TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Njia yetu ni moja sote , wivu unaowaonea wengine,chuki unayoisambaza, huzuni unayoigawa badala ya furaha yote haya tutakutana nayo huko motoni

Sent from my SAMSUNG-SM-G935A using JamiiForums mobile app
 
Alitema mazito mno, yaan hadi aibu kumbe aliua mzaz wake wa kike akamgeuza msukule kwa njia ya paka, akawa na kazi ya kutafuta, kukusanya na kuvuta hela (chuma ulete), na kweli aliitikisa Songea alikuwa na maduka tena makubwa ya jumla km 8 hivi, baada ya soko kuungua khaaaaah leo yupo kwao hapo Mafinga choka mbaya km nn.

Aiseeee
Paka ndio alikuwa maza
Hii duh
 
unauliza makofi polisi,unamkumbuka yule bibi mweupe kwenye nenda kamuambie?huyo domo siyo yeye hata mbele huko entertainment industry ni shida sana kaka,matajiri na wenye mafanikio ni mmoja katika laki moja aliye clean kuna clips zake huwagaanatingisha kichwa kama ana maruhani hivi,nitafungulia thread niweke na clips na za lil wayne ni the same kama vile kwa nukta kadhaa wanapoteza network halafu inarudi
Aisee dunia ina mambo magumu hii!
 
Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.

Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
Anasoma comments zenu waswahili 😏😏
 
Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.

Mkuu, you have a typical african mindset.!! imani potofu imekutawala.
KWANI HIVI UKIWA MTU MAARUFU NDO HUFIKWI NA MSIBA??
MKUU, Hongera sana kama hujawahi kufiwa na ndugu yako yeyote yule iwe ni mjomba, shangazi, bibi, kaka, Dada,mama, baba, rafiki yako etc.
Siku ukipata msiba wa mtu yako wa karibu utajua kuwa binadamu wote tunapita tu. Kufiwa kupo, ACHA IMANI POTOFU!
Nani asiyefikwa na msiba dunia hii?
Nauliza tu,"Kwani mtu maarufu /mashuhuri ndo hatakiwi kupata msiba????"
Misiba huwa haina formula ya kuja, eti kwamba ukipata msiba mmoja ndo hupati msiba tena.
Misiba inawezakuja mfululizo kwa mtu yeyote yule, haijalishi iwe ni mtu Bilionea,Mlemavu, Masikini etc..
Na wewe kama ulishawahi kufikwa na msiba wa nduguyo (babu,bibi, mjomba, mama,baba, shangazi, ma'mkubwa, ma'mdogo,binamu, rafiki etc.) basi acha na sie tuseme kuwa umetoa kafara...

Sie Binadamu wote ni marehemu watarajiwa, na Binadamu wote tutakuwa misiba!! it's just the matter of time.
 
Mkuu, you have a typical african mindset.!! Imani potofu imekutawala.
KWANI HIVI UKIWA MTU MAARUFU NDO HUFIKWI NA MSIBA??
MKUU, Hongera sana kama hujawahi kufiwa na ndugu yako yeyote yule iwe ni mjomba, shangazi, bibi, kaka, Dada,mama, baba, rafiki yako etc.
Siku ukipata msiba wa mtu yako wa karibu utajua kuwa binadamu wote tunapita tu. Kufiwa kupo, ACHA IMANI POTOFU!
Nani asiyefikwa na msiba dunia hii?
Nauliza tu,"Kwani mtu maarufu /mashuhuri ndo hatakiwi kupata msiba????"
Misiba huwa haina formula ya kuna, eti kwamba ukipata msiba mmoja ndo hupati msiba tena.
Misiba inawezakuja mfululizo kwa mtu yeyote yule, haijalishi iwe ni mtu Bilionea,Mlemavu, Masikini etc..
Na kama ulishawahi kufikwa na msiba wa nduguyo (babu,bibi, mjomba, shangazi, ma'mkubwa, ma'mdogo,binamu, rafiki etc.) basi acha na sie tuseme kuwa umetoa kafara...

Pole mkuu

Babu tale huwa anasema, na ni mshirikina mzuri


Kila mtu anamjua, nadhan ulikuwa bado wewe


Kifo hiki binafsi siamini ushirikina

Ila hautaweza zuia watu kumsema kama yeye mara kadhaa ashakiri kushiriki ushirikina
 
Mkuu, you have a typical african mindset.!! imani potofu imekutawala.
KWANI HIVI UKIWA MTU MAARUFU NDO HUFIKWI NA MSIBA??
MKUU, Hongera sana kama hujawahi kufiwa na ndugu yako yeyote yule iwe ni mjomba, shangazi, bibi, kaka, Dada,mama, baba, rafiki yako etc.
Siku ukipata msiba wa mtu yako wa karibu utajua kuwa binadamu wote tunapita tu. Kufiwa kupo, ACHA IMANI POTOFU!
Nani asiyefikwa na msiba dunia hii?
Nauliza tu,"Kwani mtu maarufu /mashuhuri ndo hatakiwi kupata msiba????"
Misiba huwa haina formula ya kuja, eti kwamba ukipata msiba mmoja ndo hupati msiba tena.
Misiba inawezakuja mfululizo kwa mtu yeyote yule, haijalishi iwe ni mtu Bilionea,Mlemavu, Masikini etc..
Na wewe kama ulishawahi kufikwa na msiba wa nduguyo (babu,bibi, mjomba, mama,baba, shangazi, ma'mkubwa, ma'mdogo,binamu, rafiki etc.) basi acha na sie tuseme kuwa umetoa kafara...
Tulia wewe! Tuambie ukweli ni upi! BabU tale ana utajiri wa mapaka ama la?!
 
Back
Top Bottom