Yan watu wanaongea vtu visivyo na maanaMuwe na aibu mnavyotoa shutuma za uongo kwa watu msiowajua.
Mkuu hakuna kitu kibaya kama umaskini, hawa wangekuwa wana good life wasingepata muda wa kutunga tunga na kushupalia hadith zao za Juma na UlediYan watu wanaongea vtu visivyo na maana
Mtu anaongea kama kweli vile,mtu unauhakik gani kama no kafara,
Afu wengi wanaongea hayo Mambo ni wanawake
Umepimaje mpaka kutambua ana wa PhD au ulishindana naye akakushinda sababu wewe wa kwako ni wa level ya Master.Yaan wanakera sana, hawajui huyu mtu ana Ulozi wa PhD
Kweli mkuu, hata mimi nilimsikia alikuwa anahojiwa, ilikuwa ni tamasha la wasafi festival dsmKuna interview yake moja nilishtuka sana...walikuwa na tamasha daressalaam kipindi hicho mvua nyingi...akasema wameenda kwa mganga na wana uhakika siku ya tamasha mvua haitonyesha...muandishi akamuuliza uko serious au unatania? Akajibu nipo serious kwasababu I'm a true African...ngumu sana kutomshuku kwenye tuhuma kama hizi, ingawa binafsi siamini kama kamslaughter wife ake...
Eeeh ndiyo nashinda nae kilingeni, una jingine?Umepimaje mpaka kutambua ana wa PhD au ulishindana naye akakushinda sababu wewe wa kwako ni wa level ya Master.
Manake siku zote mchawi humtambua mchawi mwenzie na ndio maana una kipimo cha kutambua level za uchawi.
Hahahah! yeah absolutely!Wewe i hope umeoa changudoa
KUKU WANAOAGIZWA NA HAO MNAOWAITA WAGANGA HUWA NI KWA AJILI YA KULA TU. AKILI KUMKICHWA!!! Kuku ni kitoweo kizuri sana tena chenye Chuzi flani swaaaafiiii.Kuna uzi Mshana aliandika kuhusu haya mambo. Anasema mambo huwa yanaanza kwenye vitu vya kawaida sana, usije ukaenda kwa mganga ukaambiwa inatakiwa damu ya kuku ukaona kawaida...kuku tu. Dau linakuwa linapanda kadri unavyoendelea na ukishaingia huko kutoka si lelemama
Duuuuh wee kaka jomoneeeh kwan unateseka na nn? Ts Jf hebu relaaaaaaax.Muwe na aibu mnavyotoa shutuma za uongo kwa watu msiowajua.
mwanadada njoo inbox, mimi ni mganga.Duuuuh wee kaka jomoneeeh kwan unateseka na nn? Ts Jf hebu relaaaaaaax.
Uwiiiiiiiiiiih mie sitaki ulozi bhanaaa, khaaahmwanadada njoo inbox, mimi ni mganga.
sikufundishi ulozi bali mimi ni mganga ambaye ningependa kuwa rafiki yako. Hivo njoo kwa inboxUwiiiiiiiiiiih mie sitaki ulozi bhanaaa, khaaah
Mnyama mkali toa pole kwanzaWCB walivyo mapimbi wanaweza kutumia huu Msiba kupata Kik
Usimuumbue sana, anaweza kuwa mtu mzima sana huyo kwako!Sitaki kuamini mpaka kwenye misiba napo kuna uteam,ila endelea kupayuka matatizo hayana tofauti na mbio za vijiti kuna mda itafika zamu yako ya kukipokea hiko kijiti,hii mitihani usipayuke mpaka ukajitoa ufahamu ukazani wewe hayato kupata.........RIP Shammy.
View attachment 1491928View attachment 1491929
Hahahaha, mkuu umeamua kuwachana sioUmu mapimbi wengi uyo dem kaanza kuumwa siku nyingi sana
We msichana upo kwenye ndoa mpya na Mwarabu kwahiyo hata sokoni anaenda yeye, nini?! Mbona umeadimika hivi?!Victoire You have a wicked heart! Wanawake hatuko hivyo jamani, watu humu hawakwambii tu sijui wanaogopa utawaatack [emoji3] Acha hiyo roho wewe mwanamke!
Wanaosema ni korona wanachukulia yale maelezo kwamba, hatua za mwisho wa uhai wake alikuwa hata kupumua mwenyewe hawezi, na akawa anasaidiwa na ventilator.Lakin bibie anaonekana kama kaugua muda mrefu
Maskin ,wanaosema corona angeruhusiwa kwenda kwa makonda
Hivi umeshawahi kuona maiti inasafirishwa kwa yale majeneza unayoyajua wewe?! Suala la imani halipo kwenye jeneza bali lipo kwenye kumzika, kwamba mwili uwe na contact na ardhi.Kwa imani ya dini zao hata hilo jeneza halikupaswa kutumika.
Wewe umemtoa nani?Wewe kama huwezi,kuna wenzako wanaweza. Wengine wanatoa hadi wazazi wao kafara sembuse mke ambae huna udugu nae ?