mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mpaka mtu AFE ina maana AMESHINDWA KUPUMUA.
Haijalishi alikuwa ana ugonjwa gani
Haijalishi alikuwa ana ugonjwa gani
Vipi? Ni changamoto za upumuaji!?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi? Ni changamoto za upumuaji!?!
Watu kama wewe ndo wanaoenda kwa waganga kutafuta mchawiKila mtu anafiwa na hakuna mtu mwenye experience ya kufiwa.
But inapotokea mtu Fulani akawa anapatwa na misiba sana NI Jambo linalo fikirisha. Yafaa watu kuhoji kunani?
NI mipango ya Mungu au Kuna mikono ya watu?
Niliwahi kuandika hapa mbona ndugu yetu babu Tale anapatwa na misiba ya mara Kwa mara?
Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!
Anyways Babu Tale amefiwa na MKE wake.
MWENYEZI Mungu akutie nguvu Kaka na akupe subra katika kipindi hiki kigumu wewe pamoja ba watoto wako na amlaze Marehemu mahali pema peponi Amen
Basi hapati kituNot necessarly...!
Mchungaji wangu wa KKKT ana shimo la madini, anafanya biashara hiyo for long now.
at the end wote ni binadamu nyau wewe...Kama ni taarifa muhimu Millard Ayo angeandika maana mm hata huyo mwanamke si mjui anahusiana nn na industry ya muziki alafu unamtoleaje mfano huyo mwanamke na Ruge! Ni watu wawili tofauti kuanzia ukubwa hadi umaarufu.
Alishapata na anapata vituBasi hapati kitu
Basi anapata ya hela kulia mboga.Alishapata na anapata vitu
Kuna mbunge mmoja nafahamiana nae aisee tangu aingie kwenye siasa kawa mshirikina vibaya sana
Yaani siasa na ushirkina ni Chanda na Pete Hasa Hasa hawa wa CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
I don't know youWatu kama wewe ndo wanaoenda kwa waganga kutafuta mchawi
Haya mambo yapo. Wengine huwa wanatoa kafara hadi watoto wao kisa mafanikio ya kisiasa. Yaani ukiamini waganga utajikuta unafanya mambo ya ajabu.
Jana mbona dr. isack alitoa pole kwa babu tale kwenye kipindi cha njia panda, na akampigia mwimbo wa madee kazi yake mola ili kumfariji babu tale.Hii inanipa picha utu sasa umekwisha ,pesa imefunika utu wetu na udugu wetu... Niliona kwa diamond katika sakata la kifo cha Ruge.... Sasa Leo Millard ayo kapotezea kabisa juu ya msiba Wa mke Wa babu tale.... Jamani just advice to you people....pesa zitabaki duniani daima....Bali kila nafsi kuonja mauti.... Jaribu kuliweka file lako la duniani vizuri... Chuki,fitina ,visasi,majigambo havijengi.... Kumbukeni yupo mwenye kutupa uzima na hii hafya ....kesho akichukua pumzi yake sisi ni takataka ,akichukua hafya yake nakwambia marafiki wote watakukimbia....hata wakukupa panadol utamkosa....... People are good when you are good......
Ukipost mtu siku akifa ndio kipimo cha utu
Bado elimu ni tatizo
huyo mchungaji may be ana Spiritual Powers huwezi juaBasi anapata ya hela kulia mboga.
Huwezi kuwa bilionea wa madini bila kuwa mshirikina
alikiri wapi?Pole mkuu
Babu tale huwa anasema, na ni mshirikina mzuri
Kila mtu anamjua, nadhan ulikuwa bado wewe
Kifo hiki binafsi siamini ushirikina
Ila hautaweza zuia watu kumsema kama yeye mara kadhaa ashakiri kushiriki ushirikina
chenge nasikia naye yumoWanasiasa 98% wanashiriki hii taboo
Una jinsia ipi?Mi namuonaga mitaa ya tabata barakuda kwa sana
Mzuri sana sana
lazma wasali na kuvunja laana za mababu, madhabahu za kuzimu na pia waokoke wamwamini YESU kuwa ni bwana na mwokozi waoMhh niliwah soma sehemu upande wa kina tale kunakuwa na vifo vya ajabu ajabu...rip dada
Weee sisi tunajua yote, Dunia haina siri,Mkuu una ushahidi na haya?