TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

naomba niandike kitu kwa herufi kubwa yaani msisitizo. JAMANI HAPA NAAMINI KABISA HUYU JAMAA KAHUSIKA KAMA KAFARA,MNASHANGAA HILI MNGESHANGAA LA MWAMPOSA KUTOA KAFARA LA WATU 20 KULE MOSHI..MWAKA FULANI NILIKAA SEHEMU NA MSHIKAJI WANGU TUNAPIGA STORY NA MENEJA FULANI WA MZIKI MJANJAMJANJA ALIYEKUWA WA KWANZA KUMTOA MSANII NAMBA MOJA WA BONGO FLEVA KATIKA STORY JAMAA ALIKUWA ANASIKITIKA SANA JUU YA MWANADADA MDANGAJI KIPINDI HICHO ALIYEANZIA KWENYE MOVIE KWA SASA ANAJULIKAN KAMA MIMBAJI INGAWA AAFAKE FAKE TU MZIKI WENYEWE PIA ANAJULIKANA KWA UJASIRIAMALI WA KUPIKA MISOSI,MENEJA HUO ALIMPELEKA MWANADADA HUKO NDANINDANI KWA MGANGA MAARUFU ALIYEMUAMBIA AMTOE BINTI YAKE KAMA KAFARA NA DADA ALIKUBALI KWA MOYO MMOJA HUYU BWANA MENEJA AKAMUAMBIA MGANGA TUTARUDI,WALIVYOONDOKA AKAMUAMBIA MWANADADA SIHUSIKI KWENYE HILI DEAL,BINTI BADO YUPO HAI SIJUI BADAYE ALIMTOA NANI KAFARA MAANA MAMBO YAKE KWENYE MISOSI SIYO MABAYA
NIWAKUMBUSHE PIA MBONGO FLEVA NAMBA MOJA NA KISA CHA BIBI YAKE WANAOJUA HIYO STORY SIYO SIRI BIBI ALIDANJISHWA YUKO KWENYE VIDEO YAKE YA KWANZA ILIYOMTOA
Duuuuh mji mzito huu, lol mweeeeeh
 
Weee unajidanganya sana, khaaaaah watu wanatoa hadi ndugu wa wake zao na wanafanikiwa kupata hela. Acha kabisa damu ya binadamu.

Sasa hao wanaotolewa Kafara wanakua bado wapo hai au inakuaje?
 
Ingekua kupata pesa unamtoa mke basi tungekua tumefanya hayo kitambo,ushirikina wa damu inahusu damu yako ya kuzaa sio mke hata siku moja...angalia watu wote wenye pesa za ulonzi utaona kazika watoto na ndgu wakutosha ila sio mke

I hope hujamaanisha ulivosema kwamba ungemtoa mkeo km ingeku Guarantee kupata Pesa. Halafu kuna Member mwezi huuhuu alitoaga Story ya hapo kijijini kwao jinsi mvlana wa hapo kijijini kwao alivomtoa Kafara mume wa Dada yake na baadae wakageukana na kutoleana siri.
 
Huyu kwenye taarifa za vifo hajambo. Aliwahi kutushika ile siku jiwe alipotokomea. Alidai yuko mahututi moyo wake sijui una pacemaker na makorokoro gani alisema. Siku chache tukaona hotuba ya uteuzi "mgonjwa wa moyo" akahutubia. Taarifa za kichawi hazina ushahidi, na bila ushahidi sikubali maneno ya kuambiwa.

Kwani hayo mtu akiwekewa inabidi aendelee kulala akiwa hoi?
 
Wanakua hai ktk hali ya nguvu za giza (ndondocha na misukule), hivyo kwa hali ya kawaida hawaonekani, ila wataalamu wa mambo hayo wanaona, km waganga, wachawi, na watu waliojizindika.

Huwa Wanateswa/kutumikishwa ama ndo wanakua hawana faida wapo km pambo tu?
 
R.I.P shemela.pole sana zimfikie babu tale wanandugu wote pamoja na crew nzima ya WCB.
 
"Tale" na "Kitale" ukiwasikiliza mahojiano yao, mara nyingi ni watu wanaoamini sana kwenye mambo ya Ulozi na Ushirikina.

Hata jambo likitokea ukaambiwa wameshiriki inakuwa ngumu sana kuwatetea.
Hahahaha, dah we umemtaja MTU nilwahi Kusikia kitu km hicho akihusishwa ila kwakua yalikua mastory ya madogo Fulani sikufuatilia kabisa
 
Kwani hayo mtu akiwekewa inabidi aendelee kulala akiwa hoi?
Unaijua pacemaker? Mtu anafanyiwa operation ya tumbo anakaa wiki kadhaa sembuse ya moyo. Kwanza watu walishasema ndege imetua Ujerumani, eti ilimpeleka kutibiwa. Hatukukaa siku 3 uteuzi ukatolewa, tangu lini mgonjwa wa moyo akarudi hali yake kwa siku 3? Hii sio blood pressure, walisema heart attack ambayo lazima mtu akae sana kurecover.
 
Kila mtu anafiwa na hakuna mtu mwenye experience ya kufiwa.

But inapotokea mtu Fulani akawa anapatwa na misiba sana NI Jambo linalo fikirisha. Yafaa watu kuhoji kunani?

NI mipango ya Mungu au Kuna mikono ya watu?

Niliwahi kuandika hapa mbona ndugu yetu babu Tale anapatwa na misiba ya mara Kwa mara?

Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!


Anyways Babu Tale amefiwa na MKE wake.

MWENYEZI Mungu akutie nguvu Kaka na akupe subra katika kipindi hiki kigumu wewe pamoja ba watoto wako na amlaze Marehemu mahali pema peponi Amen

...yale majani yako hayawezi kutumika kwenda kumfufua mkuu?
Hebu fanya mchakato bwana arudi bado jamii inamuhitaji huyu!!
 
Back
Top Bottom