya kufiwa.

But inapotokea mtu Fulani akawa anapatwa na misiba sana NI Jambo linalo fikirisha. Yafaa watu kuhoji kunani?

NI mipango ya Mungu au Kuna mikono ya watu?

Niliwahi kuandika hapa mbona ndugu yetu babu Tale anapatwa na misiba ya mara Kwa mara?

Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!


Anyways Babu Tale amefiwa na MKE wake.

MWENYEZI Mungu akutie nguvu Kaka na akupe subra katika kipindi hiki kigumu wewe pamoja ba watoto wako na amlaze Marehemu mahali pema peponi Amen
 
Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.

Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
Utafikiri hajafiwa kabisa
 
  • Thanks
Reactions: bmk
Umeandika ukweli mtupu. Vifo vya mke, mume, mtoto, Baba na Mama vinauma sana.

Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.

Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
 
  • Thanks
Reactions: bmk
Back
Top Bottom