TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Ingekua kupata pesa unamtoa mke basi tungekua tumefanya hayo kitambo,ushirikina wa damu inahusu damu yako ya kuzaa sio mke hata siku moja...angalia watu wote wenye pesa za ulonzi utaona kazika watoto na ndgu wakutosha ila sio mke
Alaa we mwenyewe huamini ulozi karne hii, we mwenyewe tena unatoa details za ulozi. Au hii komenti umeandika ukiwa karne ya ngapi?
 
Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.

Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
what if anaangalia message za michango iliyotumwa!?

Acheni kukariri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alaa we mwenyewe huamini ulozi karne hii, we mwenyewe tena unatoa details za ulozi. Au hii komenti umeandika ukiwa karne ya ngapi?
Nimeongelea walikua wanasemekana kua walipata mawe kwa ulonzi sasa hivi hawana mia,wanatembea na miguu.
Migodi yao imekufa imebaki mapori
 
Wimbo : Kazi yake Mola.

Mtunzi : Madee.

Wale wote walio tajwa kwenye Huo wimbo ni familia ya Tale.

Pole Sana Tale, umepata mitihani sana bro.

Mungu akufanyie Tawakal

Wimbo ule nadhani bado Producer Majani!
 
Acha kuuonea mdomo wangu. Mdomo wangu haujahusika chochote katika kuandika hapa.
Wasikutishe.Mbona wao walipokuwa wanalazimisha Kuwa Jiwe amevuta uliwapinga sana wanajisahaulisha.
 
Ngoja tusubiri ila ugonjwa wa KUBANA MBAVU AKA COVID unachukuwa watu kimya kimya. Poleni sana wafiwa RIP mrembo.
Umeona eeh...wana uita changamoto ya upumuaji.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.

Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
Mzee kwa hiyo kama kifo kimetokea na mambo mengine yasiendelèe?so unatakiwa uwe unalia tu mana itasaidia afufuke arudi?huyo kashakwenda hatuponae,hata akionesha majonzi aisaidii,mwache ajifariji huenda simu inampunguzia mawazo pia.
 
Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.

Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
Na hapo hata chukua mda aone Tena, kweli mwanaume sio ndugu yako
 
Huwa Wanateswa/kutumikishwa ama ndo wanakua hawana faida wapo km pambo tu?
Wanatumikishwa kulingana na mahitaji ya muhusika, wanakuwa vitega uchumi, mfano kuna mwingne msukule wake anauweka kutafuta na kuvuta hela (chuma ulete), mwingine anauweka ulinzi wa mali zake asifirisike (lighambu(, mwingine anauweka km kivutio cha watu ktk kazi zake (lomwele). Hivyoooh yaaan
 
Dada hizo ni story ingekua kafara dini kungekua hakuna masikini iringa na usukumani ndio wanapenda hayo mambo
Sasa ushawahi kuona mkinga ana biashara ya hovyooh? Unadhan mmiliki wa mabasi ya super feo n nan? Na unajua habari zakee? Haya unamjua Ottawa vizuri? Ushawahi sikia habari zake?

Kaa kimya weee Acha kucheza na damu ya kiumbe chenye uhai na utashi. Sasa nikuambie Songea nzima imeshikiliwa na Wakinga na Wachaga, na tunajua habari zao wote.

Nkukumbushe km unakumbuka kipindi soko kuu la songea linaungua kuna mfanya biashara maarufu alilia sana kisa paka wake kuungua, na alitoa siri zote za biashara yake siku hiyo.

Unasema nini wee khaaaah.
 
Acha kuuonea mdomo wangu. Mdomo wangu haujahusika chochote katika kuandika hapa.
Usipende kuhukumu na hata kama kweli usiwe mwepesi wa kuhukumu na kusema jambo. Mtaleta taflani kwenye jamii kwa vitu visivyo na ukweli
 
Back
Top Bottom