ndegemzungu
Member
- Mar 10, 2019
- 92
- 246
[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Babu tale itabidi avumilie hao watoto mdogo atleast afike ten year's waweze kujisimamia aoe, bila hivo I feel sorry for the kidsStepmom ni balaa na nusu[emoji119][emoji119]
Mzee kuna ukweli hapa?...siasa naipenda ila naogopa hasa maisha na uchawi daah siweziKigwangwala pia alimuua mwanaep
Alitema mazito mno, yaan hadi aibu kumbe aliua mzaz wake wa kike akamgeuza msukule kwa njia ya paka, akawa na kazi ya kutafuta, kukusanya na kuvuta hela (chuma ulete), na kweli aliitikisa Songea alikuwa na maduka tena makubwa ya jumla km 8 hivi, baada ya soko kuungua khaaaaah leo yupo kwao hapo Mafinga choka mbaya km nn.
Aisee dunia ina mambo magumu hii!unauliza makofi polisi,unamkumbuka yule bibi mweupe kwenye nenda kamuambie?huyo domo siyo yeye hata mbele huko entertainment industry ni shida sana kaka,matajiri na wenye mafanikio ni mmoja katika laki moja aliye clean kuna clips zake huwagaanatingisha kichwa kama ana maruhani hivi,nitafungulia thread niweke na clips na za lil wayne ni the same kama vile kwa nukta kadhaa wanapoteza network halafu inarudi
Anasoma comments zenu waswahili 😏😏Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.
Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
Kigwangwala pia alimuua mwanaep
Na kama kweli ni mshirikina atubu na kuacha ushirikina la sivyo atakuja kuanguka vibaya sana. Kutajwa vibaya hivi kwenye msiba wa mtu wako muhimu si jambo la kupuuzia.
Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Wewe sikubishiiHatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Mkuu, you have a typical african mindset.!! Imani potofu imekutawala.
KWANI HIVI UKIWA MTU MAARUFU NDO HUFIKWI NA MSIBA??
MKUU, Hongera sana kama hujawahi kufiwa na ndugu yako yeyote yule iwe ni mjomba, shangazi, bibi, kaka, Dada,mama, baba, rafiki yako etc.
Siku ukipata msiba wa mtu yako wa karibu utajua kuwa binadamu wote tunapita tu. Kufiwa kupo, ACHA IMANI POTOFU!
Nani asiyefikwa na msiba dunia hii?
Nauliza tu,"Kwani mtu maarufu /mashuhuri ndo hatakiwi kupata msiba????"
Misiba huwa haina formula ya kuna, eti kwamba ukipata msiba mmoja ndo hupati msiba tena.
Misiba inawezakuja mfululizo kwa mtu yeyote yule, haijalishi iwe ni mtu Bilionea,Mlemavu, Masikini etc..
Na kama ulishawahi kufikwa na msiba wa nduguyo (babu,bibi, mjomba, shangazi, ma'mkubwa, ma'mdogo,binamu, rafiki etc.) basi acha na sie tuseme kuwa umetoa kafara...
Tulia wewe! Tuambie ukweli ni upi! BabU tale ana utajiri wa mapaka ama la?!Mkuu, you have a typical african mindset.!! imani potofu imekutawala.
KWANI HIVI UKIWA MTU MAARUFU NDO HUFIKWI NA MSIBA??
MKUU, Hongera sana kama hujawahi kufiwa na ndugu yako yeyote yule iwe ni mjomba, shangazi, bibi, kaka, Dada,mama, baba, rafiki yako etc.
Siku ukipata msiba wa mtu yako wa karibu utajua kuwa binadamu wote tunapita tu. Kufiwa kupo, ACHA IMANI POTOFU!
Nani asiyefikwa na msiba dunia hii?
Nauliza tu,"Kwani mtu maarufu /mashuhuri ndo hatakiwi kupata msiba????"
Misiba huwa haina formula ya kuja, eti kwamba ukipata msiba mmoja ndo hupati msiba tena.
Misiba inawezakuja mfululizo kwa mtu yeyote yule, haijalishi iwe ni mtu Bilionea,Mlemavu, Masikini etc..
Na wewe kama ulishawahi kufikwa na msiba wa nduguyo (babu,bibi, mjomba, mama,baba, shangazi, ma'mkubwa, ma'mdogo,binamu, rafiki etc.) basi acha na sie tuseme kuwa umetoa kafara...
Ni loss sio loseYaleyale
Bila shaka hujui tofauti ya lose na loose
Anyway kwa kukusaidia
Loose =legea
Lose = poteza
Kuna mbunge mmoja nafahamiana nae aisee tangu aingie kwenye siasa kawa mshirikina vibaya sanaMzee kuna ukweli hapa?...siasa naipenda ila naogopa hasa maisha na uchawi daah siwezi
Kuhusu kigwa wewe tu ndio hujuiHeeh!! mnatoa wapi hizi siri nzito za watu uwiiii.